Radio Tadio

Afya

2 Machi 2026, 09:39

Uvinza yadhamiria kuwa kinara uzalishaji zao la korosho

Zao la korosho ni miongoni mwa mazao muhimu ya biashara na korosho imekuwa nguzo muhimu katika kuinua uchumi wa taifa na kuboresha maisha ya wananchi, hasa wakulima wa vijijini. Na Mwandishi wetu Wilaya ya Uvinza imedhamiria kuwakilisha vema Mkoa wa…

11/02/2026, 13:28

Madiwani Masasi wakoshwa na msimamizi wa miradi

Madiwani wa Halmashauri ya Mji Masasi wamempongeza Mkurugenzi wa Mji Ndg Reuben Jichabu na menejimenti kwa usimamizi mzuri wa miradi ya maendeleo yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 2.1 ambayo inatekelezwa na Halmashauri kupitia mapato ya ndani na fedha…

11/02/2026, 13:13

Masasi yampongeza Rais Samia kwa kuboresha miundombinu

Kutembea umbali mrefu kufuata shule ilipo hii ni changamoto ambayo wakati mwingine huzima ndoto za watoto kutokana na adha wanazo kutananazo wakiwa njiani lakini inapotokea kuwepo na shule mahali panapofikika kwa urahisi hii uleta furaha si kwa watoto tu hadi…

20 Januari 2026, 15:28

Wafanyabiashara walia na ukamataji holela Kasulu

Jeshi la Polisi limewasihi wafanyabiashara kuwa waaminifu na kuepuka  udanganyifu katika kupima mazao ikiwa ni pamoja na kutumia serikali ya kata na mtaa kutatua kero zinazojitokeza katika eneo lao Na Emmanuel Kamangu Wafanyabiashara wa mazao katika soko la Mnadani Kata…

14 Januari 2026, 10:55

COPRA yakabidhi mbegu za mbaazi kwa wakulima Uvinza

Mkuu wa Wilaya ya Uvinza Mh. Dinah Mathamani amesema kuwa kilimo bado ni uti wa mgongo wa uchumi wa wananchi wa Uvinza na kuwa mbegu bora zinasaidia kuongeza mavuno Na Mwandishi wetu Mamlaka ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko…

14/01/2026, 10:41

Kijana ashambuliwa kwa kipigo akihisiwa ni mwizi

“Jamani mtu kama unaona kakosea ni bora kumpeleka kwenye mamlaka husika na sio kumpiga na kumtelekeza kama hivi” – Mwananchi Na: Ester Mabula Kijana mmoja anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 28 ambaye ameshindwa kuzungumza vizuri huku akishindwa kutaja jina…

09/01/2026, 10:26

Serikali yaahidi kuiboresha DIT

Kwa malengo ya kuongeza ubora wa taaluma Na Devi Moses SERIKALI imeahidi kuendelea kuboresha na kuendeleza Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam(DIT) Kampasi ya Songwe ili kuongeza ubora wa mafunzo ya ufundi nchini. Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu,…

8 Januari 2026, 14:23

TANTRADE kusaidia wazalishaji wa zao la mhogo Kakonko

Serikali wilayani Kakonko mkoani Kigoma kupitia TANTRADE imesema itawasaidia wakulima wa zao la mhogo kutafuta masoko ili waweze kuuza zao ndani na nje ya nchi na kuwa na soko la uhakika. Na Josephine Kiravu Wafanyabiashara wa zao la mhogo wilayani…