Habari za Jumla
12 Novemba 2024, 12:17 um
Katavi :Wanahabari na wadau wa utamaduni Wametakiwa kuibua Urithi wa Utamadu…
Baadhi ya waandishi wa habari mkoa wa Katavi ,wadau wa utamaduni pamoja na wakufunzi kutoka TAMCODE.picha na Betord Chove vijana wanaachana na dhana ya kutegemea ajira serikalini na kujishughulisha na vitu vyao vya asili kujipatia kipato Na Betord Chove -Katavi…
12 Novemba 2024, 10:22 mu
Zifahamu athari za kunyanyapaa mtoto yatima
Na Leonard Mwacha Dunia inaadhimisha siku ya mtoto yatima huku ikilenga kuangazia mahitaji yao ya muhimu na makuzi yasiyo ya kibaguzi. Mwandishi wetu Leonard Mwacha amezungumza na mwanasaikolojia na mshauri nasihi Peter Njau, kuhusu namna bora ya kuishi na mtoto…
8 Novemba 2024, 7:15 um
Shule ya Sekondari Kiwanja cha Ndege yajimarisha kiulinzi
N Mindi Joseph. Ujenzi wa uzio katika shule ya sekondari kiwanja cha ndege Dodoma umetajwa kuwalinda wanafunzi dhidi ya utoro pamoja na changamoto mbalimbali. Mkuu wa shule hiyo Mwl. Daniel Mpagama anaelezea hali ya usalama hali ilivyokuwa kabla ya ujenzi…
8 Novemba 2024, 3:32 um
Katavi :vishikwambi 23 kuongeza ufanisi wa kazi kwa maafisa ugani
Mstahiki Meya wa Manispaa ya Mpanda Haidary Sumry wa kwanza kulia akikabidhi kishikwambia kwa afisa ugani .picha na John Benjamin Na John Benjamini-Katavi Vishikwambi 23 vimegawiwa kwa Maafisa Ugani Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi, kwa ajili ya kuboresha utendaji kazi…
8 Novemba 2024, 3:17 um
Katavi:mtendaji kata apewa adhabu ya kukatwa mshahara kwa kipindi cha miaka 3
kikao cha baraza la madiwani Nsimbo.picha na Rachel Ezekia “Mtendaji huyo licha ya kuitwa mara kadhaa na mwajiri wake na kuonywa bado aliendelea kutozingatia maagizo ndipo ilipoundwa tume ya uchunguzi kisha kurudisha majibu Hatimaemaamuzi yamefanyika.“ Na Rchel Ezekia -katavi Baraza…
6 Novemba 2024, 5:53 um
Utandawazi chanzo cha ufahamu kwa mtoto
Na Lilian Leopold. Mitandao ya kijamii imetajwa kuwa ni moja ya chanzo kikubwa cha ufahamu watoto wa kitanzania kujifunza mambo mbalimbali. Hayo yamebainishwa na baadhi ya wazazi mkoani Dodoma ambapo wamesema kuwa mitandao ya kijamii ikitumiwa vizuri itawasaidia watoto kujifunza…
5 Novemba 2024, 5:58 um
Fahamu faida za hifadhi hai za Tanzania
Na Fred Cheti. Nevomba 3 ya kila mwaka dunia huadhimisha siku ya kimataifa ya hifadhi hai duniani ambapo kuna hifadhi hai zipatazo 748 huku Tanzania ikiwa na jumla ya hifadhi hai 6. Bwn. Novatusi Moshi ni Afisa Mazingira mwandamizi kutoka…
5 Novemba 2024, 2:46 um
Katavi:wananchi watakiwa kuchukua tahadhari dhidi ya radi wakati wa masika
Koplo Paul Mtani Masungwa picha na Lilian Vicent “iwapo utakuwa katika njia ya radi ni rahisi kupigwa na radi na kupata madhara “ Na Lilian Vicent -Katavi Kuelekea msimu wa mvua za masika ,wananchi mkoani Katavi wameeleza kuwa moja ya…
5 Novemba 2024, 12:22 um
Picha: Tazama mvua ilivyowasumbua wakazi wa Msalala road
Ni msimu wa masika ambapo mvua zinaendelea kunyesha kwa maeneo mbalimbali nchini. Na: Amon Mwakalobo – Geita Tazama hali ilivyo katika mtaa wa Msalala road barabara ya kuelekea Msufini karibu na egesho la bodaboda halmashauri ya mjinwa Geita baada ya…
5 Novemba 2024, 11:29 mu
THRDC watoa msaada wa magodoro gereza la Loliondo
Mtandao wa watetezi wa haki za binadamu Tanzania ni miongoni mwa wadau muhimu wa kutetea haki za binadamu hapa nchini sambamba na hilo wamekuwa wakishiriki kwenye shughuli zingine za kijamii ikiwepo kutoa misaada mbalimbali ya huduma muhimu za kijamii katika…