Kilimo
30 Mei 2023, 10:06 mu
Wakulima wa pamba Tongwe walia na bei ya zao hilo
KATAVI Wakulima wa zao la pamba kijiji cha Vikonge kata ya Tongwe halmshauri ya wilaya ya Tanganyika wameiomba serikali kupitia Wizara ya Kilimo kuongeza bei ya zao hilo. Wakizungumza katika uzinduzi wa soko la mauzo ya zao la pamba katika…
29 Mei 2023, 8:33 um
Jamii yashauriwa kuendelea kulima na kutumia mazao jamii ya mikunde
Mazao jamii ya mikunde yanatajwa kuwa na protini nzuri na bora kuliko protini nyingenezo hivyo wanahamasishwa kulima na kutumia mazao hayo. Na Mindi Joseph. Jamii imeshauriwa kuendelea kutumia na kulima kwa wingi mazao ya jamii ya mikunde hususan mbaazi ili…
25 Mei 2023, 7:41 um
Vijana watakiwa kujikita katika kilimo
Katika eneo hili mazao mbalimbali yanazalishwa ikiwemo matunda kama vile embe papai na chungwa pamoja na mazao mengine kama migomba na mihogo. Na Thadei Tesha. Vijana jijini Dodoma wameshauriwa kujiingiza katika shughuli za kilimo kwani zikifanywa kiukamilifu zinaweza kuleta fursa…
19 Mei 2023, 7:36 um
Wananchi watakiwa kutumia mabwawa yanayojengwa kujikita katika kilimo cha umwagi…
Ziara ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma imefanyika wilayani Bahi lengo likiwa ni kutembelea miradi mbalimbali wilayani humo ikiwemo ujenzi wa shule ya msingi Ngondo, nyumba ya mwalimu na mradi wa umwagiliaji Kongogo. Na Mariam Kasawa. Wananchi wametakiwa kutumia vizuri…
16 Mei 2023, 8:16 um
Program ya AFDP yategemewa kuwafikia wakulima zaidi ya laki mbili nchini
Watazania wamehimizwa kuendelea kujikita katika katika shughuli za kilimo kwa uwekezaji wa uhakika . Na Mindi Joseph. Imeelezwa kuwa, Programu ya kuendeleza Kilimo na Uvuvi AFDP unataegemea kufikia kaya zaidi ya Laki mbili Nchini. Hayo yamebainishwa na mtaalam wa masuala…
15 Mei 2023, 6:48 um
Wakulima wa alizeti Bahi wahimizwa kuzingatia matumizi sahihi ya pembejeo
Wakulima wa alizeti Bahi wahimizwa kuzingatia matumizi sahihi ya pembejeo ili kuzalisha zao hilo kwa wingi na ubora unaotakiwa nchini. Na Bernad Magawa Wakulima wa zao la alizeti wilayani Bahi wameshauriwa kutumia kwa usahihi pembejeo za kilimo ili waweze kuwa…
12 Mei 2023, 12:42 um
Mndolwa azitaka kampuni zilizoshinda zabuni kufanya upembuzi yakinifu
Hata hivyo Mdolwa amesema lengo la kukutana na wakurugenzi wa kampuni hizo ni kujenga uelewa wa pamoja kurahisisha utendaji na kupata matokeo chanya. Na Mindi Joseph. Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji Raymond Mndolwa amezitaka kampuni zilizoshinda zabuni…
11 Mei 2023, 5:50 um
Serikali kushirikiana na sekta binafsi kuendeleza sekta ya kilimo
Feed the Future inasaidia Nchi katika kuendeleza sekta za kilimo ili kuchochea ukuaji wa uchumi na biashara ambayo huongeza mapato na kupunguza njaa umaskini na utapiamlo. Na Mindi Joseph. Serikali kwa Kushirikiana na Sekta Binafsi imejipanga kuendeleza sekta ya kilimo…
9 Mei 2023, 4:51 um
Uvunaji hafifu wa mahindi wapelekea tishio la njaa kwa baadhi ya familia
Mkoa wa Dodoma ulijiwekea malengo ya kulima hekta 7 za chakula lakini mvua hazikunyesha kama ilivyotarajiwa hivyo kuathiri upatikanaji wa chakula kama ilivyotarajiwa kuilazimu Serikali kutoa mahindi ya bei nafuu jumla ya tani 12,747.15. Na Mindi Joseph. Uvunaji Hafifu wa…
5 Mei 2023, 5:07 mu
Wakulima Sungamila Wapata Hasara Sababu ya Mbolea
MPANDA Wakulima wa mahindi katika Kijiji cha Sungamila kata ya Kasokola manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametaja mbolea ya msimu imewasababishia hasara katika kilimo hicho. Wakizungumza na Mpanda Redio FM kwa nyakati tofauti wakulima hao wamesema kuwa katika msimu huu…