Habari za Jumla
18 Aprili 2021, 10:20 mu
Wanakijiji wahamasishwa kushiriki kwenye miradi
Na Karim Faida Wananchi wa Kijiji cha Ngorongoro kata ya Nanguruwe Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara mkoani hapa wametakiwa kushiriki kikamilifu katika miradi mbalimbali ya kimaendeleo inayoletwa katika kijiji chao ili kuharakisha miradi hiyo. Akiongea katika mkutano wa hadhara uliofanyika…
17 Aprili 2021, 5:26 um
Mh Waitara. Amtaka mkandarasi kufanya kazi usiku na mchana
MARA: APRILI 17, 2021 NAIBU Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mwita Waitara, amemtaka mkandarasi wa kampuni ya M/S Beijing Construction Engineering Group Company Limited, kufanya kazi usiku na mchana ili kukamilisha kwa wakati mradi wa upanuzi wa kiwanja cha ndege…
16 Aprili 2021, 7:25 um
Dc Bupilipili ; awapongeza wakulima wa pamba
Mkuu wa wilaya ya Bunda Mwl Lydia Bupilipili amewapongeza wakulima wa zao la Pamba wilaya ya Bunda mkoani Mara kwa kuzingatia kilimo bora na chenye tija. Dc Bupilipili ametoa pongezi hizo leo tarehe 15 mwezi wa 4 alipofanya ziara ya…
16 Aprili 2021, 6:54 um
Milion 7 kujenga choo genge la jioni Bunda
Mwenyekiti wa wajasiliamali mkoa wa mara Charles Waitara amewashukuru Mbunge wa Bunda Mjini Robert chacha maboto, Diwani wa Bunda Mjini pamoja na Mkurungenzi wa Halmashauri ya Mji wa Bunda kwa kuadhimia kujenga choo eneo la genge la jioni Waitara ameyasema…
Aprili 16, 2021, 3:26 um
Wananchi wahofia Magonjwa ya mlipuko baada ya uchafu kukithiri mtaani.
Wananchi wa Mtaa wa Igembensabo Kata ya Malunga katika Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga wameitaka kampuni ya uzoaji wa uchafu majumbani kufuata ratiba ya kuondoa uchafu huo ili kuepusha magonjwa ya milipuko kwa kipindi hiki cha Mvua. Wito huo umetolewa…
16 Aprili 2021, 11:28 mu
MALALAMIKO YA WACHIMBAJI WA MADINI, MGODI WA BULUMBAKA BARIADI YASHUGHULIKIWE.
Uongozi wa mkoa wa Simiyu umetoa siku saba kwa Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Bariadi na Ofisi ya Madini Mkoa wa Simiyu kupitia malalamiko na hoja zote za wachimbaji wadogo, wamiliki wa mashamba na wadau wengine katika mgodi wa…
16 Aprili 2021, 11:19 mu
Kikundi cha Kiwasai chafaidika na vifaranga vya samaki 1000.
Katika kuhakikisha jamii inaepukana na changamoto ya udumavu, Shirika la Save the Children kupitia mradi wa Lishe endelevu unafadhiliwa(USAID) April 15 umetoa vifaranga vya samaki aina ya Sato elfu moja katika kikundi cha KIWASAI kilichopo Ilonga Wilayani Kilosa Mkoani Morogoro.…
16 Aprili 2021, 11:09 mu
WANAFUNZI SIMIYU WAOMBA KAMBI ZA KITAALUMA ZIWE ENDELEVU
Wanafunzi wa shule ya sekondari Bariadi mkoani Simiyu wameomba viongozi wa mkoa na wadau wote wa elimu kuwa kambi za kitaaluma ziwe endelevu kwa kuwa zina matokeo chanya kwa katika ufaulu wa wanafunzi na ili mkoa uendelee kufanya vizuri katika…
16 Aprili 2021, 09:28 mu
BAKITA wawapiga msasa waandishi wa Habari
Waandishi wa habari mkoa wa Mtwara wamepokea mafunzo ya namna sahihi ya matumizi sahihi ya lugha ya kiswahili kutoka Baraza La Kiswahili Tanzania (BAKITA). Mafunzo hayo yametolewa Aprili 15, 2021 na kaimu mtendaji mkuu wa Baraza la Kiswahili Tanzania Bi.…
16 Aprili 2021, 07:54 mu
Mwanafunzi: mkaa unanisaidia sana
Kauli ya “Kazi ziendelee inayotumika kama salam ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Samia Suluhu Hasan imeendelea kuwafuta machozi Watanzania kwa kuwa kauli hiyo inazidi kuwapa nguvu na ari ya kuendelea kuchapa kazi na kulijenga Taifa letu.…