Radio Tadio

Jamii

27 Machi 2023, 12:52 um

Watoto 172 Iringa Wanufaika Bima ya Afya

Watoto 172 mkoani Iringa wamekabidhiwa bima za afya ili kuweza kumudu matibabu pindi wanapokabiliwa na magonjwa. Na Adelphina Kutika. Taasisi  isiyo ya kiserikali ya Rounding Hands to Save Community na Makutano TV kwa kushirikiana na Chuo Kikuu Huria cha Iringa na Hidaya Catering…

13 Machi 2023, 12:57 um

Elimu Matumizi Mitandao kwa Watoto

Kutokana na kukua kwa teknolojia wazazi wametakiwa kuwafundisha watoto wao matumizi sahihi ya mitandao ya kijamii. Na Joyce Buganda. Mtaalamu wa masuala ya teknolojia na Tehama wilayani Mufindi Bw. Hasan Chunya amesema  juu ya matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii…

13 Machi 2023, 12:21 um

Wasanii Wakemea Ukatili Iringa

Kufuatia matukio ya kikatili yanayoendelea kushamiri katika mkoa wa Iringa wasanii wenye asili ya Iringa wameamua kuungana kutengeneza filamu yenye maudhui ya kupinga ukatili. Na Adelphina Kutika. Wasanii maarufu  wa filamu nchini ambao  asili yao kutoka  mkoa wa Iringa  wamesema…

Machi 7, 2023, 9:59 um

Polisi Wanawake Makete wawafariji Yatima Bulongwa

Mtandao wa Jeshi la Polisi Wanawake Wilayani Makete Mkoani Njombe wametembelea kituo cha kulelea watoto Yatima Bulongwa na kutoa msaada wa vitu mbali mbali vyenye thamani ya shilingi laki tatu . Philipina mkumbo  ni Mkuu wa upelelezi Wilaya ya Makete…

Machi 7, 2023, 9:52 um

Wanawake na Wanaume Makete wawatembelea Wafungwa Gerezani

Kuelekea maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani wanawake kwa kushirikiana na wanaume Kata ya Iwawa, wametembelea wafungwa katika gereza la Wilaya ya Makete lililopo kijiji cha Ndulamo  wakiwa na lengo  la kuungana nao katika maadhimisho hayo  kwa kuwafariji na kuwapa…

6 Machi 2023, 4:46 um

Tembo wafanya uharibifu wa ekari zaidi ya 100

Tembo hao wamesababisha uharibifu mkubwa katika mashamba hayo na kuwaacha wananchi na sintofahamu. Na Alfred Bulahya Kundi la Tembo wanaokadiriwa kuwa zaid ya 300 wamevamia mashamba ya wananchi katika kijiji cha Magungu Kubi katika kata ya Mpendo walayani Chemba na…