Afya
9 Machi 2026, 23:19
King James Pharmacy wakabidhi vifaa vya thanani ya mil 103 rufaa Mbeya
Katika kuadhimisha sikuku ya mama Duniani taasisi ya King James Pharmacy wameamua kutoa msaada wa vifaa vya matibabu katika hospital ya Rufaa kanda ya Mbeya Na Ezra Mwilwa King James Pharmacy Yaweka Alama ya Kipekee MZRH, Yaonyesha Kiu ya Wazawa…
9 Machi 2026, 21:00
Wananchi Kasulu wanufaika na miche 120,000 ya kahawa bure
Wakazi wa Kijiji cha Bugaga na maeneo ya jirani katika Wilaya ya Kasulu wamejitokeza kwa wingi kupokea miche 120,000 ya kahawa aina ya Arabica iliyotolewa bure na Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu katika awamu ya pili ya ugawaji. Hatua hiyo…
5 Machi 2026, 09:31
Mradi wa KITIKI ulivyosaidia wakulima kuongeza uzalishaji Kibondo
Wakulima wameiomba serikali na wadau wengine kuendelea kutoa elimu ya upimaji wa udongo ili kutambua aina za viatilifu vya kutumia kulingana na aina ya udongo Na Mwandishi wetu Baadhi ya wakulima katika kijiji cha Mukarazi kata ya Mabamba Wilayani Kibondo…
3 Machi 2026, 17:24
Wakulima watakiwa kuwekeza kilimo cha tangawizi
Kilimo cha tangawizi ni fursa nzuri kwa wakulima kutokana na soko lake kubwa na faida zake kiafya kwa kufuata kanuni bora za kilimo, mkulima anaweza kupata mavuno mengi na kuongeza kipato chake. Na Michael Mpunije Wakulima Wilayani Buhigwe Mkoani Kigoma…
03/03/2026, 11:16
Baraza la Madiwani Masasi lafanya mapitio ya utekelezaji Miradi
Ni kikao kazi ambacho Madiwani ambao ni wawakilisha wa wananchi katika maeneo mbalimbali wakijadiliana na kuidhinisha mipango ya kimaendeleo kwa pamoja Na Lilian Martin. Baraza la Madiwani Halmashauri ya Mji Masasi limejadili kwa pamoja na kuidhinisha rasimu ya mpango na…
2 Machi 2026, 09:39
Uvinza yadhamiria kuwa kinara uzalishaji zao la korosho
Zao la korosho ni miongoni mwa mazao muhimu ya biashara na korosho imekuwa nguzo muhimu katika kuinua uchumi wa taifa na kuboresha maisha ya wananchi, hasa wakulima wa vijijini. Na Mwandishi wetu Wilaya ya Uvinza imedhamiria kuwakilisha vema Mkoa wa…
12 Febuari 2026, 9:01 um
Ifakara hainufaiki na kiwanda cha sukari Kilombero
“Wakulima wengi wameamua kutoa zao la muwa na kupanda mpunga kutokana na kupungua kwa bei ambapo kipindi cha nyuma walikuwa wakiuza gari moja la miwa Tsh Mil.3 lakini kwa sasa gari hilo linauzwa hadi chini ya Laki 8” Na Katalina…
11/02/2026, 13:28
Madiwani Masasi wakoshwa na msimamizi wa miradi
Madiwani wa Halmashauri ya Mji Masasi wamempongeza Mkurugenzi wa Mji Ndg Reuben Jichabu na menejimenti kwa usimamizi mzuri wa miradi ya maendeleo yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 2.1 ambayo inatekelezwa na Halmashauri kupitia mapato ya ndani na fedha…
11/02/2026, 13:13
Masasi yampongeza Rais Samia kwa kuboresha miundombinu
Kutembea umbali mrefu kufuata shule ilipo hii ni changamoto ambayo wakati mwingine huzima ndoto za watoto kutokana na adha wanazo kutananazo wakiwa njiani lakini inapotokea kuwepo na shule mahali panapofikika kwa urahisi hii uleta furaha si kwa watoto tu hadi…
22 Januari 2026, 6:26 um
Uroki Bomang’ombe watumia mapato ya ndani kuondoa adha ya maji
Bodi ya Maji Uroki Bomang’ombe wametumia fedha za mapato yao ya ndani ili kutatua changamoto ya maji kwa wananchi wa wilaya ya Hai, mkuu wa wilaya ya Hai na Viongozi wengine wamepongeza juhudi hizo za kutatua adha ya maji kwa…