Radio Tadio

Habari za Jumla

Januari 25, 2023, 4:00 um

MNEC Njombe ampongeza DC Makete kuaminiwa na Rais

Mwakilishi wa Mkutano Mkuu CCM Taifa Mkoa wa Njombe (MNEC) Ndg. Abraham Okoka amempongeza Mkuu wa Wilaya ya Makete Mhe. Juma Sweda kwa kuaminiwa na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kuendelea kuwatumikia wananchi wa Makete MNEC ametoa pongezi hizo leo…

Januari 25, 2023, 2:18 um

Wazazi Sababu Wanafunzi kufanya Vibaya Mitihani

Wazazi na walezi katika kijiji cha nyamande kilichopo kata ya kitandililo halmashauri ya mji wa Makambako wametajwa kuwa sababu ya wanafunzi hasa wa darasa la saba kufanya vibaya katika mitihani ya kuhitimu elimu ya msingi. Wazazi hao wametajwa kuwashawishi watoto…

Januari 25, 2023, 2:16 um

Katekista Kizimbani kwa tuhuma za kumbaka Mwanafunzi

Katekista wa kanisa la Roman Catholic parokia ya Mlangali wilayani Ludewa mkoani Njombe Simon Njavike (43) amepandishwa kizimbani katika mahakama ya wilaya hiyo kwa Tuhuma za kumbaka mwanafunzi wa kidato cha tatu (17) ambaye jina lake limehifadhiwa. Akisomewa shitaka hilo…

Januari 25, 2023, 12:34 um

Ujenzi wa Jengo la Halmashauri Makete waanza

Halmashauri ya Wilaya Makete imeanza Ujenzi wa Jengo (Ghorofa moja) ambalo mpaka kukamilika kwake itagharimu Bilioni 3 ikiwa mpaka sasa kwa mwaka wa fedha 2022/2023 Serikali imetofedha Bilioni 1 kuanza ujenzi Akieleza kuhusu mradi huo Mtaalamu kutoka Divisheni ya Ujenzi…

Januari 24, 2023, 7:11 mu

Mwenyekiti CCM Wilaya ya Makete aipongeza Wizara ya Maji

Kamati ya Siasa Wilaya ya Makete ikiongozwa na Clement Ngajilo imeipongeza Wizara ya Maji ikiongozwa na Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso, Katibu Mkuu Mhandisi Anthon Sanga kwa utekelezaji wa mradi mkubwa wa Maji (Kinyika-Matamba). Mradi huo wenye thamani ya…

Januari 24, 2023, 7:03 mu

Wananchi washangazwa na mto wa Mawe Ipelele

Wananchi wa Kijiji cha Ipelele wameiomba Serikali kuwachia suala la mto unaoporosha mawe kwa zaidi ya Miaka 7 sasa kimaajabu. Wakizungumza na Kituo hiki, wananchi wa Kijiji cha Makwaranga kilichopo Kata ya Ipelele Wilayani Makete wamesema mto huo wenye maji…