Radio Tadio

Afya

22 Septemba 2025, 12:23

TADB kuwezesha wafugaji na wakulima mikopo Kigoma

Wafugaji na wakulima wameomba Serikali na wadau mbalimbali wa maendeleo kuendeleaa kuwapa mikopo ili waweze kuendesha shughuli zao na kuongeza thamani ya bidhaa wanazozalisha Na Tryphone Odace Benki ya Kilimo Tanzania TADB imesema inaendelea kufanya mapinduzi ya kilimo kwa kuwawezesha…

18 Septemba 2025, 11:05 um

SIDO yatunuku vyeti wajasiriamali 250

SIDO yamaliza mafunzo ya siku 3 kwa wajasiriamali 250 Kilombero na kutunuku vyeti; DC atoa agizo la kufunguliwa kwa ofisi ya SIDO wilayani humo kusogeza huduma karibu na wananchi. Na; Isidory Mtunda Washiriki 250 wa semina ya wajasiriamali, wawekezaji na…

18 Septemba 2025, 12:23 um

Wananchi watakiwa kutumia bidhaa za ndani

Kutumia bidhaa zinazozalishwa hapa nchini itapelekea kukuza uchumi Na Adelphina Kutika Wananchi mkoani Iringa wametakiwa kutumia bidhaa na huduma zinazozalishwa ndani, ili kukuza uchumi wa nchi na kuongeza pato la taifa. Wito huo umetolewa na mkuu wa mkoa wa Iringa…

18 Septemba 2025, 10:53 mu

SIDO yawezesha wajasiriamali Ifakara

SIDO Mkoa wa Morogoro kwa kushirikiana na taasisi mbalimbali imeendesha semina ya siku tatu kwa wajasiriamali, wawekezaji na wenye viwanda Ifakara, kwa lengo la kuwawezesha kupata ujuzi wa kukuza biashara na kuepuka migogoro ya kikodi na changamoto za usajili wa…

17 Septemba 2025, 10:50 um

TRA Morogoro yaendelea kutoa elimu

TRA Mkoa wa Morogoro imeendelea kutoa elimu kwa wafanyabiashara wa Kilombero kuhusu mabadiliko ya sheria za kodi, matumizi ya mashine za EFD, na umuhimu wa usajili wa TIN, ikiwa ni sehemu ya kuongeza uelewa na kuimarisha ukusanyaji wa mapato. Na;…

16 Septemba 2025, 8:53 mu

TRA Morogoro yatoa elimu kwa wafanyabiashara

TRA Mkoa wa Morogoro imetoa elimu kwa wafanyabiashara wa Ifakara kuhusu mabadiliko ya sheria za kodi na matumizi sahihi ya mashine za EFD, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuhamasisha ulipaji wa kodi kwa hiari na kuongeza uelewa wa majukumu…

9 Septemba 2025, 8:54 um

Umiliki wa silaha lazima uzingatie masharti

Na Zabron G Balimponya Wakili wa Kujitegemea kutoka Chama cha Mawakili Tanganyika, Akram Magoti amesema kuwa matumizi ya silaha yasiyozingatia sheria kanuni na utaratibu kutoka kwa msajili wa silaha ni kosa kisheria hali ambayo inaweza kusababisha mmiliki kufutiwa leseni. Wakili…

1 Septemba 2025, 5:53 um

Kichanga cha siku moja chachomwa moto Geita

“Kwakweli tunaomba polisi wafuatilie tukio hili ili kukomesha watu wenye roho za kikatili na kinyama kiasi hiki, huyu mtoto huwezi jua angekuwa nani baadaye” – Mwananchi Na: Edga Rwenduru: Mtoto mchanga anayekadiriwa kuwa na siku moja amekutwa amechomwa moto na…