Habari za Jumla
31 Oktoba 2021, 4:10 mu
Jamii yapaswa kuzingatia lishe kwa Watoto
Rungwe-Mbeya Ili kupunguza tatizo la udumavu na utapia mlo Jamii imetakiwa kuzingatia ulaji sahihi unaoshauriwa na wataalamu wa afya kwa watoto. Rai hiyo imetolewa na afisa lishe wilaya ya Rungwe Bi Halima Kimeta alipokuwa akizungumza na kituo hiki amesema kuwa…
Oktoba 30, 2021, 11:49 um
Usalama wa wanafunzi mashuleni wawapatia changamoto
Imeelezwa kuwa Usalama wa wanafunzi ndani na nje ya shule imekua changamoto hali inayowapelekea kushuka katika masomo yao katika Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga. Wameyasema hayo leo wanafunzi wakati wa kikao kilichofanyika katika ukumbi wa Ghama Hotel ambapo kimejumuisha shule…
Oktoba 30, 2021, 6:32 um
Madarasa yatarajiwa kujengwa kwa mfumo wa force account.
Jumla ya madarasa 267 Wilayani Kahama mkoani Shinyanga yanatarajiwa kukamilika mwishoni mwa mwezi Novemba mwaka huu kwa ajili ya kuwapokea wanafunzi wa kidato cha kwanza. Hayo yamesemwa na mkuu wa Wilaya ya Kahama, Festo Kiswaga kuwa madarasa hayo yanatarajiwa kuanza…
30 Oktoba 2021, 7:59 mu
zaidi ya bilion 10.8 kutatua changamoto ya maji hasa vijijini mkoani simiyu
Na mwandishi wetu Daniel Manyanga,Simiyu Zaidi ya bilioni 10.8 zilizotolewa na rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Mhe,Samia Suluhu Hassan zikiwemo zaidi ya bilioni 8 za bajeti ya kawaida na zaidi ya bilioni 2 ambazo ni fedha za uviko…
28 Oktoba 2021, 5:28 mu
Milioni 300 ujenzi jengo la dharula Hospitali ya Wilaya
RUNGWE katika kuendelea kuboresha huduma ya afya hapa nchini halmashauri ya wilaya ya Rungwe mkoani mbeya inatarajia kupokea fedha kutoka serikali kuu kiasi cha shilingi milioni 300 kwaajili ya ujenzi wa jengo la dhalura katika hosptali ya wilaya ya Rungwe…
27 Oktoba 2021, 2:51 um
walimu wilaya ya itilima waomba kutatuliwa changamoto zao.
Na mwandishi wetu Daniel Manyanga ,Simiyu Walimu wilayani Itilima mkoani Simiyu wameiomba serikali kuona umuhimu wa kutatua changamoto zao ili kuongeza hali ya utedaji kazi. Wameyasema hayo kwenye semina ya kuwajengea uwezo kwenye majukumu yao viongozi na wawakilishi wa shule…
Oktoba 27, 2021, 10:33 mu
WANAFUNZI WAPATA VYETI
Wanafunzi 70 Kidato cha nne Iwawa Sekondari watunukiwa vyeti vya utambuzi wa ushiriki wao kwenye Club ya Wasaidizi wa Kisheria shuleni (Paralegal School Club) Wanafunzi hao kwa miaka miwili wamekuwa wakipata mafunzo kutoka kwa Wasaidizi wa Kisheria Kata ya Iwawa…
27 Oktoba 2021, 5:22 mu
Milioni 500 kusaidia upatakanaji wa Maji Rungwe
RUNGWE. Ofisi ya mamlaka ya maji Tukuyu Wilayani Rungwe mkoani Mbeya imeahidi kutatua changamoto ya maji kwa wananchi kupitia miradi inayoenda kutekelezwa ndani ya Wilaya. Kupitia Meneja wa mamlaka ya maji Tukuyu Peter Amon amesema hayo akizungumza na Radio Chai…
Oktoba 26, 2021, 6:47 um
SHULE YA UONGOZI
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (MNEC) Ndg.Japhari Kubechaatoa shule ya Uongozi kwa Vijana nchini Akizungumza na Kitulo FM, Kubecha amesema kijana ni mtu muhimu kwenye taifa hili husani katika uongozi kwani asilimia kubwa ya watanzania ni vijana…
Oktoba 26, 2021, 6:22 um
IJUE SHERIA
Kwenye Kipindi cha Ijue Sheria kinachorushwa kila siku ya Jumatatu saa 2:00 Usiku mpaka saa 3:00 Usiku Mkurugenzi Mtendaji Shirika la wasaidizi wa Kisheria Wilaya ya Makete (MAPAO) Mch. Denis Sinene ametupiga msasa kuhusu majukumu. (i) Kuwakilisha wananchi katika Halmashauri,…