Radio Tadio

MAENDEDELEO

9 December 2022, 6:23 AM

Maadhimisho ya Siku ya Uhuru Desemba 09, Mwaka huu- MASASI

Katika kuelekea kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Uhuru Desemba 09, Mwaka huu, Mkuu wa Wilaya Bi. Claudia Kitta ameungana na Wafanyakazi wa Taasisi mbali mbali za Serikali pamoja na Wananchi Wilayani hapa pamoja na kufanya usafi wa mazingira kwenye…

19 September 2022, 4:20 pm

Serikali yatenga Bil. 3 ujenzi Hospitali ya rufaa

Serikali, imetenga kiasi cha Shilingi Bilioni 3 kwa ajili ya kuanza ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Rukwa. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel hii leo Septemba 19, 2022 Bungeni Jijini Dodoma wakati akijibu…

6 September 2022, 10:16 am

Karani Wa Sensa Aona Miti Badala Ya Nyumba-Tabora

Mratibu wa wa sensa katika Wilaya ya Igunga Ally Hemed amesema kwamba Karani  wa Sensa wilayani Igunga mkoani Tabora,  alishindwa kuifikia kaya moja iliyopo katika kijiji cha Migelele, Kata ya Lugubu wilayani humo baada ya kuchezewa kiini macho na kuona miti kila…

July 14, 2022, 6:03 pm

Ukarabati wa soko la Malunga kukamilika baada ya wiki mbili

Zoezi la ukarabati miundombinu ya soko la Malunga Mansipaa ya Kahama mkoani Shinyanga kwa ajili ya gulio linaendelea na linatarajiwa kukamilka wiki mbili zijazo.   Akizungumza na Huheso Fm leo julai 14, 2022 Mwenyekiti wa masoko na magulio manispaa ya…

8 July 2022, 14:52 pm

Fahamu uhusiano uliopo kati ya Jamii na kampuni za gesi

Fahamu ushirikiano ulipo kati ya jamii na kampuni ya gesi katika kiwanda kilichopo kata ya Madimba mkoani Mtwara. Makala haya yanaangazia namna gani wananchi wanaweza kupata ajira katika eneo hilo la uchakataji wa Gesi asilia katika kata ya Madimba  …