Radio Tadio

Habari za Jumla

3 Juni 2024, 3:47 um

Wadau wa maendeleo kuzinufaisha shule Rungwe

Mdau wa maendeleo wilayani Rungwe Ndg Aliko Mwaiteleke Wadau wa maendeleo wameendelea kuunga mkono juhudi za serikali ili kutatua changamoto kwenye jamii RUNGWE- MBEYA Na Noah Kibona Jumla ya Kompyuta 200 zinatarajia kuzinufaisha shule za sekondari 10 kutoka Shirika lisilo…

31 Mei 2024, 11:54 um

Doria zaimarisha uhai wa misitu Muheza

Watu wameacha kuharibu misitu kutokana na sheria tulizoweka pamoja na doria, kwa sasa hata kama ni baba au ndugu yako akiharibu msitu utampeleka mbele ya sheria. Na Hamisi Makungu Doria za mara kwa mara katika hifadhi ya misitu wilayani Muheza…

31 Mei 2024, 11:37 um

Wenza msiwekeane vikwazo kufanya kazi

Migogoro mingi imekuwa ikiibuka kutokana na changamoto ya wenza wa kike wanapopangiwa zamu za kulinda usiku katika kampuni ya mkonge. Na Saa Zumo Jamii ya Kijiji cha Mtango Wilayani Pangani mkoani Tanga imetakiwa kuona umuhimu wa wenza wao kufanya kazi…

31 Mei 2024, 2:36 um

Aliyefichwa kwa miaka 13 kisa ulemavu aibuliwa Ngorongoro

Jamii za kifugaji zinazo patikana katika wilaya ya Ngorongoro baadhi yao wanaamini mtu mwenye ulemavu kwenye familia ni laana au mkosi hivyo wengi wao uwaficha wasionekane katika jamii. Na Edward Shao. Shirika la Ngolac [Ngorongoro legal aid center] limefanikiwa kumuibua…

30 Mei 2024, 6:37 um

Watumiaji wa soko la ndizi wanufaika Rungwe

Mwakilishi wa Mwaiteleke itika nkoba akikabidhi kwaniaba vifaa kwa viongozi wa soko kutokana na uwepo wa taarifa za magonjwa ya mlipuko jamii imeshauliwa kuchukua taadhari ili kuweza kuyaupuka RUNGWE-MBEYA Na Lennox Mwamakula Ili kukabialiana na magonjwa ya milipuko taasisi isiyo…