Radio Tadio

Elimu

27 Aprili 2022, 12:34 um

Wadau watakiwa kuibeba sekta ya elimu kwa wenye uhitaji

Mkurugenzi wa Shule za Paradise na Patrick Mission ambaye ni mdau wa maendeleo Mkoa wa Mbeya ,Ndele Mwaselela ameguswa kusaidia wanafunzi wenye uhitaji wapate elimu na kufungua milango ili wadau wengine waweze kujitokeza kusaidia wanafunzi wenye uhitaji . Amesema kumekuwa…