
Kilimo

4 October 2024, 11:48
Wadau watoa msaada wa vyakula na vifaa shule ya kasange
Wadau wa maendeleo wilayani kasulu mkoani kigoma wametakiwa kuendelea kuunga mkono juhudi za serikali katika kusaidia kuboresha elimu ili kusaidia watoto waweze kupata haki yao ya elimu. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Katika kuunga mkono juhudi za serikali za kuhakikisha…

30 September 2024, 12:46
Wananchi wenye sifa watakiwa kugombea nafasi za uongozi Kasulu
Msimamizi wa uchaguzi halmashauri ya Mji Kasulu ambaye pia ni Mkurugenzi wa halmashauri hiyo Mwl. Vumilia Simbeye amewataka wananchi kujitokeza na kuchukua fomu kwa ajili ya kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba…

26 September 2024, 12:35
Shule ya Ndalichako yakabiliwa na upungufu wa madawati
Serikali imesema itandelea kushirikiana na wadau katika kuboresha miundombinu ya shule ili kuhakikisha wanafunzi wanasoma katika mazingira rafiki. Na Hagai Ruyagila Shule ya msingi Ndalichako iliyopo Halmashauri ya Mji Kasulu mkoani Kigoma inakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo upungufu wa madawati,…

24 September 2024, 12:27
Namna ongezeko la watu linavyoathri uchumi wa kaya
Serikali imesema halmashauri nchini hazina budi kutumia matokeo ya sensa ya mwaka 2022 kwa ajili ya kupanga maendeleo ya watu, familia na taifa kwa ujumla. Na Michael Mpunije – Kasulu Inaelezwa kuwepo kwa idadi kubwa ya watu kwenye kaya hupelekea…

23 September 2024, 15:58
Miradi ya bilioni 4 yakaguliwa na kuzinduliwa Kibondo
Mwenge wa uhuru kitaifa kwa mwaka 2024 umekimbizwa wilayani Kibondo mkoani Kigoma na kuzindua miradi mbalimbali ya maendeleo wilayani humo. Na James Jovin – Kibondo Jumla ya miradi sita yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 4 imekaguliwa, kuwekewa mawe…

23 September 2024, 13:26
Wakristo watakiwa kuliombea taifa amani Kasulu
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mji wa Kasulu amewataka wakristo kuendelea kuliombea taifa na mshikamano hasa katika kipindi hiki ambacho taifa linaelekea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27 mwaka huu. Na Emmanuel Kamangu – Kasulu…

19 September 2024, 10:39
Serikali yatumia bilioni 19 kuboresha sekta ya afya Kigoma
Serikali imesema kuwa itaendelea kujenga na kuboresha miradi mbalimbali hususani miradi ya afya kwa lengo la kuwaletea maendeleo wananchi na kupata huduma karibu na maeneo yao. Na James Jovin – Kibondo Katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita serikali imefanya uwekezaji…

18 September 2024, 4:55 pm
RC Kihongosi amwaga fedha kwa bodaboda wa Nyashimo Busega
“Mchango wa maendeleo na kupunguza wimbi la ajira umekuwa mkubwa sana kwa Taifa kutokana na baadhi ya vijana kujiajiri wao wenyewe kupitia bodaboda hivyo kujiongezea kipato“. Na, Daniel Manyanga Mkuu wa mkoa wa Simiyu,Kenani Kihongosi ametoa kiasi cha fedha milioni…

13 September 2024, 09:31
Walimu watoro kazini kuchukuliwa hatua Kibondo
Baraza la madiwani wilayani Kibondo Mkoani Kigoma limesema litawachukulia hatua za kinidhamu walimu wote ambao wamekuwa hawakai kwenye vituo vyao vya kazi hasa muda wa masomo na kwenda kufanya biashara Na James Jovin – Kibondo Serikali wilayani Kibondo mkoani Kigoma…

2 September 2024, 17:15
Wanafunzi wawili wajeruhiwa kwa kipigo na mwalimu
Wakati Serikali na wadau mbali mbali wa haki za binadamu wakiendelea kupinga vitendo vya ukatili wa vipigo kwa watoto shuleni bado ukatili wa aina hiyo unaendelea kujitokeza siku hadi siku. Kutoka wilayani kasulu Emmanuel Kamangu na ripoti zaidi.