Radio Tadio

Afya

21 August 2024, 10:30 pm

108 mbaroni kufuatia maandamano Simiyu

Mkuu wa wilaya Busega mkoani Simiyu amesema waandamanaji walimrushia mawe akiwa na viongozi wengine alipofika kuwasikiliza. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa Wilaya ya Busega, mkoani Simiyu Faiza Salim amesema hadi sasa watu108 wamekamatwa kufuatia maandamano yaliyofanywa na wakazi wa lamadi…

16 August 2024, 11:09

Shughuli za uvuvi zafunguliwa rasmi ziwa Tanganyika

Serikali imewataka wavuvi wa samaki ndani ya ziwa tanganyika kuacha uvuvi haramu kwa ajili ya uendelevu vsamaki na dagaa. Na Kadislaus Ezekiel – Kigoma Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega amezindua zoezi la uvuvi katika  Ziwa Tanganyika baada ya…

9 August 2024, 7:26 pm

Maswa wamshukuru Rais Samia kwa mradi wa maji Zanzui

Na Nicholaus Machunda Wananchi  wa  Vijiji  vya  Mabujiku, Malita  na  Zanzui  vilivyopo kata  ya   Zanzui, Wilayani   Maswa, Mkoani    Simiyu  wamemshukuru  Mh  Rais  Samia  Suluhu  Hasani  kwa  kutoa  Fedha  kwa  ajili  ya  Mradi  wa  maji  utakaonufaisha  Wakazi  zaidi  ya  Elfu Tisa.…

18 July 2024, 3:49 pm

Kijana (16) adaiwa kuuawa na marafiki zake Geita

Matukio ya ukatili mkoani Geita ikiwemo vitendo vya mauaji vimeendelea kuacha simanzi na maswali kwa jamii pindi matukio hayo yanapotokea. Na: Edga Rwenduru – Geita Kijana aliyefahamika wa jina la Lisborn Adam Selemani (16) mkazi wa mtaa wa Nyerere Road…

July 18, 2024, 2:03 pm

Polisi Manyara yakamata watuhumiwa 50 wa uhalifu

Jeshi la polisi mkoani Manyara limewataka wananchi kuendelea kutoa ushirikiano kwa jeshi la polisi kwa kufichua wahalifu wa makosa ya ukatili wa kingono, dawa za kulevya na umiliki wa silaha kinyume na sheria  ili mkoa uendele kuwa salama. Na Angela…

17 July 2024, 10:41 am

Mwanafunzi ajeruhiwa kwa viboko kutokana na utoro Geita

Licha ya waraka wa elimu Na. 24 wa mwaka 2002 kuelekeza utolewaji wa adhabu ya viboko kwa wanafunzi, utolewaji wa adhabu hiyo umekuwa ukikiukwa. Na: Nicolaus Lyankando -Geita Mwanafunzi wa kidato cha pili katika shule ya sekondari Kisesa halmashauri ya…

15 July 2024, 9:10 pm

TVS 150 kupeleka kicheko kwa wateja wa maji mjini Maswa

“Katika kurahisisha wananchi wanapata maji safi na salama wakati wote mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Maswa MAUWASA imepokea vifaa vya usafiri ili kuongeza ufanisi wa kiutendaji”   Na, Daniel Manyanga  Mamlaka ya maji safi na usafi wa…

10 July 2024, 1:03 pm

Wananchi wilayani Meatu wachangia maji na ng’ombe

“Maji ni uhai kwa binadamu lakini wananchi wa wilaya ya Meatu wapo hatarini kupata magonjwa yatokanayo na kutumia maji  ya visima na mabwawa wao pamoja na mifugo ’’ Na,Daniel Manyanga Wakazi wa kata ya Mwandoya wilayani  Meatu, mkoani Simiyu wameiomba…