Burudani
26 Novemba 2024, 22:09 um
RC Sawala ahimiza wananchi Mtwara kushiriki uchaguzi serikali za mitaa
November 27, 2024 ndio uchaguzi wa serikali za mitaa unatarajia kufanyika ambao kwa siku za hivi karibuni wananchi wameshuhudia wagombea wakinadi sera zao ikiwa njia ya kuwashawishi kuwachagua katika uchaguzi huo. Na Musa Mtepa Wananchi wa mkoa wa Mtwara wametakiwa…
25 Novemba 2024, 23:57 um
CHADEMA yahimiza wananchi kupima uwezo wa wagombea badala ya vyama vya kisiasa
Kwa mujibu wa kanuni za uchaguzi wa serikali za mitaa kampeni zinatarjia kuhitimisha kesho tarehe 26.11.2024 saa 12:00 jioni ikiwa tayari kwa ajili ya uchaguzi November 27, 2024 Na Musa Mtepa Wananchi wa Kijiji cha Ngorongoro, Kata ya Nanguruwe, Halmashauri…
25 Novemba 2024, 17:41 um
Wanawake 78 wajitosa kinyang’anyiro uchaguzi serikali za mitaa Mkunwa
Haya ni mafanikio makubwa kwa kata ya Mkunwa na Mtwara kwa ujumla kwa kitendo cha kujitokeza wanawake wengi kugombea katika nafasi mbalimbali za uongozi ikilinganishwa na chaguzi zilizopita. Na Musa Mtepa Zaidi ya wanawake 80 walionesha nia ya kuchukua fomu…
25 Novemba 2024, 07:48 mu
Shamsia aongoza kampeni za CUF Mnaida, Mtwara
Hizi ni kampeni za vyama vya siasa ikiwa katika kuelekea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajia kufanyika November 27,2024 kote nchini ambapo hivi sasa vyama vina nadi sera zao kwa wananchi ili waweze kuchaguliwa. Na Musa Mtepa Mbunge wa…
21 Novemba 2024, 22:26 um
CUF yazindua kampeni uchaguzi serikali za mitaa Mtwara Mjini
Huu ni uzinduzi wa kampeni kupitia chama cha Wananch CUF ikiwa ni ishara ya kutangaza sera na mweleko wa chama kwa wananchi kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika November 27,2024 kote nchini. Na Musa Mtepa Chama cha Wananchi…
21 Novemba 2024, 11:19 mu
Mizengo Pinda asisitiza umuhimu wa kushikamana kwa viongozi Mtwara
kulingana na kanuni na taratibu za uchaguzi zinazosimamiwa na ofisi ya Rais TAMISEMI. Uzinduzi huu unahusisha vyama mbalimbali vya siasa nchini, na kampeni zitadumu hadi Novemba 26, 2024, ambayo ni siku moja kabla ya uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika…
14 Novemba 2024, 12:24 um
Kero ya stendi Geita kujaa maji yatua baraza la madiwani
Uduni wa miundombinu umetajwa kuwa changamoto ya kituo kikuu cha mabasi ya abiria mjini Geita kuzingirwa na maji kila msimu wa mvua huku mikakati ya kutatua changamo hiyo ikiwekwa. Na Mrisho Sadick: Siku chache baada ya mji wa Geita kukumbwa…
11 Novemba 2024, 18:04 um
TAKUKURU Mtwara yawanoa wanahabari uchaguzi serikali za mitaa
Haya ni mafunzo yenye lengo la kuwawezesha waandishi wa Habari mkoani Mtwara kutambua kanuni na taratibu zitakazo waongoza katika ufanyaji kazi katika kuelekea uchaguzi wa serika za mitaa November 27,2024 Na Musa Mtepa Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa…
5 Novemba 2024, 16:35
Mahafali ya chekechea Anu daycare yafana jijini Mbeya
Na Yuda Joseph Mwakalinga Mahafali ya wanafunzi wa shule ya chekechea ya Anu Daycare and Kindergarten iliyopo Sabasaba jijini Mbeya yalifanyika kwa mafanikio makubwa, huku wazazi na walimu wakishirikiana katika kuadhimisha siku hiyo muhimu kwa watoto wao. Katika hotuba yake…
16 Oktoba 2024, 14:40 um
Kaimu Shekhe Mkuu wa Mtwara Ahamasisha kujiandikisha katika orodha ya wapiga kur…
Uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajia kufanyika November 27,2024 uendane na sambamba na kutunza tunu ya amani iliyopo nchini “kwani Tanzania inajukana kama kisiwa cha amani hivyo,jamii haiana budi kutunza tunu hiyo”Shekhe Jamaldin. Na Grace Hamisi Kaimu Shekhe mkuu wa…