Radio Tadio

Habari za Jumla

16 Disemba 2024, 10:41 mu

DC Mpanda ahimiza utunzaji wa mazingira

“Wameandaa miti 7500 kwa kupanda katika tasisi mbalimbali za umma na wananchi binafsi ikiwa ni kutekeleza agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassani” Na Samwel Mbugi -Katavi Mkuu wa wilaya ya Mpanda Jamila Yusuph ambae…

13/12/2024, 12:04

Wafanyabiashara soko la Lwamgasa watoa ombi kwa Serikali

Lwamgasa ni miongoni mwa kata 37 zilizopo katika halmashauri ya wilaya ya Geita ambapo shughuli kuu inayofanyika katika kata hiyo ni uchimbaji wa madini ya dhahabu. Na: Paul William – Geita Wafanyabiashara mbalimbali katika soko kuu la kata ya Lwamgasa…

12 Disemba 2024, 3:51 um

Maswa:Ukatili wa kijinsia watajwa kupungua

Wadau na wanaharakati wa haki za binadamu Duniani  na Nchini Tanzania wameendelea na harakati za kuhakikisha kuwa usawa kwa wote unafikiwa,licha yakuwepo na wimbi la taarifa za ukatili wa kijinsia unaoripotiwa kwenye maeneo mengi Nchini na Duniani kwa ujumla. Na,…

Disemba 9, 2024, 9:19 mu

Majengo ya WFP Isaka Kahama yakabidhiwa serikali

Shirika la chakula duniani World Food Programme (WFP) limekabidhi kwa serikali majengo na ardhi iliyokuwa ikitumia katika Kata ya Isaka Wilayani Kahama mkoani Shinyanga yenye ukubwa wa hekari saba sawa na kilomita za mraba 29,450. Na Paschal Malulu-Huheso FM KAHAMA…

6 Disemba 2024, 18:47

DSW yatoa mafunzo kwa Vijana,walimu na watalaamu wa afya chunya

katika kuhakikisha sauti za vijana zinasikika ili kutokomeza ukatili wa kijinsia na kuwapatia huduma rafiki kwa afya ya vijana viongozi wa shirika la DSW Tanzania wamewakutanisha vijana,walimu na wataalamu wa afya Chunya mkoani Mbeya. Na Lukia Chasanika Vijana,walimu na wahudumu…