Radio Tadio

Habari za Jumla

19 Disemba 2022, 6:56 MU

Argentina bingwa wa kombe la Dunia 2022

ARGENTINA BINGWA WA KOMBE LA DUNIA 2022 Pale wazee waliposema ya kale ni dhahabu walimaanisha kabisa hasa ukizingatia kilichotokea kwenye kombe la dunia nchini Qatari historia imeandikwa takribani miaka thelathini na sita nchi ya Argentina kuhusu story ya ushindi wa…

17 Disemba 2022, 2:37 um

GGML yaipa donge nono Geita Gold FC

Na Zubeda Handrish: Kampuni ya uchimbaji wa madini ya dhahabu ya Geita Golid Mining Limited (GGML) @anglogoldashantitanzania imeingia udhamini kwa mara nyingine tena na Geita Gold Football Club kwa mkataba mnono wa thamani ya Sh. Milioni 800 kwa mwaka 2022/2023. Kufuatia mkataba…

17 Disemba 2022, 2:29 um

Uwanja wa Magogo mbioni kukamilika

Na Zubeda Handrish: Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Geita Zahara Michuzi ametoa tathimini ya maendeleo ya uwanja utakaotumiwa na klabu ya @geitagoldfc ulioko Magogo akisema zaidi ya Bilioni 1.8 zimetumika hadi sasa huku bajeti ya awamu ya kwanza ya kukamilisha uwanja…

17 Disemba 2022, 2:13 um

Storm FM funga mwaka

Na Zubeda Handrish: Storm FM tukiwa tunaukamilisha mwaka 2022 tunafunga na Bonanza la Funga Mwaka kwa kushirikisha vilabu vya soka na michezo mbalimbali siku ya kufunga. Leo Dec 17, 2022 ni ufunguzi wa bonanza hilo ambapo zinaanza timu za Shadow…

14 Disemba 2022, 9:44 um

Kivuko cha Pangani kuanza kufanya kazi kwa saa 18

Hatimaye kufuatia hitaji la muda mrefu leo hii Serikali Wilayani Pangani Mkoani Tanga imetangaza kuwa Kivuko cha Pangani-Bweni kimeongezewa muda wa saa 2 za kufanya kazi tofauti na muda wa awali ambapo klikuwa kikifanya kazi kuanzia saa 12 Asubuh mpaka…

12 Disemba 2022, 2:54 um

Moto wa ajabu wateketeza Nyumba

        Inspekta  Edward Lukuba Jeshi la zimamoto na uokoaji Mkoani Geita limewataka wananchi kuendelea kutumia namba ya 114 kwa ajili ya kutoa taarifa za majanga ya moto na matukio yanayohitaji uokozi haraka kwakuwa wengi wao wamekuwa wakitoa…

12 Disemba 2022, 2:26 um

Serikali yaahidi kuendeleza ushirikiano na viongozi wa dini

                   Serikali imeahidi kuendelea kushirikiana na viongozi wa Dini hapa nchini kwakuwa wamekuwa msaada katika  kuchochea shughuli mbalimbali za maendeleo pamoja na kupambana na vitendo vya Ukatili wa kijinsia katika jamii. Kauli…