Habari za Jumla
3 Juni 2024, 3:47 um
Wadau wa maendeleo kuzinufaisha shule Rungwe
Mdau wa maendeleo wilayani Rungwe Ndg Aliko Mwaiteleke Wadau wa maendeleo wameendelea kuunga mkono juhudi za serikali ili kutatua changamoto kwenye jamii RUNGWE- MBEYA Na Noah Kibona Jumla ya Kompyuta 200 zinatarajia kuzinufaisha shule za sekondari 10 kutoka Shirika lisilo…
Juni 3, 2024, 9:04 mu
RC Macha afunga mkutano wa wasabato Kahama Net Event yatosha Jagwani
Watoto wetu wakilelewa katika misingi ya kumjua Mwenyezi Mungu hakika itapunguza sana mmomonyoko wa maadili katika jamii Na. Paul Kasembo MKUU wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Anamringi Macha amefunga Mkutano wa Waadventista Wasabato huku akitoa ujumbe kwamba mtoto akimjua Mwenyezi…
31 Mei 2024, 11:54 um
Doria zaimarisha uhai wa misitu Muheza
Watu wameacha kuharibu misitu kutokana na sheria tulizoweka pamoja na doria, kwa sasa hata kama ni baba au ndugu yako akiharibu msitu utampeleka mbele ya sheria. Na Hamisi Makungu Doria za mara kwa mara katika hifadhi ya misitu wilayani Muheza…
31 Mei 2024, 11:37 um
Wenza msiwekeane vikwazo kufanya kazi
Migogoro mingi imekuwa ikiibuka kutokana na changamoto ya wenza wa kike wanapopangiwa zamu za kulinda usiku katika kampuni ya mkonge. Na Saa Zumo Jamii ya Kijiji cha Mtango Wilayani Pangani mkoani Tanga imetakiwa kuona umuhimu wa wenza wao kufanya kazi…
31 Mei 2024, 7:16 um
RC Nawanda aagiza halmashauri kutenga bajeti ya michezo mashuleni
Utengaji wa bajeti ya ununuzi wa vifaa vya michezo mashuleni utaongeza wanamichezo hivyo kutengeneza ajira nyingi na kuongeza kipato cha mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla. Na.Daniel Manyanga Mkuu wa mkoa wa Simiyu Dkt.Yahaya Nawanda ameziagiza halmashauri zote mkoani…
31 Mei 2024, 17:19
Wakulima wa pareto mkoa mbeya na songwe watakiwa kuzingatia ubora wa uzalishaji…
Pareto niĀ moja kati ya zao la kibiashara ambalo hulimwa mikoa sita tu nchini tanzania, zao hilo ni jamii ya maua hutumika kutengenezea dawa za kuuwa wadudu. Na Lameck Charles Highlands Fm Radio Serikali ya Wilaya ya Mbeya imesema itaendelea…
31 Mei 2024, 3:12 um
Mifumo ya kuripoti vitendo vya rushwa ni rafiki kwa mwanamke
Mifumo ya kuripoti matukio ya rushwa ni njia ambazo mwananchi ama yule aliyefikwa na tatizo kuweza kufikisha mahala panapostahili. Mifumo hiyo ipo ya namna nyingi mfano kufika mwenyewe kwenye ofisi za takukuru lakini kupiga simu na kutumia ujumbe mfupi ila…
31 Mei 2024, 2:36 um
Aliyefichwa kwa miaka 13 kisa ulemavu aibuliwa Ngorongoro
Jamii za kifugaji zinazo patikana katika wilaya ya Ngorongoro baadhi yao wanaamini mtu mwenye ulemavu kwenye familia ni laana au mkosi hivyo wengi wao uwaficha wasionekane katika jamii. Na Edward Shao. Shirika la Ngolac [Ngorongoro legal aid center] limefanikiwa kumuibua…
30 Mei 2024, 6:37 um
Watumiaji wa soko la ndizi wanufaika Rungwe
Mwakilishi wa Mwaiteleke itika nkoba akikabidhi kwaniaba vifaa kwa viongozi wa soko kutokana na uwepo wa taarifa za magonjwa ya mlipuko jamii imeshauliwa kuchukua taadhari ili kuweza kuyaupuka RUNGWE-MBEYA Na Lennox Mwamakula Ili kukabialiana na magonjwa ya milipuko taasisi isiyo…
30 Mei 2024, 17:13
Wananchi watakiwa kutoa malalamiko juu ya huduma za nishati na maji
Na Lameck Charles Wananchi wa nyanda za juu kusini wametakiwa kuendelea kutoa malalamiko yao wanayokabailiana nayo pale wanapopata huduma zinazohusishwa huduma za nishati na maji. Kauli hiyo imetolewa na Francis Mhina Afisa Huduma kwa wateja (Ewura) nyanda za juu kusini…