Radio Tadio

Habari za Jumla

22 Novemba 2020, 13:45 um

IGP Sirro awahakikishia usalama wana Mtwara

Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania IGP Simon Sirro amesema Jeshi la Polisi litachukua muda mfupi kukabiliana na uhalifu unaoendelea katika Mkoa wa Mtwara, kama ilivyofanya katika kukabiliana na mauaji ya raia katika Wilaya za Kibiti, Rufiji na Mkuranga mkoani…

18 Novemba 2020, 9:49 MU

Ujasilia Mali-BiasharaYa Chipsi Inawalipa Vijana

KIPINDI CH UJASILIA MALI-huyu ni kijana anayejishugulisha na biashara ya chpsi anaelezea mafanikio aliyo yapata kupitia biashara ya chipsi baada tu ya kumalishule alifanya shuguli mbalimbali lakinia alipo amua tu kufanya biashara ya chipsi imemlipa anaendesha familia yake kupitia biashara…

16 Novemba 2020, 7:58 um

Mkurugenzi ruangwa aagiza walimu kufundisha kwa bidii

Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya Ruangwa mkoani Lindi, FRANK FABIAN CHONYA, amewataka walimu kuendelea kufundisha kwa bidii na  kwa mujibu wa kalenda ya masomo inavyowataka, ili kutimiza malengo ya ufaulu waliojiwekea katika halmashauri hiyo. Chonya ameyasema hayo jumatatu 16/11/2020…