Maji
November 4, 2021, 4:06 pm
KAHAMA: halmashauri ya Msalala kupokea zaidi ya shilingi bilioni mbili.
Serikali imetoa fedha kiasi cha shilingi bilioni mbili na milioni mia nne na kumi,kwa ajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo kwa halmashauri ya Msalala wilayani Kahama mkoani Shinyanga, ikiwa ni fedha za ustawi wa maendeleo ya Taifa na mapambano…
October 2, 2021, 2:34 pm
Kahama:wakurugenzi kusimamia mabaraza ya wazee.
Serikali mkoani Shinyanga imewaagiza wakurugenzi wa halmashauri zote sita kuhakikisha wanasimamia na kuyawezesha mabaraza ya wazee ili yaweze kufanya kazi kikamilifu pamoja na kutenga fedha kwa ajili ya utekelezaji wa shuguli za wazee. Agizo hilo limetolewa na mkuu wa mkoa…
24 June 2021, 1:44 pm
Wizara ya Afya yazindua mpango mkakati wa miaka mitano utakao gharimu shilingi t…
Na;Mindi Joseph. Wizara ya Afya,Maendeleo ya jamii jinsia,wazee na Watoto kwa kushirikiana na wadau wa Maendeleo,imezindua mpango mkakati wa miaka mitano utakaogharimu Tsh.Trilioni 9.4 kila mwaka. Akizungumza katika uzinduzi mkakati huo leo Juni, 24,2021 Waziri wa Afya, Maendeleo ya jamii…
30 March 2021, 1:03 pm
Maboresho yachangia ongezeko la mahudhurio ya kliniki kwa wajawazito
Na; Mariam Matundu. Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Dorothy Gwajima amesema Wizara ya Afya imeboresha huduma za afya ya uzazi nchini katika kipindi Cha Julai 2020 Hadi Februari 2021 ambapo jumla ya wajawazito 1,165,526…