Radio Tadio

Burudani

Januari 24, 2025, 10:59 mu

Wanachama CHADEMA Kahama wampongeza Lisu kwa ushindi

Tundu Lisu ameibuka kuwa mshindi kwa nafasi ya mwenyekiti wa CHADEMA baada ya kupata kura 513 sawa na silimia 51.5% huku mpinzani wake wa karibu Freeman Mbowe 482 sawa na asilimia 48.3 na Odero Charles akipata kura 01%, katika uchaguzi…

Januari 18, 2025, 6:21 um

CCM Kahama watakiwa kuacha kampeni kabla ya muda

Baadhi ya viongozi wa chama hicho kuanza kufanya kampeni kabla ya muda wa kampeni kuanza Na Sebastian Mnakaya Baadhi ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kuacha tabia ya kuanza kupiga kampeni kwa nafasi…

16 Januari 2025, 13:40 um

INEC yafanya mkutano na wadau wa uchaguzi Mkoani Mtwara

Huu ni mkutano uliohusu mada kuu ya maandalizi ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura kwa wadau katika mkoa wa Mtwara uliohusisha viongozi wa vyama vya siasa, asasi za kiraia, makundi maalum, kamati za ulinzi na usalama, wahariri…

7 Januari 2025, 12:15 um

TADIO yawanoa wanahabari Jamii FM Mtwara

Mafunzo haya yametolewa na jukwaa la redio za kijamii Tanzania (radio tadio) kwa lengo la kuwakumbusha waandishi wa habari na watangazaji kufanya kazi kwa kufuata madili ya uandishi wa habari katika kazi zao hasa wakati wa uchaguzi mkuu. Na Musa…

18 Disemba 2024, 12:24 um

Wezi waiba kwenye maduka zaidi ya 11 Bunda

“Wametoboa signboard wamekunywa soda maganda wametupa hapo chini walinzi walikuwa nje hawakujua kilichokuwa kikiendelea“. Na Adelinus Banenwa Ni katika hali isiyo ya kawaida  wezi waiba zaidi ya maduka 11 eneo la Genge la jioni mtaa wa Posta kata ya Bunda…

15 Disemba 2024, 11:24 mu

Namtumbuka atahadharisha matumizi mihuri kinyume na utaratibu

Ni kikao kazi kilichoitishwa na Diwani wa kata ya Namtumbuka Al-haji Salumu Lipwelele kwa viongozi wa vijiji waliochaguliwa hivi karibuni chenye lengo la kufahamiana na wakuu wa idara waliopo katika kata ya Namtumbuka ili kurahisisha katika utekelezaji wa majuku yao.…