Radio Tadio

Familia

16 December 2021, 2:22 pm

Wakazi wa Nzinje waiomba DUWASA kuwatatulia kero ya maji

Na;Mindi joseph . Wakazi wa mtaa wa Nzinje jijini Dodoma wameiomba Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira DUWASA kuwasaidia kutatua changamoto ya maji inayowakabili kwa muda mrefu. Wakizungumza na Dodoma Fm baadhi ya wananchi hao wanasema kutokana na…

19 October 2021, 11:32 am

Wakazi wa Mkoka walalamika kuendelea kukosa huduma ya maji

Na; Selemani Kodima. Licha ya kuchimbiwa visima vya maji ,Bado wananchi wa kijiji cha mkoka wilayani kongwa wamelalamika kuendelea kupata changamoto ya maji baridi. Akizungumza kwa Niaba ya Wananchi wa kijiji cha Mkoka Mwenyekiti wa kijiji cha Mkoka Bw Elia…