Radio Tadio

Habari za Jumla

14 Disemba 2022, 9:44 um

Kivuko cha Pangani kuanza kufanya kazi kwa saa 18

Hatimaye kufuatia hitaji la muda mrefu leo hii Serikali Wilayani Pangani Mkoani Tanga imetangaza kuwa Kivuko cha Pangani-Bweni kimeongezewa muda wa saa 2 za kufanya kazi tofauti na muda wa awali ambapo klikuwa kikifanya kazi kuanzia saa 12 Asubuh mpaka…

12 Disemba 2022, 2:54 um

Moto wa ajabu wateketeza Nyumba

        Inspekta  Edward Lukuba Jeshi la zimamoto na uokoaji Mkoani Geita limewataka wananchi kuendelea kutumia namba ya 114 kwa ajili ya kutoa taarifa za majanga ya moto na matukio yanayohitaji uokozi haraka kwakuwa wengi wao wamekuwa wakitoa…

12 Disemba 2022, 2:26 um

Serikali yaahidi kuendeleza ushirikiano na viongozi wa dini

                   Serikali imeahidi kuendelea kushirikiana na viongozi wa Dini hapa nchini kwakuwa wamekuwa msaada katika  kuchochea shughuli mbalimbali za maendeleo pamoja na kupambana na vitendo vya Ukatili wa kijinsia katika jamii. Kauli…

12 Disemba 2022, 11:00 mu

Mchungaji afariki Dunia akidai atafufuka

Na: Mrisho Sadick: Katika hali ya kushangaza Mtu anaedaiwa kuwa Mchungaji alietambulika kwa jina la Abdiel Raphael mwenye umri wa miaka (42) Mkazi wa Mtaa wa Uwanja kata ya Nyankumbu halmashauri ya mji wa Geita amefariki dunia kwa kile kilichoelezwa…

Disemba 9, 2022, 3:00 um

makete yapiga hatua kila sesta miaka 61 ya uhuru 2022

Mkuu wa Wilaya ya Makete Mhe. Juma Sweda amesema maadhimisho  ya miaka 61 ya Uhuru wa Tanganyika ni msingi wa uhuru uliopatikana mara baada ya kutoka kwenye machungu makubwa ya utawala wa wakoloni ambao Taifa lilipitia. Ameyasema hayo leo akiwa…

3 Disemba 2022, 12:47 um

Wananchi washauriwa kuunga mkono bishaa za wajasiliamali wa ndani

Wananchi kisiwani pemba wametakiwa kutumia bidhaa zinazozalishwa na wajasiriamali wanawake ili kuunga mkono juhudi za kujikwamua na umasikini. Akizungumza na mwandishi wa habari hizi Habiba Khamis Mohd mjasiriamali na muuzaji wa unga wa lishe wa Hopeca amesema imefika wakati sasa…