Radio Tadio

Habari za Jumla

12 Novemba 2024, 10:22 mu

Zifahamu athari za kunyanyapaa mtoto yatima

Na Leonard Mwacha Dunia inaadhimisha siku ya mtoto yatima huku ikilenga kuangazia mahitaji yao ya muhimu na makuzi yasiyo ya kibaguzi. Mwandishi wetu Leonard Mwacha amezungumza na mwanasaikolojia na mshauri nasihi Peter Njau, kuhusu namna bora ya kuishi na mtoto…

6 Novemba 2024, 5:53 um

Utandawazi chanzo cha ufahamu kwa  mtoto

Na Lilian Leopold.                                    Mitandao ya kijamii imetajwa kuwa ni moja ya chanzo kikubwa cha ufahamu  watoto wa kitanzania kujifunza mambo mbalimbali. Hayo yamebainishwa na baadhi ya wazazi mkoani Dodoma ambapo wamesema kuwa mitandao ya kijamii ikitumiwa vizuri itawasaidia watoto kujifunza…

5 Novemba 2024, 5:58 um

Fahamu faida za hifadhi hai za Tanzania

Na Fred Cheti.                                          Nevomba 3 ya kila mwaka dunia huadhimisha siku ya kimataifa ya hifadhi hai duniani ambapo kuna hifadhi hai zipatazo 748 huku Tanzania ikiwa na jumla ya hifadhi hai 6. Bwn. Novatusi Moshi ni Afisa Mazingira mwandamizi kutoka…

5 Novemba 2024, 12:22 um

Picha: Tazama mvua ilivyowasumbua wakazi wa Msalala road

Ni msimu wa masika ambapo mvua zinaendelea kunyesha kwa maeneo mbalimbali nchini. Na: Amon Mwakalobo – Geita Tazama hali ilivyo katika mtaa wa Msalala road barabara ya kuelekea Msufini karibu na egesho la bodaboda halmashauri ya mjinwa Geita baada ya…

5 Novemba 2024, 11:29 mu

THRDC watoa msaada wa magodoro gereza la Loliondo

Mtandao wa watetezi wa haki za binadamu Tanzania ni miongoni mwa wadau muhimu wa kutetea haki za binadamu hapa nchini sambamba na hilo wamekuwa wakishiriki kwenye shughuli zingine za kijamii ikiwepo kutoa misaada mbalimbali ya huduma muhimu za kijamii katika…