Elimu
1 Septemba 2022, 9:30 mu
Umbali wa shule wapelekea baadhi ya wanafunzi Pandambili kuacha shule
Na; Victor Chigwada. Umbali mrefu wanaotembea wanafunzi wa sekondari lenjulu mpaka pandambili umetajwa kuwa kikwazo cha kuwakatisha tamaa na kushindwa kumaliza masomo. Hilo limefahamika baada ya Taswira ya Habari kuzungumza na baadhi ya Wananchi ambapo Wamesema kuwa adha hiyo ya…
2 Agosti 2022, 3:08 um
Makarani na Wasimamizi 409 wa Sensa Wapigwa msasa
Jumla ya watu 409 waliopita kwenye usaili wa kusimamia zoezi la sensa ambao ni makarani,wasimamizi wa maudhui na TEHAMA wameanza kupigwa msasa kwa kupewa mafunzo juu ya ukusanyaji sahihi wa takwimu za watu na makazi wakati wa sensa itakayofanyika tarehe…
28 Juni 2022, 8:43 mu
Chigongwe walalamikia ukosefu wa nyumba za walimu
Na; Victor Chigwada. Wananchi wa Kata ya Chigongwe jijini Dodoma wamelalamikia ukosefu wa nyumba za walimu pamoja idadi ndogo ya walimu katika shule ya msingi Ngh’ambala. Baadhi ya wananchi hao wakizungumza na taswira ya habari wamesema kuwa changamoto ni idadi…
21 Juni 2022, 2:45 um
Chimagai waanzisha shule shikizi ili kunusuru elimu ya watoto wao
Na; Victor Chigwada. Umbali wa shule mama katika kata ya kimagai umewalazimu wananchi kuunganisha nguvu na kuanzisha shule shikizi kwaajili ya watoto wasioweza kutembea umbali mrefu Hayo yamethibitishwa na Diwani wa Kata ya Kimagai Bw.Noha Lemto amesema changamoto hiyo ya…
8 Juni 2022, 3:41 um
MADARASA NA MADAWATI BADO CHANGAMOTO KATA YA KASOKOLA
Kata ya kasokola iliyopo manispaa ya mpanda inakabiliwa na upungufu wa miundo mbinu wa madarasa na madawati katika shule za msingi na sekondari. akizungumza na Mpanda radio fm katika kipindi Cha kumekucha Tanzania Diwani wa kasokola Crisant Andrea Mwanawima amesema…
30 Mei 2022, 4:34 um
Ujenzi wa vyumba vya madarasa waendelea Bahi
Na;Mindi Joseph. Ujenzi wa madarasa katika shule za sekondari na Msingi kata ya bahi unaendelea ili kuhakikisha wanatatua changamoto ya Madarasa kwa wanafunzi. Akizungumza na Taswira ya habari Diwani wa kata hiyo Bw,Agustino Ndonuu amesema wananchi wameunganisha nguvu kwenye jitihada…
19 Mei 2022, 3:20 um
Wananchi wa kata ya Ihumwa waanza mchakato wa ujenzi wa vyumba vya madarasa
Na; Victor Chigwada. wananchi wa Kata ya Ihumwa wilaya ya Dodoma mjini wameanza kuchukua jitihada za kuanzisha ujenzi wa vyumba vya madarasa kutokana na wingi wa wanafunzi katika shule ya msingi Ihumwa A . Baadhi ya wananchi hao wakizungumza na…
11 Mei 2022, 2:45 um
Belege waishukuru serikali kuboresha sekta ya Elimu
Na; Victor Chigwada. Wananchi wa Kata ya Belege Wilayani Mpwapwa wameishukuru Serikali ya awamu ya tano pamoja na awamu ya sita kwa jitihada za kuboresha sekta ya elimu Akizungumza na taswira ya habari Diwani wa Kata hiyo kwa niaba ya…
10 Mei 2022, 3:44 um
Ujenzi wa madarasa kata ya Suruke wakamilika
Na;Mindi Joseph. Ujenzi wa madarasa mawili ya shule ya Msingi Mluwa na sekondari Mto Bubu Kata ya Suruke Wilayani Kondoa yamekamilika baada ya kupata mgao wa shilingi milioni 182 za ujenzi wa madarasa hayo katika kuendelea kuboresha miundombini ya elimu.…
5 Mei 2022, 7:40 mu
Elimu ya mipaka itolewe kwa viongozi wa mitaa
Na;Yussuph Hassan. Elimu ya mipaka ya ardhi katika kipindi cha Sensa ya watu na makazi imetajwa kuwa muhimu katika kuhakikisha kila eneo linafahamu kwa kina mipaka yake. Akizungumza na kituo hiki Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Nzije Jijini hapa…