Maji
28 Mei 2025, 7:51 um
TAKUKURU Simiyu yaokoa bilion 6 kwenye sekta ya elimu
“Kumaliza rushwa hapa nchini ni changamoto kubwa sana maana hata watumishi umma waliokula kiapo cha uaminifu ndiyo wanakuwa watu na viongozi wa kwanza katika kutekeleza ubadhilifu wa mali za umma halafu hao hao ndiyo wanahimiza uzalendo haya ni maajabu kweli”.…
27 Mei 2025, 2:43 um
Wenyeviti hawamalizi miaka mitano Saragulwa
Uvumilivu wa migogoro ya madaraka umewashindwa wananchi nakuamua kumuangukia mkuu wa mkoa kutafuta ufumbuzi wa changamoto hiyo kwenye kijiji chao. Na Mrisho Sadick: Wakazi wa Kijiji Cha Saragulwa wilaya ya Geita Mkoani Geita wameiomba serikali kuingilia kati Sakata la wenyeviti…
27 Mei 2025, 11:19 mu
Sangamwalugesha yaomba kujengewa soko la kisasa
“Uchumi wetu unajengwa na wajasiliamali wadogo wadogo hivyo tuna kila sababu kwa mamlaka husika kuwatengenezea mazingira mazuri ya wao kufanya biashara ikiwemo miundombinu ya masoko pamoja na kuangalia tozo ambazo hazina afya kwa wafanyabiashara”. Na, Daniel Manyanga Kukosekana kwa soko…
24 Mei 2025, 8:25 um
Wananchi wa Mwamashindike walia na ubovu wa barabara
“Sekta ya miundombinu ya barabara ni Moja kati ya ajenda muhimu Sana kwa ustawi wa jamii yetu maana ndiyo inayotumika kusafirishia mazao mbalimbali kutoka huko kijijini kuja sehemu za masoko lakini ikitaka kufungua uchumi wako lazima Kwanza ufungue barabara zako…
21 Mei 2025, 4:02 um
Katakata ya umeme Simiyu yawaibua wananchi
‘‘Tunahitaji nishati ya umeme ya kutosha mahitaji yetu ni kweli juhudi ni kubwa sana zinazofanywa na kiongozi wetu mkuu wa nchi hii Rais ,Mhe,Dkt.Samia Suluhu Hassan katika kuhakikisha wananchi wanapata umeme wa kutosha ili waweze kuongeza uzalishaji mali na kujiongezea…
12 Mei 2025, 1:05 um
Wananchi kuchangia pato la taifa kupitia pori la akiba Kijereshi
‘‘Kuchangia uchumi wa nchi kupitia utalii siyo jukumu la watilii wa kigeni kama ambavyo watu wengine wanafikiri sote tunajukumu hilo kama wananchi wazalendo ambao tunazunguka katika maeneo ya hifadhi au mapori ya akiba ili sisi tuwe mabalozi wazuri hata kuwajuza…
10 Mei 2025, 9:17 um
CHADEMA kuvunja makundi, kuendeleza mapambano
CHADEMA yaendelea na kampeni yake ya No reforms, no election katika mikoa ya kanda ya ziwa na leo mei 10,2025 ni zamu ya mkoa wa Geita. Na Mrisho Sadick: Katibu mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) John Mnyika…
10 Mei 2025, 1:54 um
CCM yaombwa kuingilia sakata la wananchi kukamatwa Chato
Suala la michango kwa ajili ya shughuli za maendeleo katika kijiji limewatibua baadhi ya wananchi nakukimbilia CCM kuomba utatuzi. Na Mrisho Sadick: Wakazi wa Kijiji Cha Kalebezo Kata ya Nyamirembe wilayani Chato Mkoani Geita wamekiomba Chama Cha Mapinduzi CCM Mkoa…
7 Mei 2025, 7:43 um
PharmAccess yaja na mikopo nafuu kuboresha huduma za afya Zanzibar
Na Mary Julius. Katika kuunga mkono juhudi za serikali ya awamu ya nane inayoongozwa na rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi Dk Hussein Ali Mwinyi, kuboresha huduma za afya kwa wananchi wote zanzibar , Taasisi ya PharmAccess…
6 Mei 2025, 6:17 um
Hewa tiba yaokoa gharama za matibabu kwa wananchi Simiyu
‘‘Hatuwezi kuwa na taifa lenye uchumi mkubwa kama watu wake wako wanapambana na changamoto ya miundombinu ya afya lazima kwanza tujali afya za watu ambao ndiyo nguvu kazi ya kuyafikia hayo maendeleo ni kweli tumefanya mageuzi makubwa sana katika sekta…