Radio Tadio

Maji

28 Machi 2025, 10:11 mu

Maswa: Walioshindwa kurejesha mikopo kufikishwa mahakamani

“Hatuwezi kukaa kimya kwa wale ambao walichukua fedha za halmashauri na kwenda kujikwamua kiuchumi lakini linapokuja swala la kurejesha wanaingia mitini haiwezekani halmashauri ibane matumizi kwa ajili ya mikopo halafu watu wasirudishe ifike sehemu wajuwe hizi ni fedha za walipa…

19 Machi 2025, 4:55 um

IPOSA yatajwa kuwakwamua vijana kiuchumi mkoani Simiyu

‘‘Aliyesema kuwa elimu ni ufunguo wa maisha ni kweli hakukosea ndiyo tunawatu wengi sana ambao hawakuweza kupata elimu ndani ya mfumo rasmi lakini haimaanishi kuwa watu hawa wasiweze kupata fursa ya elimu hata ya ufundi stadi ili kuondoa utegemezi kwenye…

18 Machi 2025, 9:20 um

Wanafunzi mabalozi wazuri wa usalama barabarani Bariadi

“Elimu ya usalama barabarani bado haikwepeki hivyo mamlaka husika zinao wajibu wa kutoa elimu hasa kwa makundi ambayo yanaweza kuwa msaada mkubwa wa kufikisha elimu kwa jamii kubwa”. Na, Daniel Manyanga  Katika kuhakikisha ajali za barabarani zinaisha au kupungua mkoani…

12 Machi 2025, 12:19 um

Masunga, Daudi jela miaka 5 kwa wizi wa nguruwe wilayani Maswa

“Hatuwezi kuendelea kuona watu ambao wanapambana katika kujikwamua kiuchumi kwa kufanya shughuli mbalimbali wanarudishwa nyuma na watu ambao hawana nia njema ya kujenga uchumi wa mtu mmoja mmoja hadi Taifa kwa ujumla lazima tuwajibishane kwa kufuata sheria ili kukomesha tabia…

9 Machi 2025, 2:45 um

Mbunge atoa kompyuta 5 Ihanamilo sekondari

Wadau mbalimbali wa elimu wameombwa kuendelea kujitokeza kusaidia sekta hiyo hususani katika masuala ya TEHAMA. Na Mrisho Shabani: Mbunge wa Jimbo la Geita mjini Costantine Kanyasu ametoa Kompyuta  zenye thamani ya zaidi ya milioni 10 katika shule ya sekondari Ihanamilo…