Radio Tadio

Kilimo

11 Novemba 2024, 14:02

Wahitimu wa mafunzo ya biblia waaswa kuhubiri matendo mema

Wahitimu wa mafunzo ya biblia katika chuo cha biblia Dar es salaam tawila Kigoma wametakiwa kuisaidia jamii kuachana na vitendo viovu ambavyo vimekuwa vikifanyika na kusababisha baadhi ya makundi mbalimbali kuathirika ikiwemo ukatilii na uvunjifu wa amani. Na Timotheo Leonard…

8 Novemba 2024, 17:53

Hali ya upatikanaji wa maji vijijini ni asilimia 74 Kigoma

Mkuu wa Mkoa Kigoma, Thobias Andengenye ameutaka Wakala wa Maji Mijini na Vijijini (RUWASA) Mkoa Kigoma kuhakikisha upatikanaji wa vitendea kazi kwenye sekta ya maji unajibu mipango ya Rais Samia katika kusogeza huduma karibu na wananchi ya kumtua mama ndoo…

7 Novemba 2024, 9:23 mu

Maswa:Wanawake wahimizwa kuchota mafedha Halmashauri

Wakazi wilayani Maswa Mkoani Simiyu mbioni kunufaika na mikopo ya 10% inayotengwa na Halmashauri kutoka kwenye mapato yake ya ndani baada ya Serikali kusitisha zoezi hilo toka April,2023/2024. Na,Alex Sayi Wanawake na  Samia wilayani Maswa Mkoani Simiyu wamehamasishwa kuchangamkia fursa…

5 Novemba 2024, 13:09

Wahudumu wa afya watakiwa kutoa elimu ya uzazi Kasulu

Serikali kupitia idara ya katika Halmashauri ya mji wa Kasulu Mkoani Kigoma imewataka wanawake hasa wajawazito kuhidhuria kliniki na kutumia dawa wanazoelekezwa na wataalamu wa afya waweze kujifungu watoto wakiwa hawana matatizo. Na Michael Mpunije – Kasulu Baadhi ya wanawake…

28 Oktoba 2024, 13:03

Wahitimu FDC Kasulu watakiwa kuwa wabunifu kujipatia kipato

Katibu tawala wilaya Kasulu Mkoani Kigoma Bi. Theresia Mtewele amesema tayari serikali imefungua zoezi la utoaji wa mikopo ya asilimia kumi inayotolewa na halamshauri kupitia mapato ya ndani na hivyo vijana wanaohitimu mafunzo ya ufundi hawana budi kuchangamkia fulsa hiyo…

24 Oktoba 2024, 12:14

Kamati vyama vya siasa yaridhishwa mwenendo wa uandikishaji

Viongozi wa siasa mkoani Kigoma kupitia Umoja wa vyama vya siasa mkoani hapa wameeleza kuridhishwa na zoezi la uandikishaji kwenye daftari la wakazi kwa ajili ya kupata sifa ya kushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika novemba 27,2024. Na, Josephine…

24 Oktoba 2024, 09:06

Watendaji watakiwa kuwa wabunifu utoaji wa chakula shuleni

Serikali wilayani Buhigwe imesema inaendelea kuweka mikakati mbalimbali ya kukabiliana na tatizo la udumavu kwa watoto ikiwa ni pamoja na kusimamia suala la chakula shuleni ili wanafunzi waweze kupata chakula. Na Emmanuel Kamangu – Buhigwe Mwenyekiti wa kamati ya lishe…