Burudani
14 Novemba 2024, 12:24 um
Kero ya stendi Geita kujaa maji yatua baraza la madiwani
Uduni wa miundombinu umetajwa kuwa changamoto ya kituo kikuu cha mabasi ya abiria mjini Geita kuzingirwa na maji kila msimu wa mvua huku mikakati ya kutatua changamo hiyo ikiwekwa. Na Mrisho Sadick: Siku chache baada ya mji wa Geita kukumbwa…
11 Novemba 2024, 18:04 um
TAKUKURU Mtwara yawanoa wanahabari uchaguzi serikali za mitaa
Haya ni mafunzo yenye lengo la kuwawezesha waandishi wa Habari mkoani Mtwara kutambua kanuni na taratibu zitakazo waongoza katika ufanyaji kazi katika kuelekea uchaguzi wa serika za mitaa November 27,2024 Na Musa Mtepa Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa…
5 Novemba 2024, 16:35
Mahafali ya chekechea Anu daycare yafana jijini Mbeya
Na Yuda Joseph Mwakalinga Mahafali ya wanafunzi wa shule ya chekechea ya Anu Daycare and Kindergarten iliyopo Sabasaba jijini Mbeya yalifanyika kwa mafanikio makubwa, huku wazazi na walimu wakishirikiana katika kuadhimisha siku hiyo muhimu kwa watoto wao. Katika hotuba yake…
16 Oktoba 2024, 14:40 um
Kaimu Shekhe Mkuu wa Mtwara Ahamasisha kujiandikisha katika orodha ya wapiga kur…
Uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajia kufanyika November 27,2024 uendane na sambamba na kutunza tunu ya amani iliyopo nchini “kwani Tanzania inajukana kama kisiwa cha amani hivyo,jamii haiana budi kutunza tunu hiyo”Shekhe Jamaldin. Na Grace Hamisi Kaimu Shekhe mkuu wa…
15 Oktoba 2024, 5:33 um
DC Babati atumia mbinu wananchi kujiandikisha
Wakati zoezi la uandikishaji wa daftari la mkazi unaendelea nchi nzima Mkuu wa Wilaya ya Babati Emmanuela Kaganda amelazimika kutumia usafiri wa bajaji na pikikpi kuhamasisha wananchi wa Wilaya ya Babati kujitokeza kujiandikisha na kushiriki katika uchaguzi wa Serikali za…
14 Oktoba 2024, 13:51 um
RC Sawala aongoza matembezi kuhamasisha uandikishaji serikali za mitaa
Matembezi haya yenye lengo la kuhamasisha ushiriki kila mmoja mwenye sifa kushiriki katika uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa November 27,2024 kote nchini ambapo kwa hatua ya awali uandikishaji wa orodha ya wapiga kura tayari umeshaanza October 11, 2024. Na…
11 Oktoba 2024, 10:21 um
Wananchi Babati jiandikisheni daftari la mkazi mapema
Katika kuhakikisha msongamano wa watu unapungua kwa siku za mwisho katika zoezi la kujiandikisha kweye daftari la mkazi, serikali ya halmashauri ya mji wa Babati imewataka wananchi wajitokeze kushiriki zoezi hilo kwa siku za mwanzo ili kuepuka usumbufu wa kukaa…
10 Oktoba 2024, 23:10 um
Wazee kuhamasisha amani uchaguzi serikali za mitaa mkoani Mtwara
Dhamira ni kuwataka wazee kukaa na vijana na kuzungumzia suala la amani na usalama wa mkoa katika kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa ,uchaguzi ambao umekuwa ukishuhudia heka heka za hapa na pale za vyama vya siasa. Na Musa Mtepa…
10 Oktoba 2024, 5:04 um
CCM yawataka wananchi kujiandiksha kwenye daftari la mpiga kura
Wananchi mkoani Manyara wametakiwa kujitokeza kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la mpiga kura zoezi ambalo litaaanza October 11 hadi October 20 mwaka huu. Na Mzidalfa Zaid Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Manyara kimewataka wananchi wenye sifa na nia ya…
10 Oktoba 2024, 15:55 um
RC Mtwara: Wananchi jitokeze kwa wingi kujiandikisha katika daftari la wapiga ku…
Maeneo ya utawala kwa nchi nzima yalitangazwa na Waziri husika kutoka ofisi yar ais TAMISEMI September 16,2024 na baada ya kutangaza maeneo hayo wasimamizi wa uchaguzi kwa ngazi za halmashauri zote nchini zikiwemo na halmashauri (9) za mkoa wa Mtwara…