Radio Tadio

Kilimo

31 Januari 2025, 13:07

Watumishi wa umma watakiwa kuzingatia utawala bora Buhigwe

Watumishi wa umma Wilayani Buhigwe Mkoani Kigoma wametakiwa kufanya kazi kwa kuzingatia utawala bora ili kuhakikisha wanafikia azma ya kufikisha maendeleo kwa wananchi. Na Emmanuel Kamangu Katibu tawala wa Wilaya ya Buhigwe Utefta Mahega amewataka Watumishi wa umma Wilaya ya…

31 Januari 2025, 12:11

Madiwani wapitisha bajeti ya shilingi bilioni 68.3 Geita

Madiwani katika Halmashauri ya Manispaa ya Geita wamesema bajeti hiyo itaenda kusaidia katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa wananchi Na Samwel Masunzu – Geita Baraza la madiwani la halmashauri ya manispaa ya Geita mkoani Geita limepitisha rasmu ya makadirio…

31 Januari 2025, 11:25

TAKUKURU Kigoma yabaini mapungufu miradi 31 ya maendeleo

Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Kigoma imebaini mapungufu madogo madogo katika miradi 31 ya maendeleo kati ya miradi 32. Na Orida Sayon Akitoa taarifa ya ufuatiliaji wa miradi ya maendeleo katika kipindi cha kuanzia mwezi…

28 Januari 2025, 14:37

RC Kigoma akabidhi pikipiki na gari kusambaza chanjo

Serikali imesema itahakikisha inawafikia watoto katika zoezi la usambazaji wa chanzo katika wilaya za mkoa wa kigoma Na Josephine Kiravu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Thobias Andengenye amekabidhi pikipiki 12 pamoja na gari moja kwa ajili ya kusambaza chanjo katika…

24 Januari 2025, 08:42

‘Wananchi bado wana uelewa mdogo wa kisheria’

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Thobias Andengenye amewataka wananchi kujitokeza kushiriki kwenye kampeni ya Mama Samia Legal Aid ili waweze kupata elimu ya masuala ya kisheria. Na Josephine Kiravu Imeelezwa kuwa uelewa wa kisheria kwa wananchi hasa wanaoishi maeneo ya…

20 Januari 2025, 11:44

Wakuu wa kaya watakiwa kujenga vyoo bora

Ujenzi wa vyoo bora kwa kila kaya inatajwa kuwa sehemu ya mapambano dhidi ya magonjwa ya mlipuko ikiwemo kipindupindu. Na Michael Mpunije Wakuu wa kaya Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kujenga vyoo bora na kuzingatia kanuni za…

20 Januari 2025, 11:06

Watoto waliofaulu wapelekwe kidato cha kwanza

Kila mzazi ana wajibu wa kuhakikisha mtoto wake anapata haki ya elimu bora na elimu bora huanza na maandalizi bora kwa mtoto. Na Hagai Ruyagila Wazazi na walezi wilayani Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kutambua umuhimu wa elimu kwa kuwapeleka shule…

17 Januari 2025, 12:46 um

One Acre Fund yatoa miti Kilolo kutunza mazingira

Na Joyce Buganda Wananchi wa kijiji cha Itimbo, kata ya Ihimbo wilayani Kilolo Mkoani Iringa wamenufaika na msaada wa miti uliotolewa na Shirika la One Acre Fund. Wakizungumza wakazi wa kijiji hicho wakati wa kupokea miti hiyo Wamesema miti hiyo…

16 Januari 2025, 12:46 um

Iringa kupanda miti milion 42 kutunza mazingira

Na Joyce Buganda Serikali ya mkoa wa Iringa inatarajia kupanda zaidi ya miti millioni 42 kwa kipindi Cha mwaka 2025 ikiwa ni sehemu ya kuunga juhudi za serikali ya awamu ya 6 Ili kutunza mazingira. Hayo yamezungumzwa na Mkuu wa…