Maji
09/10/2025, 05:34
Costantine Morandi aomba mitano tena kwa wakazi wa Samina
Ikiwa zimesalia siku 19 tu kuweza kufanyika uchaguzi mkuu kwa mwaka 2025, wagombea wa nafasi mbalimbali wameendelea kunadi sera pamoja na ilani za vyama vyao. Na: Ester Mabula Mgombea udiwani katika kata ya Mtakuja kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi…
7 Oktoba 2025, 2:02 um
Kaka, dada wa Mandang’ombe jela miaka 20 na 30
“Duniani hapa watu ni wengi lakini binadamu ni wachache na ukishangaa ya hapa duniani basi unabidi pia ushangae ya Mussa Shija na Hollo Shija kuoana hali ya kwamba ni kaka na dada tena mama mmoja na baba mmoja sasa hapa…
4 Oktoba 2025, 21:01
Maadhimisho elimu ya watu wazima, nje ya mfumo rasmi yafana Arusha
Maadhimisho ya Wiki ya Elimu ya watu wazima na Elimu Nje ya Mfumo Rasmi yamefanyika leo, Jumamosi tarehe 04 Oktoba 2025, katika viwanja vya Shule ya Msingi Levolosi, Wilaya ya Arusha. Maadhimisho haya yamekusanya washiriki mbalimbali wakiwemo walimu, wanafunzi wa…
27/09/2025, 00:42
Mgombea ubunge CCM Geita mjini awafikia wajasiriamali Nyankumbu
“Ilani ya CCM kwa mwaka 2025 imeainisha maeneo muhimu yanayogusa maisha ya wananchi kwenye afya, elimu, miundombinu pamoja na biashara” – Mhandisi Chacha Na:Ester Mabula Mgombea ubunge wa Jimbo la Geita mjini kupitia tiketi ya CCM Mhandisi Chacha Wambura katika…
25/09/2025, 03:53
Faraji Seif apita nyumba kwa nyumba kuomba kura kwa wananchi
Mgombea udiwani kata ya Bukoli (CCM) Faraji Seif amewaomba wananchi wa kata hiyo kuendeleza imani na Chama cha mapinduzi kwa kuweza kuwachagua katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025. Na: Ester Mabula Mgombea wa udiwani kata ya Bukoli kupitia Chama…
24 Septemba 2025, 22:47
Wasira atembelea jimbo la Pangani
“Amani ni hewa unavuta bila ushuru lakini kwakuwa ipo unaweza kuona ni jambo lakawaida ni sawa na amani ikiwemo unaona kama haina haja ila ikitoweka ndiyo unona faida yake.” Wasira Na Cosmas Clement Makamu mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi bara…
24/09/2025, 10:20
Sukambi aahidi taa masoko ya jioni , ujenzi kituo cha polisi Nyankumbu
Changamoto kubwa kwa wananchi wa Nyankumbu ni usalama na mazingira bora ya kufanyia biashara, hivyo utekelezaji wa ahadi hizo utakuwa mkombozi Na Mrisho Sadick: Mgombea Udiwani wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Kata ya Nyankumbu, Manispaa ya Geita mkoani Geita,…
24/09/2025, 09:45
Mapung’o aahidi kuipeleka kata ya Butobela kileleni
Vyama mbalimbali vya siasa nchini Tanzania vimeendelea kunadi sera na ilani za vyama vyao ikiwa ni kipindi cha kampeni kuelekea uchaguzi mkuu Oktoba 29, 2025. Na: Ester Mabula Mgombea udiwani wa kata ya Butobela, jimbo la Busanda, wilaya ya Geita,…
18/09/2025, 19:22
UWT kusaka kura milioni 16 za Dkt. Samia
Zaidi ya wanawake 700,000 wamejiandikisha katika daftari la kudumu la mpiga kura Mkoani Geita hali ambayo inawapa matumaini UWT Na Mrisho Sadick: Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) imeweka mkakati wa kutafuta kura milioni 16 kwa ajili ya mgombea…
17/09/2025, 22:22
Shilabela yaitika kusikiliza sera za mgombea ubunge (CCM) jimbo la Geita mjini
Vyama mbalimbali vya siasa nchini vimeendelea kufanya kampeni ikiwa ni maandalizi ya kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025. Na: Ester Mabula