Radio Tadio

Habari za Jumla

8 Novemba 2021, 6:22 mu

Chakula mashuleni chaongeza ufaulu Rungwe

RUNGWE-MBEYA Ulaji wa chakula cha mchana katika shule za msingi wilayani Rungwe imechangia kuongeza kiwango cha ufaulu kwa matokeo ya darasa la saba mwaka huu kutoka asilimia 85.28 ya mwaka jana hadi asilimia 90.59 mwaka huu ambalo ni ongezeko la…

6 Novemba 2021, 4:58 um

TANROAD simamieni kwa ukaribu ujenzi wa miundombinu ya barabara

Na mwandishi wetu Daniel Manyanga,Simiyu Mkuu wa mkoa wa Simiyu, David Kafulila amemtaka wakala wa barabara TANROAD mkoani hapo kusimamia kwa ukaribu utekelezaji wa miradi  mbalimbali ya ujenzi wa barabara ili kubaini mapungufu mapema na kuepusha gharama zaidi za ukarabati.…

6 Novemba 2021, 11:38 mu

Wapewa siku 90 kuwapisha wafugaji

Wakulima waliovamia ardhi ya kijiji cha Kashanda kata ya Nyakakahanga wilayani Karagwe  wamepewa miezi mitatu kuvuna mazao yao mahindi na maharage na kisha kuondoka katika kijiji hicho ili kuwaacha wafugaji waendelee na shughuli zao. Kamati ya ulinzi na usalama ya…

4 Novemba 2021, 4:46 mu

Mkuu wa wilaya Rungwe amaliza mgogoro wa shule

RUNGWE Mkuu wa wilaya ya Rungwe Dr VICENT ANNEY, ameruhusu kuendelea kwa ujenzi wa shule ya sekondari Kibisi ambao ulikuwa umeingia kwenye mvutano baada ya kiasi cha shilingi  mil 40 kilicho tengwa kwaajili ya ukamilishaji wa maboma ya shule kupelekwa…

31 Oktoba 2021, 4:10 mu

Jamii yapaswa kuzingatia lishe kwa Watoto

Rungwe-Mbeya Ili kupunguza tatizo la udumavu na utapia mlo  Jamii imetakiwa kuzingatia ulaji sahihi unaoshauriwa na wataalamu wa afya kwa watoto. Rai hiyo imetolewa na afisa lishe wilaya ya Rungwe Bi Halima Kimeta  alipokuwa akizungumza na kituo hiki  amesema kuwa…

Oktoba 30, 2021, 11:49 um

Usalama wa wanafunzi mashuleni wawapatia changamoto

Imeelezwa kuwa Usalama wa wanafunzi ndani na nje ya shule imekua changamoto hali inayowapelekea kushuka katika masomo yao katika Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga. Wameyasema hayo leo wanafunzi wakati wa kikao kilichofanyika katika ukumbi wa Ghama Hotel ambapo kimejumuisha shule…

Oktoba 30, 2021, 6:32 um

Madarasa yatarajiwa kujengwa kwa mfumo wa force account.

Jumla ya madarasa 267 Wilayani Kahama mkoani Shinyanga yanatarajiwa kukamilika mwishoni  mwa mwezi Novemba mwaka huu kwa ajili ya kuwapokea wanafunzi wa kidato cha kwanza. Hayo yamesemwa na mkuu wa Wilaya ya Kahama, Festo Kiswaga kuwa madarasa hayo yanatarajiwa kuanza…