Radio Tadio

Jinsia

3 February 2023, 3:54 pm

Akamatwa na jeshi la polisi kwa kumshushia kipigo mtoto mdogo

Mama mlezi aliyemshambulia kwa kipigo kikali  mwanafunzi wa darasa la kwanza katika shule ya  Msingi Bukala  Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza    na kumjeruhi vibaya sehemu mbalimbali za mwili wake  kwa madai ya kukojoa kitandani  hatimaye amekamatwa na jeshi la Polisi wilayani…

26 May 2022, 9:49 am

RUNGWE-MBEYA NA:LETHISIA SHIMBI Jamii wilayani Rungwe mkoani Mbeya imetakiwa kuachana na mtazamo hasi kuhusu watu wenye ulemavu badala yake wametakiwa kujumuika kwa pamoja na kushirikiana katika mambo mbalimbali. Rai hiyo imetolewa na Meneja wa shirika la TRAIDCRAFT EXCHARGE Ndg Ledis…