Habari za Jumla
18 Oktoba 2024, 8:04 um
TANZIA: PCMA wamlilia Askofu Mondeya
Na Nazael Mkude. Wachungaji na waamini wa kanisa la PCMA Mkoani Dodoma wamepokea kwa masikitiko kifo cha Askofu Mkuu Dr. Mondea Kabeho Katibu Mkuu wa Kanisa la hilo Patrick Kajila anaelezea jinsi msiba huo ulivyotokea wakati wa ibada ya kuwafariji…
17 Oktoba 2024, 8:01 um
Zijue athari za malezi ya upande mmoja
Na Anwary Shabani Malezi ya upande mmoja yametajwa kuwa ni changamto kwa makuzi ya mtoto. Kwa nyakati tofauti, wananchi Jijini Dodoma wamesema kuwa zipo changamoto nyingi zinamkabili mtoto anayepata malezi ya upande mmoja ikiwemo suala la elimu. Aidha wananchi hao…
17 Oktoba 2024, 5:01 um
Dc Mtulyakwaku: Nendeni mkajiorodheshe mpate viongozi bora
Na Nyamizi Mdaki Mkuu wa Wilaya ya Uyui Mkoani Tabora Mohamed Mtulyakwaku amesema nyumba nzuri inaendana na msingi imara hivyo wananchi wanapaswa kujiorodesha kwenye daftari la orodha ya wapiga kura ili wapate viongozi bora. Mtulyakwaku ametoa rai kwenye uzinduzi wa…
16 Oktoba 2024, 7:27 um
Wateknolojia Dawa nguzo muhimu katika huduma za afya nchini
Na Yusuph Hassan. Siku ya Wateknolojia Dawa Kitaifa Iimefanyika Jijini Dodoma Ikiwa na kauli mbiu Isemayo “Wateknolojia Dawa nguzo muhimu katika huduma za afya nchini tuwajibike pamoja”. Katika kuadhimisha siku wa Wateknolojia Dawa Duniani ambayo hufanyika Oktoba 16 kila mwaka,…
16 Oktoba 2024, 4:23 um
Jeshi la Polisi Zanzibar lazindua kampeni maalum ya kutoa elimu ya udhalilishaj…
Na Mulkhat Mrisho na Salhiya Hamad. Katibu wa Baraza la Elimu na Mrajisi wa Elimu Zanzibar Faridi Ali Muhamad ameliomba Jeshi la Polisi kushughulikia kesi za udhalilishaji ili kuondoa vitendo hiyo katika jamii. Akizungumza katika uzinduzi wa kampeni ya tuwaambie…
11 Oktoba 2024, 22:00
Care International yawafikia wasichana 600 Mufindi DC
Na Mwanaid Ngatala. Ikiwa ni maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Kike Duniani leo Oktoba 11, 2024, shirika lisilo la kiserikali, Care International, kupitia mradi wa Pesa yake maisha yake (Her Money Her Life), limegawa taulo za kike na sabuni…
11 Oktoba 2024, 7:24 um
Wafanyakazi wahanga magonjwa ya afya ya akili sehemu za kazi
Wanyakazi wanatajwa kuwa hatarini kupata magonjwa ya afya ya akili kutokana na mazingira ya kazi au shughuli wanazofanya. Katibu Mkuu Msaidizi Chama Wataalamu wa Saikolojia (TAPA) Bwn. Albano Michael pamoja Mwenyekiti Kanda ya Kati Magharibi Bwn. Shabani Waziri wamebainisha hayo…
10 Oktoba 2024, 12:47 um
Sendiga afika kumjulia hali mtoto Joel
Baada ya mtoto Joeli Mariki kupatikana akiwa hai katika mlima kwaraa , mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga amesema madaktari wanaendelea kumpatia matibabu na hali yake bado inaendelea kuimarika kwa kuhakikisha anakuwa chini ya uangalizi wa wataalamu wa afya.…
7 Oktoba 2024, 9:41 um
Sillo akabidhi zawadi ya mashine ya kutolea nakala katika shule ya sekondari Mat…
Naibu waziri wa mambo ya ndani Daniel Silo ambae pia ni mbunge wa jimbo la Babati vijijini amekabidhi mashine hiyo baada ya kuwepo kwa changamoto ya upungufu wa vifaa vya shule. Na Mzidalfa Zaid Naibu waziri wa mambo ya ndani…
7 Oktoba 2024, 9:15 um
Wafugaji Simanjiro waaswa kupeleka mabinti shule
Wadau wa elimu kutoka shirika la Kinnapa, wafugaji kutoka wilayani humo wamesema wame elimika kutokana na elimu waliyoipata mara kwa mara na wameamua kuwapeleka watoto wa kike shule na hasa waliopata ujauzito wakiwa na umri mdogo Na Diana Dionis Jamii…