Habari za Jumla
19/10/2020, 11:10
Wanafunzi wa Mtwara vijijini waomba kupewa fedha za taulo za kike
Baadhi ya Wanafunzi wa kike mkoani mtwara wamewataka wazazi kutenga bajeti kwa ajili kununua taulo za kike, ikiwa ni moja ya njia ya kutokomeza mimba za utotoni. Wakizungumza na jamii fm radio wanafunzi hao wamesema kuwa ukosefu wa taulo za…
19/10/2020, 11:08
Asasi za kiraia za paza sauti uchaguzi Mkuu
Asasi za kiraia zimetoa tamko la kulaani vitendo vya ukandamizaji, uonevu na udhalilishaji kwa wanawake wanaogombea nafasi mbalimbali za uwakilishi ngazi ya ubunge na udiwani. Door of hope Tanzania, Mtwangonet, Fawopa na Nerio za mkoani Mtwara wanapinga vitendo vya udhalilishaji,…
19/10/2020, 10:53
Prof Ibrahim Lipumba amefanya kampeni wilayani masasi
Mgombea uraisi kwa tiketi ya chama cha wananchi CUF prf Ibrahim lipumba amefanya mkutano wa kampeni wilayani masasi katika eneo la uwanja wa fisi na kuzungumza na wakazi wa masisi prf lipumba aliwaahidi wananchi wa wilaya ya masasi endapo tu…
25/10/2019, 16:13
Cheri Casino – Revue
Blogs Cheri Casino est un site de jeu qui porte bien son nom. Cependant, il ne faut pas croire qu’il s’agit d’un endroit conventionnel pour profiter des jeux en ligne, car Cheri Casino surprend à chaque tournant. En lisant cette…