Habari za Jumla
18/03/2021, 09:50
Watanzania waaswa kuendelea kuliombea Taifa
Na, Mariam Kasawa. Watanzania wametakiwa kuendelea kumuomba Mungu awape faraja katika kipindi hiki kigumu ili kuliwezesha Taifa kusonga mbele. Hayo yamesemwa na mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dkt. Fredrick Shoo leo wakati akitoa salamu za pole…
18/03/2021, 07:51
Watanzania wamlilia Rais Dkt.Magufuli
Na, Mariam Kasawa. Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza kifo cha Rais Dr John Pombe Magufuli kilichotokea Machi 17 2021. Akithibitisha kifo hicho makamu wa rais Samia Suluhu amesema kwamba rais Magufuli alianza kuugua mnamo tarehe 6 mwezi Machi…
18/03/2021, 05:52
Maoni Ya Wakazi Wa Masasi Kuhusu Kifo Cha Raisi maguli
18/03/2021, 04:03
TANZIA: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli Afarik…
Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza kifo cha Rais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli kilichotokea Machi 17, 2021 katika hospitali ya Mzena Jijini Dar es Salaam alipokuwa akipatiwa matibabu ya maradhi ya moyo. Rais Magufuli…
17/03/2021, 14:09
Baadhi ya sekta kuokoka na marufuku ya vifungashio vya plastiki.
NA MARIAM MATUNDU Afisa mazingira kutoka ofisi ya makamu wa rais Muungano na Mazingira Anamaria Gerome amesema kutokana na hilo baadhi ya wafanyabiashara wasio waaminifu wametumia nafasi hiyo kutengeneza vifungashio vya plastiki ambavyo vinatumika kama vibebeo. Amesema mchakato wa kutafuta…
17/03/2021, 13:47
Jiji laboresha miundombinu ya maji
Na, Alfred Bulahya, Dodoma. Halmashauri ya jiji la Dodoma imetenga fedha kiasi cha shilingi bilioni 1 kwaajili ya ujenzi na ukarabati wa miundombinu ya maji na barabara ndani ya jiji. Fedha hizo zimetengwa kupitia bajeti ya mwaka 2021/2022 wakati wa…
17/03/2021, 13:39
Dodoma Jiji yaikabili Biashara
Na Matereka Junior Wakati ligi kuu bara ikiwa imesimama kupisha timu ya Taifa iliyopo Kenya kujiandaa na mechi za kufuzu mataifa Afrika, AFCON, Ligi ya timu za vijana wa chini ya miaka 20 za timu zote za ligi kuu inashika…
17/03/2021, 11:57
Zaidi ya wanafunzi 2700 kupewa elimu ya Kinywa Kilosa -Dk Kibula.
Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Mkoani Morogoro kupitia idara ya afya wanatarajia kutoa elimu ya afya ya Kinywa na meno pamoja na vifaa vya kushafishia Kinywa kwa wanafuzi 2721 kwa ajili ya kujikinga na magonjwa mbalimbali ya Kimywa na meno.…
16/03/2021, 11:44
Bilion 1.27 kumaliza tatizo la maji kilosa-Injinia Chum.
Zaidi ya bilion 1.27 zimetengwa kwa ajili ya miradi ya maji safi na salama Wilayani Kilosa Mkoani Morogoro ili wananchi waweze kupata huduma ya maji saa 24 kwa mwaka . Hayo yamesemwa machi 16 2021 na Meneja wakala wa maji na…