Radio Tadio

Afya

27 November 2025, 3:02 pm

Wasiojulikana waua mmoja kwa kumkata mapanga Sengerema

Matukio ya watu kuuawa kwa kukatwa mapanga wilayani Sengerema yalidhibitiwa kwa muda mrefu, jambo lililowafanya wananchi kushituka baada ya tukio la hivi karibuni kutokea katika kata ya Sima Na,Emmanuel Twimanye Mwanaume mmoja aliyefahamika kwa jina la  Kajanja Mtebi (50) mkazi…

19 November 2025, 12:33

DC Kasulu ataka watumishi wa umma kuanzisha mashamba darasa

Mashamba darasa ni maeneo maalumu yanayotumika kufundishia na kuonesha mbinu mbalimbali za kilimo kwa vitendo na ni darasa wazi linalomuwezesha mkulima kujifunza kwa kuona na kushiriki moja kwa moja katika shughuli za kilimo. Na Michael Mpunije Mkuu wa wilaya ya…

18 November 2025, 17:16

Miche 200,000 ya kahawa yagawiwa kwa wakulima Kasulu

Wakulima katika Halmashauri ya Wilaya Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kujikita katika kilimo cha kahawa ili waweze kujikwamua kiuchumi Na Emmanuel Kamangu Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma leo Jumanne Novemba 18, 2025, imetoa jumla ya miche 200,000 ya Kahawa…

18 October 2025, 4:08 am

Martha (44) akiri kumuua kisha kumzika mume wake chumbani

“Uchunguzi wa awali umebaini kuwa chanzo cha tukio hilo ni mgogoro wa kifamilia” – SACP Safia Jongo Na: Ester Mabula Jeshi la Polisi mkoa wa Geita linamshikilia mwanamke mmoja aitwae Martha Japhet (44) mkulima na mkazi wa kitongoji cha Mzalendo,…

14 October 2025, 08:04

Dkt.Mpango mgeni Rasmi kilele mbio za mwenge

kuelekea kilele cha mbio za mwenge wa Uhuru na kumbukizi ya kifo cha baba wa Taifa Mwl Julius Nyerere mwakamu wa rais mgeni rasmi mkoani Mbeya. Na Ezra Mwilwa Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango, ashiriki Ibada katika Kanisa Katoliki…

8 October 2025, 13:08

Kasulu watakiwa kuwekeza kwenye kilimo cha pamba

Serikali kupitia Idara ya Kilimo Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma imewataka wananchi kuhakikisha wanawekeza katika kilimo cha pamba ili kujiongezea kipato kwa familia na taifa kwa ujumla. Na Hagai Ruyagila Wananchi wilayani Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kuwekeza nguvu katika kilimo…

27 September 2025, 6:30 pm

Kiswahili kuongeza uelewa wa kisheria mahakamani

Na Wilson Makalla Matumizi ya lugha ya Kiswahili katika kuendesha kesi yameendelea kuibua maoni mkoani Tabora ambapo wanasheria na wananchi wametoa maoni kuhusu nafasi ya Kiswahili kwenye mfumo wa kimahakama. Wakili wa Kujitegemea kutoka Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS), Akram…

22 September 2025, 12:23

TADB kuwezesha wafugaji na wakulima mikopo Kigoma

Wafugaji na wakulima wameomba Serikali na wadau mbalimbali wa maendeleo kuendeleaa kuwapa mikopo ili waweze kuendesha shughuli zao na kuongeza thamani ya bidhaa wanazozalisha Na Tryphone Odace Benki ya Kilimo Tanzania TADB imesema inaendelea kufanya mapinduzi ya kilimo kwa kuwawezesha…