Habari za Jumla
22 October 2024, 6:31 pm
Wananchi tunzeni wanyama pori
Serikali yasema imeweka mazingira yakuvutia wageni kupitia filamu ya royal tour ambapo watalii wameongezeka hasa mkoani Manyara nakuleta fedha nyingi za kigeni ambazo zinanufaisha vijiji hivyo. Na Marino Kawishe Wananchi waishio karibu na hifadhi za taifa za Manyara na Tarangire…
20 October 2024, 8:09 pm
Watoto bado wanakabiliwa na changamoto Geita
Watoto hususani wa kike mkoani Geita bado wanakabiliwa na changamoto nyingi katika jamii ikiwemo kutoaminiwa,nakupewa nafasi ya kufanya maamuzi. Na Mrisho Sadick: Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kushirikiana na mashirika yasiyo ya kiserikali imedhamiria kuboresha na kulinda…
18 October 2024, 8:05 pm
NIMR yatafiti mikakati ya chanjo ya Uviko-19
Na Yussuph Hassan. Taasisi ya Utafiti wa Kiuchumi na Kijamii ESRF kwa kushirikiana na taasisi ya utafiti wa magonjwa ya binadamu NIMR zimefanya utafiti wa kutathmini mikakati ya kuongeza upataji chanjo ya Uviko-19 nchini. Akizungumza jijini Dodoma katika kongamano la…
18 October 2024, 8:05 pm
Malima awataka walio jiandikisha kujitokeza kupiga kura Nov. 27
Na Noel Steven. Mbunge wa Jimbo la Mpwapwa Mhe. George Nathan Malima amewataka wananchi wa jimbo hilo kujitokeza siku ya kupiga kura Nobemba 27. Mhe. George Nathan Malima Ameyasema hayo wakati alipomaliza zoezi la kujiandikisha katika kituo cha Chamnye…
18 October 2024, 8:04 pm
TANZIA: PCMA wamlilia Askofu Mondeya
Na Nazael Mkude. Wachungaji na waamini wa kanisa la PCMA Mkoani Dodoma wamepokea kwa masikitiko kifo cha Askofu Mkuu Dr. Mondea Kabeho Katibu Mkuu wa Kanisa la hilo Patrick Kajila anaelezea jinsi msiba huo ulivyotokea wakati wa ibada ya kuwafariji…
17 October 2024, 8:01 pm
Zijue athari za malezi ya upande mmoja
Na Anwary Shabani Malezi ya upande mmoja yametajwa kuwa ni changamto kwa makuzi ya mtoto. Kwa nyakati tofauti, wananchi Jijini Dodoma wamesema kuwa zipo changamoto nyingi zinamkabili mtoto anayepata malezi ya upande mmoja ikiwemo suala la elimu. Aidha wananchi hao…
17 October 2024, 5:01 pm
Dc Mtulyakwaku: Nendeni mkajiorodheshe mpate viongozi bora
Na Nyamizi Mdaki Mkuu wa Wilaya ya Uyui Mkoani Tabora Mohamed Mtulyakwaku amesema nyumba nzuri inaendana na msingi imara hivyo wananchi wanapaswa kujiorodesha kwenye daftari la orodha ya wapiga kura ili wapate viongozi bora. Mtulyakwaku ametoa rai kwenye uzinduzi wa…
16 October 2024, 7:27 pm
Wateknolojia Dawa nguzo muhimu katika huduma za afya nchini
Na Yusuph Hassan. Siku ya Wateknolojia Dawa Kitaifa Iimefanyika Jijini Dodoma Ikiwa na kauli mbiu Isemayo “Wateknolojia Dawa nguzo muhimu katika huduma za afya nchini tuwajibike pamoja”. Katika kuadhimisha siku wa Wateknolojia Dawa Duniani ambayo hufanyika Oktoba 16 kila mwaka,…
16 October 2024, 4:23 pm
Jeshi la Polisi Zanzibar lazindua kampeni maalum ya kutoa elimu ya udhalilishaj…
Na Mulkhat Mrisho na Salhiya Hamad. Katibu wa Baraza la Elimu na Mrajisi wa Elimu Zanzibar Faridi Ali Muhamad ameliomba Jeshi la Polisi kushughulikia kesi za udhalilishaji ili kuondoa vitendo hiyo katika jamii. Akizungumza katika uzinduzi wa kampeni ya tuwaambie…
11 October 2024, 22:00
Care International yawafikia wasichana 600 Mufindi DC
Na Mwanaid Ngatala. Ikiwa ni maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Kike Duniani leo Oktoba 11, 2024, shirika lisilo la kiserikali, Care International, kupitia mradi wa Pesa yake maisha yake (Her Money Her Life), limegawa taulo za kike na sabuni…