Radio Tadio

Habari za Jumla

3 Julai 2024, 6:20 um

Kiwango cha ufaulu chaongezeka Rungwe

Ili kuwa na jamii yenye uelewa walimu wameshauriwa kuwa mstari wa mbele kutoa elimu bora kwa wanafunzi kwa lengo la kujenga kizazi chenye elimu Rungwe-Mbeya Na Bahati Obel Mkuu wa Wilaya ya Rungwe Jaffar Haniu amekemea tabia ya baadhi ya…

28/06/2024, 17:15

BoT yazitaka taasisi za kifedha Manyara kujisajili

Wananchi mkoani Manyara wametakiwa kutokuchukua mikopo kwa wakopeshaji binafsi ili kuondokana na riba kandamizi pamoja na kujua  sheria itakayo mlinda pindi anapochukua mkopo katika Taasisi za kifedha Na Emmy Peter Tasisi  za huduma ndogo za fedha zinazokopesha fedha wilayani Babati mkoa  wa…

27 Juni 2024, 08:06

Waraibu 12 wa DAWA za kulevya wanapatiwa matibabu Iringa

MUFINDINa Witness Alex Wakati leo june 26, dunia ikiadhimisha siku ya mapambano dhidi ya dawa za kulevya, waraibu wapatao 12 wanaendelea kupata msaada wa kuacha kutumia dawa za kulevya katika Nyumba Ya Upataji Nafuu (Iringa Soba House) mkoani Iringa.JACKSON MACHOWA…

27 Juni 2024, 07:52

Mufindi DC yapata hati safi 2022/2023

Na Witness Alex Mufindi Mkuu Wa Mkoa Wa Iringa Mhe Peter Serukamba Ameipongeza Halmashauri Ya Wilaya Ya Mufindi Kwa Kupata Hati Safi Kutoka Kwa Mdhibiti Na Mkaguzi Mkuu Wa Hesabu Za Serikali (CAG) Kwa Mwaka Wa Fedha 2022/2023. Leo Juni…

26 Juni 2024, 12:39

kambi ya SKAUT yafungwa Songwe

Kambi ya Vijana wa SKAUT ngazi ya Mkoa katika mkoa wa songwe imetoa matokeo chanya kwa vijana washiriki mkoni Songwe. Na mwandishi wetu,Songwe Mkuu wa Wilaya ya Mbozi, Mhe. Ester Mahawe, kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe.…

25/06/2024, 16:06

Wajasiriamali tumieni masoko Kimataifa

kutokana na Soko la ndani kuwa huru wanawake wajasiriamali mkoani Manyara wametakiwa kuzingatia ubora wa bidhaa  wanazo zalisha Ili kuendeleza masoko ya ndani na nje ya nchi ili kuwainua kiuchumi kutokana na fursa zilizopo. Na Angela Munuo Wanawake wajasiriamali wilayani…

24 Juni 2024, 15:47

Wanawake watakiwa kupeana ujuzi kuyafikia malengo

Naibu waziri Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari mhandisi Maryprisca Winfred Mahundi amewataka wanawake wenye malengo ya kujiendeleza kiuchumi kutokuwa wabinafsi katika kupeana ujuzi na maarifa ya mafanikio waliopata na kutembea pamoja bila kuwekeana chuki na husuda kwa mafanikio ya mtu…