Jamii
27 Machi 2023, 12:52 um
Watoto 172 Iringa Wanufaika Bima ya Afya
Watoto 172 mkoani Iringa wamekabidhiwa bima za afya ili kuweza kumudu matibabu pindi wanapokabiliwa na magonjwa. Na Adelphina Kutika. Taasisi isiyo ya kiserikali ya Rounding Hands to Save Community na Makutano TV kwa kushirikiana na Chuo Kikuu Huria cha Iringa na Hidaya Catering…
17 Machi 2023, 2:09 um
WANAMAKANGALE WAMPONGEZA DC KUTATUA CHANGAMOTO YA MAJI.
Na Khadija Rashid Nassor Upatikanaji wa maji safi na salama shehiya ya Makangale Wilaya ya Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba, ni miongoni mwa juhudi za Mkuu wa Wilaya ya Micheweni Mgeni Khatib Yahya katika kuwaletea wananchi maendeleo. Mnamo mwezi wa…
16 Machi 2023, 3:39 um
DC Gondwe apiga marufuku wanafunzi kuchunga mifugo siku za masomo
ni vema wazazi kupunguza tabia ya kuwa wakali kwa watoto wao na badala yake wajenge urafiki kwa kuzungumza nao mara kwa mara ili wasiwaogope , bali wawe huru kwa wazazi wao kueleza changamoto mbalimbali. Na Benard Magawa Mkuu wa Wilaya…
13 Machi 2023, 12:57 um
Elimu Matumizi Mitandao kwa Watoto
Kutokana na kukua kwa teknolojia wazazi wametakiwa kuwafundisha watoto wao matumizi sahihi ya mitandao ya kijamii. Na Joyce Buganda. Mtaalamu wa masuala ya teknolojia na Tehama wilayani Mufindi Bw. Hasan Chunya amesema juu ya matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii…
13 Machi 2023, 12:21 um
Wasanii Wakemea Ukatili Iringa
Kufuatia matukio ya kikatili yanayoendelea kushamiri katika mkoa wa Iringa wasanii wenye asili ya Iringa wameamua kuungana kutengeneza filamu yenye maudhui ya kupinga ukatili. Na Adelphina Kutika. Wasanii maarufu wa filamu nchini ambao asili yao kutoka mkoa wa Iringa wamesema…
Machi 9, 2023, 10:44 mu
Wanawake waaswa kutumia Teknolojia
Katibu Tawala Wilaya ya Makete Bi. Grace Mgeni akizungumza na Wawawake waliojitokeza kwenye Maadhimisho ya Kilele cha Siku ya Mwanamke Duniani
Machi 7, 2023, 9:59 um
Polisi Wanawake Makete wawafariji Yatima Bulongwa
Mtandao wa Jeshi la Polisi Wanawake Wilayani Makete Mkoani Njombe wametembelea kituo cha kulelea watoto Yatima Bulongwa na kutoa msaada wa vitu mbali mbali vyenye thamani ya shilingi laki tatu . Philipina mkumbo ni Mkuu wa upelelezi Wilaya ya Makete…
Machi 7, 2023, 9:52 um
Wanawake na Wanaume Makete wawatembelea Wafungwa Gerezani
Kuelekea maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani wanawake kwa kushirikiana na wanaume Kata ya Iwawa, wametembelea wafungwa katika gereza la Wilaya ya Makete lililopo kijiji cha Ndulamo wakiwa na lengo la kuungana nao katika maadhimisho hayo kwa kuwafariji na kuwapa…
6 Machi 2023, 4:46 um
Tembo wafanya uharibifu wa ekari zaidi ya 100
Tembo hao wamesababisha uharibifu mkubwa katika mashamba hayo na kuwaacha wananchi na sintofahamu. Na Alfred Bulahya Kundi la Tembo wanaokadiriwa kuwa zaid ya 300 wamevamia mashamba ya wananchi katika kijiji cha Magungu Kubi katika kata ya Mpendo walayani Chemba na…
Machi 5, 2023, 2:58 um
Gharama za Maisha zapanda baada ya kukosekana huduma ya Umeme
Wananchi wakosa huduma ya Umeme kwa zaidi ya mwezi sasa