Burudani
Machi 28, 2025, 4:52 um
Wasira: Wajumbe chagueni wagombea wanaokubalika kwa wananchi
”Utaratibu wa sasa katika kura za maoni CCM, wajumbe wameongezeka ili kuweza kupata viongozi wanaokubalika kwa wananchi” Na Sebastian Mnakaya Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amewataka wanachama wa chama hicho wanapoelekea katika uchaguzi mkuu unaotarajia…
Machi 27, 2025, 10:42 mu
Wasira: Viongozi tatueni na kusikiliza kero za wananchi
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira akizungumza na wanancha wa CCM mkoa wa Shinyanga ”Wajibu wa viongozi wa chama hicho ni kutatua shida za Wananchi hususani wa Bodaboda, Wanawake wajasiriamali na Wakulima, CCM sio chama cha…
Machi 27, 2025, 10:24 mu
Wananchi watakiwa kuunga mkono ajenda za viongozi wa CHADEMA
Wananchi watakiwa kuunga mkono ajenda mbalimbali zinazoletwa na CHADEMA katika kuelekea Uchaguzi mkuu mwaka huu 2025 Na Sebastian Mnakaya Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Kanda ya Serengeti kimewataka wananchi kuungana na Viongozi wa Chama hicho katika ajenda ambazo ni…
Machi 25, 2025, 5:58 um
Vijana jitokezeni katika kugombea nafasi mbalimbali za uongozi
Katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi oktoba mwaka huu 2025, vijana wengi wametakiwa kujitokeza kwa wingi katika kushirik na kugombea nafai mbalimbali za uongozi Na Sebastian Mnakaya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinuzi (UVCCM) mkoani…
Machi 16, 2025, 4:41 um
Marufuku kufukuzwa CCM Shinyanga bila ya kuzingatia kanuni
”Hakuna mwanachama yeyote kusimamishwa ama kufukuzwa kwenye chama bila ya kuzingatia taratibu na kanuni za chama” Na Sebastian Mnakaya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Shinyanga kimewataka viongozi mbalimbali wa chama hicho kusitisha kuwafunguza uwanachama na kuwasimisha katika nafasi mbalimabli…
Machi 11, 2025, 3:46 um
Viongozi CCM kahama watakiwa kusikiliza, kutatua kero za wananchi
Viongozi wa CCM kata kuacha tabia ya kuwafukuza makatibu wa matawi na mabalozi na badala yake wawafukuze wanaovunja utaratibu wa Chama kwa kuanza kupita kwa wajumbe kwa ajili ya kuwachagua tunapoelekea uchaguzi mkuu Na Sebastian Mnakaya Viongozi wa Chama Cha…
Febuari 28, 2025, 11:41 mu
Viongozi CCM jimbo la Msalala watakiwa kuacha migogoro
Naibu waziri mkuu na waziri wa Nishati Doto Biteki akiwa na viongozi mbalimbali wa Chama Cha Mapinduzi CCM katika mkutano maalum Msalala( picha na Sebastian Mnakaya) Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jimbo la Msalala wilayani Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa…
Januari 24, 2025, 10:59 mu
Wanachama CHADEMA Kahama wampongeza Lisu kwa ushindi
Tundu Lisu ameibuka kuwa mshindi kwa nafasi ya mwenyekiti wa CHADEMA baada ya kupata kura 513 sawa na silimia 51.5% huku mpinzani wake wa karibu Freeman Mbowe 482 sawa na asilimia 48.3 na Odero Charles akipata kura 01%, katika uchaguzi…
Januari 18, 2025, 6:21 um
CCM Kahama watakiwa kuacha kampeni kabla ya muda
Baadhi ya viongozi wa chama hicho kuanza kufanya kampeni kabla ya muda wa kampeni kuanza Na Sebastian Mnakaya Baadhi ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kuacha tabia ya kuanza kupiga kampeni kwa nafasi…
17 Januari 2025, 10:52 mu
Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi yafanya kikao na Wadau wa Uchaguzi Mkoani Mtwara
Hii inalenga kutoa elimu ya ujiandikishaji na hamasa kwa Wananchi kushiriki katika zoezi la kujiandikisha na uboreshaji wa taarifa kwenye daftari la kudumu la wapiga kura linalotarajiwa kufanyika hivi karibuni katika mkoa wa Mtwara. Na Mwanahamisi Chikambu Tume huru ya…