Radio Tadio

Habari za Jumla

24 Januari 2022, 9:46 um

Madiwani Missenyi waridhia kujenga uwanja wa michezo

Baraza la Madiwani Missenyi limeridhia Ujenzi wa Uwanja wa Michezo na suala hili kuweka katika mpango mkakati wa Maendeleo wa miaka mitano. Katika kikao Maalum cha Baraza la Madiwani kilichoketi Jumatatu Januari 24, 2022 kwa ajili ya kupitisha mpango Mkakati…

24 Januari 2022, 5:06 MU

Uzinduzi wa wiki ya sheria nchini.

MASASI: Uzinduzi wa wiki ya sheria nchini. Matembezi yanaanzia Uwanja wa Fisi hadi Uwanja wa BOMA ambapo uzinduzi rasmi utafanyika. Kaulimbiu: “Zama za mapinduzi ya nne ya viwanda, safari ya maboresho kuelekea Mahakama mtandao” Kaulimbiu hii inahamasisha wananchi kutumia njia…

Januari 21, 2022, 12:12 um

zima moto wajipanga kukabiliana na majanga ya moto

Mkuu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Wilaya ya Kahama Mkoani Shinyanga, Hanafi Mkilindi, amesema jeshi hilo limejipanga kikamilifu katika kukabiliana na majanga yatakayotokea kipindi hiki cha mvua.. Akizungumza ofisini kwake leo amesema kwa kushirikiana na wananchi watafanikiwa katika kukabiliana…

20 Januari 2022, 10:31 mu

Serengeti: Wamuua kikongwe kwa ahadi ya laki tano

Watu wanne akiwemo mwanamke mmoja wakazi wa kijiji cha Rigicha wanashikiliwa na Polisi wilaya ya Serengeti kwa tuhuma ya mauaji ya kikongwe kwa ahadi ya ujira wa sh500,000 wakimtuhumu kwa ushirikina. Hata hivyo taarifa za awali zinadai kwamba hadi wanakamatwa…

13 Januari 2022, 6:24 mu

Watu 14 wamepoteza maisha wakiwemo wanahabari watano m

Watu 14 wamepoteza maisha wakiwemo wanahabari watano na abiria wa kawaida katika ajali iliyohusisha magari mawili ikiwa moja ni la abiria aina ya Toyota Hiace na jingine lenye namba za usajili STK 8140 mali ya Serikali lililokuwa limebeba waandishi wa…

Januari 12, 2022, 5:45 um

Manispaa ya Kahama wazindua Jukwaa la uwekezaji Wanawake kiuchumi

Jukwaa la uwezeshaji wanawake kiuchumi Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga limezinduliwa leo lengo likiwa kuwazesha wanawake katika sekta mbalimbali za kiuchumi. Uzinduzi wa jukwaa hilo la wanawake kiuchumi umefanyika katika ukumbi wa Manispaa ya Kahama ambapo mgeni rasmi akiwa katibu…