Radio Tadio

Afya

20/02/2023, 12:29

DC. Gondwe na kampeni ya kuku Robo matibabu mwaka mzima

Kwa sasa hospitali  hiyo inatoa  huduma zote muhimu zikiwemo huduma za wagonjwa wa nje, huduma za maabara, huduma ya Mionzi, upasuaji kwa wajawazito na  upasuaji wa kawaida, huduma za watoto njiti ambazo hapo awali wananchi walilazimika kuzifuata Dodoma mjini, Na…

17 Febuari 2023, 3:24 um

Wanafunzi Wapewa Vyandarua

Halmashauri ya Manispaa ya Iringa imeunga juhudi za serikali ya awamu ya sita za kupambana na Malaria kwa kutoa vyandarua katika shule za msingi kwa kila mtoto. Na Adeliphina Kutika. Zaidi ya wanafunzi 230,000 wa shule za msingi 556 za…

16 Febuari 2023, 6:06 mu

Elimu Itolewe Juu ya Ugonjwa wa KifuaKikuu

MPANDA Serikali Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi imetakiwa kuongeza juhudi za utoaji wa elimu ya ugonjwa wa Kifua Kikuu ili kuwapatia wananchi uelewa juu ya ugonjwa huo Hayo yamebainishwa na wananchi wa Manispaa ya Mpanda wakati wakizungumza na Mpanda Radio…

10 Febuari 2023, 12:38 um

Umuhimu wa Mjamzito Kujifungua Hospitalini

KATAVI Baadhi ya wananchi mkoani Katavi wameeleza umuhimu wa mama mjamzito kujifunguwa kwenye kituo cha afya. Wakizungumza na Mpanda radio Fm Wananchi hao wamesema mama mjamzito kujifungua nyumbani kunaweza kuleta hatari ya kupoteza uhai wa mama na mtoto. Kwa upande…

8 Febuari 2023, 12:15 um

Jumla ya Watu 222 Waugua Surua Mlele

KATAVIJumla ya visa 222 vya wagonjwa wa surua vimeripotiwa ndani ya siku 55 wilayani Mlele mkoani Katavi. Hayo yamesemwa na Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko wakati wa kikao cha kujadili tathimini ya utekelezaji wa mkataba wa lishe, mkakati…

7 Febuari 2023, 10:21 um

MPANDA Baadhi ya kinamama wanaopata huduma ya matibabu katika kituo cha afya ilembo halmashauri ya Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wametoa pongezi kwa watoa huduma katika kituo hicho kwa kubainisha kuwa huduma zinazotolewa zinakidhi mahitaji . Wakizungumza na Mpanda Radio…

07/02/2023, 09:52

Hospitali ya Benjamini Mkapa imesaini makubaliano

Hospitali ya Benjamin Mkapa imesaini makubaliano ya ushirikiano wa kutoa huduma za upasuaji wa moyo kwa watoto na shirika lisilo la kiserikali la children’s heart charity association la Nchini kuwait. Na Mindi Joseph. Hii ni kufuatia matatizo ya moyo kwa…