Radio Tadio

Maji

18 August 2025, 10:23 am

Watuma salamu nchini wapeleka faraja kwa wagonjwa Simiyu

“Kufanya matendo ya huruma kwa wahitaji siyo utajiri bali ni kuwakumbuka wenye uhitaji kama vitabu vitakatifu vya dini vinavyosema kuwa dini ya kweli ni kuwakumbuka wenye uhitaji hivyo basi jamii yenye uwezo ni bora ikawa na moyo wa kuwakumbuka wenzetu…

14 August 2025, 4:17 pm

Wajumbe wa CCM Mikononi mwa TAKUKURU Geita

Wakati joto la uchaguzi Mkuu likiendelea kupanda TAKUKURU nayo imekaa mguu sawa kuhakikisha inakabiliana na vitendo vya Rushwa. Na Mrisho Sadick – Geita Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa TAKUKURU Mkoa wa Geita imewakamata nakuwahoji baadhi ya wajumbe wa…

August 13, 2025, 7:11 pm

BOT yatoa agizo kuhusu utunzaji wa noti

Na Mwandishi wetu BENKI Kuu ya Tanzania (BOT) Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, imewasihi Wakazi wa mikoa ya Nyanda za Juu kuzitunza vizuri fedha aina ya noti ili kutekeleza sheria za nchi. Meneja Msaidizi idara ya uchumi na takwimu…

August 9, 2025, 8:32 pm

Wananchi watakiwa kuacha tabia ya kukopa mikopo umiza

Tanzania Commercial Banki (TCB) kwa mwaka jana imetoa mikopo zaidi ya shilingi bilioni 360 kwa wabiashara wadogo na wakati kwa vigezo rafiki. Na Sebastian Mnakaya Wananchi wilayani Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kuachana na mikopo kwenye taasisi za kifedha zisizo rasmi…

23 July 2025, 6:38 pm

Ubalozi wa amani PPA Kagera wanolewa

Taasisi ya Ubalozi wa Amani Mkoa wa Kagera ni moja kati ya taasisi makini zinazoamini katika huduma bora baada ya kupata mafunzo maalum kuhusu mbinu za ulinzi wa amani nchini Theophilida Felician Wanachama wa taasisi ya ubalozi wa amani PPA…

16 July 2025, 6:14 pm

Yapi madhara vijana kutumika vibaya kwenye siasa?

Msikilizaji na mdau wa Storm FM Sauti ya Geita karibu kusikiliza Makala ya Tafakari Pevu inayoangazia madhara ya vijana kutumika vibaya kwenye siasa kuelekea katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu. Makala hii imeandaliwa na timu nzima ya Storm FM

July 10, 2025, 5:17 pm

Viongozi Kahama watakiwa kusikiliza, kutatua kero za wananchi

”kasikilizeni na kuzitatua changamoto mbalimbali za wananchi wenu pamoja na kushirikiana katika suala ya maendeleo” Mboni Mhita Na Sebastian Mnakaya Viongozi wa wilayani ya Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kuendelea kusikiliza na kutatua changamoto mbali mbali za wananchi wao pamoja na…

3 July 2025, 8:25 pm

Vigogo wa migodi waenguliwa kwenye nafasi zao Simiyu

“Hatuwezi kufikia malengo kwa sitaili hii lazima tuheshimiane kwa kuzingatia sheria,miongozo na miiko ya kazi hivyo lazima katika safari ya mafanikio kuna watu tunapaswa tuachane nao kabisa ili safari hii iweze kwenda mbele kwa kasi tunayotakiwa ili kufikia malengo ya…

3 July 2025, 5:39 pm

102 wajitokeza kuwania ubunge mkoa wa Geita

Baada ya zoezi la uchukuaji na urejeshaji wa fomu za kuwania nafasi za ubunge na udiwani kumalizika sasa joto limehamia kwenye hatua ya uchujaji wagombea. Na Mrisho Sadick: Wanachama wa CCM 102 Kutoka Majimbo tisa ya uchaguzi Mkoani Geita wamejitokeza…

July 1, 2025, 10:34 pm

Kahama kuwa mji wa kisasa ifikapo 2050

Kupitia mradi wa Mpango Kabambe Kidikitali, Kahama kuwa mji wa kisasa ifikapo 2050 Na Sebastian Mnakaya Baadhi ya Migogoro ya ardhi katika Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga inakwenda kufikia mwisho baada ya kuanza kwa mradi wa Mpango Kabambe wa kidikitali…