Radio Tadio

Maji

28 July 2023, 4:48 pm

Mradi wa maji Nzuguni sio porojo, wafika asilimia 76

Mradi wa Nzuguni unatarajiwa  kuongeza uzalishaji wa maji  kutoka wastani wa lita mlioni 68.7 mpaka milioni 76.3 kwa siku sawa na ongezeko la 11.4% ya uzalishaji wa sasa, na litapunguza mahitaji kwa 11.7% ya mahitaji ya sasa ya lita 133.4…

28 July 2023, 4:15 pm

Wananchi Kapalala walia na maji safi, salama

KATAVI Baadhi ya wananchi wa vitongoji vya kata ya Kapalala halmashauri ya Nsimbo mkoani Katavi wameiomba serikali kuwaongezea mtandao wa upatikanaji wa maji safi na salama katika kata yao. Wakizungumza na Mpanda Radio FM wamesema baadhi ya maeneo ya kata…

28 July 2023, 3:50 pm

Ifahamu historia ya bwawa la Hombolo

Wananchi katika vijiji vingi vya jirani walikimbia makazi yao na kuhamia vijiji vingine wakati wa ujenzi wa bwawa hilo, ikiwa ni pamoja na Zepisa. Na Yussuph Hassan. Bwawa la Hombolo lilijengwa ili kuunda  bwawa lililopo katika kijiji cha Hombolo Bwawani. Bwawa hilo lilijengwa na serikali ya kikoloni…

21 July 2023, 09:16

Aweso amwagiza DC Kibondo kumchukulia hatua mkandarasi

Mkandarasi anayetekeleza mradi wa uchimbaji wa visima vya maji Wilayani Kibondo ametakiwa kukamilisha mradi huo kwa haraka baada ya kutelekeza mradi huo kwa kipindi kirefu na kusababisha wananchi kukosa hudum ya maji. Na, Kadislaus Ezekiel Waziri wa maji Jumaa Aweso…

13 July 2023, 11:58

Vijiji 8 Kigoma vyakabiliwa na ukosefu wa maji

Ukosefu wa maji katika baadhi ya vijiji vya halmashauri ya wilaya na mkoani Kigoma umetajwa kuendelea kuwatesa wananchi kwani hulazimika kutumia maji ya visima na mito yasiyokuwa safi na salama. Na, Kadislaus Ezekiel Wananchi wa vijiji vinane vya halmashauri ya…

10 July 2023, 10:24 am

Katavi: Maji safi na salama bado kilio Kamlenga

KATAVI Wananchi wa kitongoji cha Kamlenga kijiji cha Sibwesa halmashauri ya Tanganyika mkoani Katavi wameiomba serikali iwasaidie upatikanaji wa maji safi na salama ili kuepukana na magonjwa ya tumbo. Wakizungumza na Mpanda Radio fm wananchi hao wamesema kuwa wanatembea umbali…