Habari za Jumla
26 Novemba 2020, 6:12 MU
Idara Ya Utamaduni Yaagizwa Kufanya Maandalizi Ya Uzinduzi Wa Bodi Ya Mfuko Wa U…
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt.Hassan Abbasi ameiagiza Idara ya Maendeleo ya Utamaduni ya Wizara hiyo kuanza maandalizi ya kuzindua Bodi ya Mfuko wa Utamaduni na Sanaa. Katibu Mkuu Dkt.Abbasi ametoa…
25 Novemba 2020, 9:40 MU
Uchaguzi Marekani 2020: Rais mteule asema taifa hilo limerejea wakati wa uzinduz…
Uchagizi wa Marekani 2020: ‘Marekani imerejea tena’, amesema Biden wakati anazindua timu yake Rais mteule Joe Biden ajaza nafasi sita muhimu akisubiri kuapishwa na kuchukua rasmi madaraka. Ikiwa watathibitishwa, Avril Haines atakuwa mkurugenzi wa kwanza mwanamke katika shirika la upelelezi…
22 Novemba 2020, 13:45 um
IGP Sirro awahakikishia usalama wana Mtwara
Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania IGP Simon Sirro amesema Jeshi la Polisi litachukua muda mfupi kukabiliana na uhalifu unaoendelea katika Mkoa wa Mtwara, kama ilivyofanya katika kukabiliana na mauaji ya raia katika Wilaya za Kibiti, Rufiji na Mkuranga mkoani…
22 Novemba 2020, 9:44 MU
Makal- Umuhimu Wa Abiria Kupatiwa Tiketi Katika Usafiri
Makala inayohusu umuhimu wa abiria kupatiwa tikatiket katikati usafri ili kuepusha migogoro na makondakta HOST- ASHA MSITAPHA
21 Novemba 2020, 5:18 MU
Biashara Ya Embe Kwa Watoto Wadogo (Wanafunzi Shule Ya Msingi)
TUPO KATIKA MSIMU WA EMBE -Hii ni makala inayoelezea biashara ya embe kwa wanafunzi wa shule za msingi wengi wao wamekuwa wakikosa masomo kwa ajili ya kufanya biashara hii ya uuzaji wa embe wangine wakidai kuwa hufanya hivyo kwa ajili…
19 Novemba 2020, 10:52 MU
Makala -Changamoto Za Wafanya Biashara Soko La Sokosela Mjini Masasi
Hizi ni baadhi ya changamoto na kelo zinazo wakuta wafanya biashara wa soko la sokosela mjini masasi wakizungumza na radio fadhila utawasikia wakibainisha changamoto hizo HOST- ASHA MSITAPHA
18 Novemba 2020, 9:49 MU
Ujasilia Mali-BiasharaYa Chipsi Inawalipa Vijana
KIPINDI CH UJASILIA MALI-huyu ni kijana anayejishugulisha na biashara ya chpsi anaelezea mafanikio aliyo yapata kupitia biashara ya chipsi baada tu ya kumalishule alifanya shuguli mbalimbali lakinia alipo amua tu kufanya biashara ya chipsi imemlipa anaendesha familia yake kupitia biashara…
17 Novemba 2020, 5:44 MU
Umenufaika Na Nini Kutumia Mitandao Ya Kijamii Facebook,Instagram,You Tube Twit…
Maoni ya wasikilizaji Tangia uaze kutumia mitandao ya kijamii facebook ,inst, twitter you tube n.k imekusaidia nini mitandao hii katika maisha yako ya kila sikuHOST MATHEW MAGASHA
17 Novemba 2020, 4:47 MU
Magazeti ya Leo 17-11-2020 Radio Fadhila 95.0 fm
November 17, 2020,nakukaribisha kusikiliza kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za magazeti ya leo HOST- MATHEW MAGASHA
16 Novemba 2020, 7:58 um
Mkurugenzi ruangwa aagiza walimu kufundisha kwa bidii
Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya Ruangwa mkoani Lindi, FRANK FABIAN CHONYA, amewataka walimu kuendelea kufundisha kwa bidii na kwa mujibu wa kalenda ya masomo inavyowataka, ili kutimiza malengo ya ufaulu waliojiwekea katika halmashauri hiyo. Chonya ameyasema hayo jumatatu 16/11/2020…