Radio Tadio

Habari za Jumla

18 Aprili 2021, 10:20 mu

Wanakijiji wahamasishwa kushiriki kwenye miradi

Na Karim Faida Wananchi wa Kijiji cha Ngorongoro kata ya Nanguruwe Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara mkoani hapa wametakiwa kushiriki kikamilifu katika miradi mbalimbali ya kimaendeleo inayoletwa katika kijiji chao ili kuharakisha miradi hiyo. Akiongea katika mkutano wa hadhara uliofanyika…

16 Aprili 2021, 7:25 um

Dc Bupilipili ; awapongeza wakulima wa pamba

 Mkuu wa wilaya ya Bunda Mwl Lydia Bupilipili amewapongeza wakulima wa zao la Pamba wilaya ya Bunda mkoani Mara  kwa kuzingatia kilimo bora na chenye tija. Dc Bupilipili ametoa pongezi hizo leo tarehe 15 mwezi wa 4 alipofanya ziara ya…

16 Aprili 2021, 6:54 um

Milion 7 kujenga choo genge la jioni Bunda

Mwenyekiti wa wajasiliamali mkoa wa mara Charles Waitara amewashukuru Mbunge wa Bunda Mjini Robert chacha maboto, Diwani wa Bunda Mjini pamoja na Mkurungenzi wa Halmashauri ya Mji wa Bunda kwa kuadhimia kujenga choo eneo la genge la jioni Waitara ameyasema…

16 Aprili 2021, 11:09 mu

WANAFUNZI SIMIYU WAOMBA KAMBI ZA KITAALUMA ZIWE ENDELEVU

Wanafunzi wa shule ya sekondari Bariadi mkoani Simiyu wameomba viongozi wa mkoa na wadau wote wa elimu kuwa kambi za kitaaluma ziwe endelevu kwa kuwa zina matokeo chanya kwa katika ufaulu wa wanafunzi na ili mkoa uendelee kufanya vizuri katika…

16 Aprili 2021, 09:28 mu

BAKITA wawapiga msasa waandishi wa Habari

Waandishi wa habari mkoa wa Mtwara wamepokea mafunzo ya namna sahihi ya matumizi sahihi ya lugha ya kiswahili kutoka Baraza La Kiswahili Tanzania (BAKITA). Mafunzo hayo yametolewa Aprili 15, 2021 na kaimu mtendaji mkuu wa Baraza la Kiswahili Tanzania Bi.…

16 Aprili 2021, 07:54 mu

Mwanafunzi: mkaa unanisaidia sana

Kauli ya “Kazi ziendelee inayotumika kama salam ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Samia Suluhu Hasan imeendelea kuwafuta machozi Watanzania kwa kuwa kauli hiyo inazidi kuwapa nguvu na ari ya kuendelea kuchapa kazi na kulijenga Taifa letu.…