Habari za Jumla
16/03/2021, 09:42
Ruwasa kumaliza tatizo la maji kilosa -Injinia Joshi
16/03/2021, 09:31
REPOA:Vijana elfu 60 wapata ajira kwenye sekta rasmi
Na,Mindi Joseph, Dodoma. Inakadiriwa kuwa kila mwaka kati ya vijana elfu hamsini hadi elfu sitini ni miongoni mwa vijana milioni moja wanaoingia kwenye soko la ajira, na kubahatika kupata ajira kwenye sekta rasmi kwa mujibu wa utafiti wa taasisi ya…
16/03/2021, 08:02
Bibi Esha apata makazi Mapya
Jamii fm radio kwa kushirikiana na Wanasalam kanda ya kusini yaani Mikoa ya Mtwara na Lindi pamoja na wadau wengine wamefanikiwa kujenga nyumba katika eneo la Mtaa wa Namayanga Kata ya Mtawanya Manispaa ya Mtwara Mikindani kwa ajili ya Bibi…
16/03/2021, 04:08
HOSPITALI ya Mkomaind imenunua mashine ya X-ray
HOSPITALI ya Mkomaindo iliyopo halmashauri ya mji Masasi mkoani Mtwara imenunua mashine tatu za kisasa ikiwemo mashine ya X-ray ambayo ni Digital X-ray Mashine ambapo mashine hizo tatu zina thamani ya sh.161 milioni lengo likiwa ni kuboresha upatikanaji wa huduma…
15 Machi 2021, 10:59 mu
Wanabari pingeni ukeketaji
Waandishi wa habari wa redio za jamii nchini wametakiwa kuelimisha jamii juu ya kupinga ukeketaji na ndoa za utotoni dhidi ya wanawake na watoto hayo yamezungumzwa na afisa maendeleo ya jamii halmashauri ya wilaya ya Arusha Angela Kiama Mvaa katika…
13/03/2021, 21:35
C Sema na TADIO zawajengea uelewa waandishi juu ya ukeketaji na ndoa za utotoni
Na,Rabiamen Shoo. Arusha. Asasi isiyo ya kiserikali ya C Sema na mtandao wa radio za kijamii Tanzania TADIO, wakiwezeshwa na UNFPA zimefanya kikao kazi cha siku mbili na waandishi wa habari kutoka redio za kijamii, kuwajengea uwezo wa namna ya…
13/03/2021, 04:30
Watoto wanaishi katika mazingira magumu walia na Serikali -Kilosa
Watoto wanaishi katika mazingira magumu walioko Kata ya magomeni Wilayani Kilosa Mkoani Morogoro amba wanafahamika kwa jina la Magomeni Children Development Machide wamomba serikali na wadau mbalimba kuwatazama katika jicho la huruma ili kuwasaidia kutatua changamoto mbalimbali zinazo wakabili katika…
11/03/2021, 19:52
Halmashauri ongezeni nguvu katika sekta ya kilimo-DC Mgoyi.
Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Adam Mgoyi ametoa rai kwa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa kutambua kuwa Wilaya ya Kilosa ni wilaya ya kilimo iliyojaa mito yenye maji ya kutosha hivyo ni vema wilaya ikajikita zaidi katika uzalishaji ili kupata…
10/03/2021, 11:45
Ndoa Na Taraka Katika Jamii!!!
Hakimu mkazi mfawidhi mahakama ya mwanzo lisekese masasi LIGHTINESS MASIMBA alipokuwa akizungumza na kipini cha amka na radio fadhila akizungumzia maswala ya ndoa na taraka ameeleza maana ya ndoa kwa mujibu wa sheria ya ndoa sheria number 29 iliyofanyiwa marejeo…
09/03/2021, 12:56
Idadi ya wanaume wanaopima VVU yaongezeka
Na, Yussuph Hans, – Dodoma. Imeelezwa kuwa kupitia mkakati wa Serikali wa kumtaka mama mjamzito kuambatana na mwenzi wake kliniki umesaidia kwa kiasi kikubwa kuwapima virusi vya ukimwi wanaume ambao awali,walikuwa wagumu kupima. Hayo yamebainishwa na mratibu wa Ukimwi kwenye…