Radio Tadio

Habari za Jumla

9 Julai 2024, 12:15 mu

Ujenzi wa nyumba Msomera wafikia asilimia zaidi ya 90

Katika juhudi za kuendelea kuboresha mazingira na kujenga nyumba za kutosha katika kijiji cha Msomera ili kuwezesha wananchi watakao hama kwa hiari kutoka hifadhi ya Ngorongoro wanapata sehemu nzuri yakuishi pamoja na mifugo yao sasa ujenzi wa nyumba umekamilika ni…

8 Julai 2024, 11:10 um

Balozi Msumbiji akoshwa na banda la Ngorongoro sabasaba

Maonesho ya biashara yanayojulikana kama sabasaba yalianza mwaka 1962 yakiwa ni maonesho ya kilimo yaliyokuwa yakifanyika katika viwanja vya Wizara ya biashara miaka ya hivi karibuni maonesho hayo yamekuwa yakishirikisha nchi takribani 20 kutoka kusini mwa Afrika (SADC) vilevile yamejulikana…

05/07/2024, 21:25

Mwakitalu: Tusherehekee sabasaba, tusiuze chakula

Mjumbe wa mkutano mkuu CCM taifa kutoka mkoa wa Mbeya Ramadhani Lufingo Mwakitalu amewaomba wanakyela kutouza chakula kwa fujo kuelekea siku ya sabasaba. Na James Mwakyembe Ikiwa zimesaria siku mbili kuelekea kilele cha siku ya sabasaba inayotarajiwa kufanyika jumapili ya…

4 Julai 2024, 4:49 um

Aliyechoma picha ya rais ahukumiwa

“Kwakua umeshindwa kutetea taifa lako lisiathirike na ushoga hii video inakuhusu wewe na si mtu mwingine” Na Sabina Martin – Rungwe Mahakama ya wilaya ya Rungwe mapema leo julai 4. 2024 imemtia hatiani Bw. Shedrack Yusuph Chaula mwenye umri wa…