Radio Tadio

Jamii

March 7, 2023, 9:52 pm

Wanawake na Wanaume Makete wawatembelea Wafungwa Gerezani

Kuelekea maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani wanawake kwa kushirikiana na wanaume Kata ya Iwawa, wametembelea wafungwa katika gereza la Wilaya ya Makete lililopo kijiji cha Ndulamo  wakiwa na lengo  la kuungana nao katika maadhimisho hayo  kwa kuwafariji na kuwapa…

6 March 2023, 4:46 pm

Tembo wafanya uharibifu wa ekari zaidi ya 100

Tembo hao wamesababisha uharibifu mkubwa katika mashamba hayo na kuwaacha wananchi na sintofahamu. Na Alfred Bulahya Kundi la Tembo wanaokadiriwa kuwa zaid ya 300 wamevamia mashamba ya wananchi katika kijiji cha Magungu Kubi katika kata ya Mpendo walayani Chemba na…

23 February 2023, 9:24 pm

Sitaki niongoze wilaya ya watu wenye njaa : DC Bunda

Mkuu wa Wilaya ya Bunda Mhe Dkt Vicent Naano amesema hataki kuongoza Wilaya ambayo watu wake Wana njaa Kauli hiyo ameitoa kwenye kikao Cha Baraza maalumu la madiwani lililoketi Juma hili kulijadili zoezi la Nyatwali Amesema katika maeneo mengi ya…