Familia
5 October 2021, 11:31 am
Uhaba wa maji wasababisha migogoro ya ndoa katika kijiji cha Mpakani
Na ;Victor Chigwada. Huduma hafifu ya upatikanaji wa maji safi na salama umekuwa changamoto kwa Wananchi wa kitongoji cha Mpakani Kata ya Kibaigwa Wilaya ya Kongwa hali inayosababisha migogoro ya ndoa Baadhi ya wananchi hao wakizungumza na taswira ya habari…
28 September 2021, 1:18 pm
Nzinje waipongeza serikali kwa kutatua changamoto za maji
Na; Shani Nicolous. Mwenyekiti wa mtaa wa Nzinje Bw .Godfrey Daud Samweli amepongeza juhudi mbalimbali za serikai zinazofanyika kutatua changamoto za mtaa huo. Akizungumza na Taswira ya habari mwenyekiti huyo amesema kuwa kuna shughuli zinaendelea katika mtaa huo kama kusafisha…
17 September 2021, 1:44 pm
Ongezeko la watu wilayani Bahi lapelekea uhita wa maji zaidi
Na; Benard Filbert. Licha ya mji wa Bahi Mkoani Dodoma kupokea fedha kiasi cha shilingi million 120 kwa ajili ya kuchimba kisima kipya ili kuongeza upatikanaji wa maji bado juhudi zinahitajika kutokana na wingi wa watu katika eneo hilo. Hayo…
3 September 2021, 12:32 pm
Wakazi wa Mloda watatuliwa kero ya maji iliyo dumu kwa muda mrefu
Na; Selemani Kodima. Uongozi wa kijiji cha Mloda Wilayani Chamwino umesema maisha ya wakazi wa kijiji hicho yameanza kubadilika baada ya kutatuliwa changamoto ya kisima cha maji ambayo imewatesa kwa muda mrefu. Akizungumza na Taswira ya Habari Mwenyekiti wa Kijiji…
27 August 2021, 1:37 pm
Kata ya Izava yasema ipo katika hatua za kutafuta ufumbuzi wa kisima kilicho har…
Na; Selemani Kodima. Uongozi wa Kijiji cha Izava Kata ya Izava Wilayani Chamwino umesema upo katika mkakati wa kutafutia ufumbuzi suala la ukarabati wa kisima cha maji ili kuwaondolewa wananchi changamoto ya huduma hiyo. Akizungumza na Taswira ya Habari Mwenyekiti…
17 August 2021, 10:51 am
Uongozi wa Chamwino watarajia kufanya maboresho ya miundombinu ya maji kijijini…
Na; Selemani Kodima. Uongozi wa kata ya Msamalo wilayani Chamwino umesema unatambua uwepo wa changamoto ya maji katika kijiji cha Mgunga hivyo wanampango wa kufanya maboresho katika mtandao wa bomba za maji ili kufanikisha upatikanaji wa huduma hiyo Akizungumza na…
11 August 2021, 12:35 pm
Ongezeko la watu katika kijiji cha Sunya Kiteto lapelekea shida ya maji kukikab…
Na; Selemani Kodima. Imeelezwa kuwa Ongezeko la watu na mahitaji ya maji katika kata ya Sunya wilayani kiteto imesababisha kuongezeka kwa changamoto ya maji katika baadhi Vijiji hususani Kijiji cha Sunya. Hayo yameelezwa na Baadhi ya Wanakijiji wa kijiji cha…
10 August 2021, 11:56 am
Wakazi wa Mkanana walalamikia kukosa maji safi na salama
Na; Selemani Kodima. Licha ya uwepo wa chemchem za maji katika kijiji cha Mkanana bado Changamoto ya Maji imeendelea kuwa kilio kwa wakazi wa eneo hilo hali ambayo msimu wa kiangazi inakuwa mara dufu. Baadhi ya wananchi wakizungumza na Taswira…
22 July 2021, 3:35 pm
RUWASA yatatua kero ya maji Masinyeti iliyo dumu kwa miaka ishirini
Na; Benard Filbert. Wakala wa maji vijijini RUWASA katika wilaya ya Kongwa wamefanikiwa kuchimba kisima cha maji katika kijiji cha masinyeti ambacho kitasaidia kuondoa changamoto ambazo wakazi hao walikuwa wakikutana nazo ikiwepo kutembea umbali mrefu kufuata maji. Hayo yameelezwa na…
20 July 2021, 12:20 pm
Wakazi wa Masinyeti waishukuru Dodoma fm kwa kuwasaidia kutatuliwa kero ya maji
Na; Benard Filbert. Wakazi wa kijiji cha Masinyeti kata ya Iduo wilayani Kongwa wameishukuru Dodoma redio kwa juhudi kubwa waliofanya ya kuripoti changamoto ya adha ya maji katika eneo hilo na hatimaye kuchimbiwa kisima cha maji na Wakala ya Usambazaji…