Radio Tadio

Afya

20 Januari 2026, 15:28

Wafanyabiashara walia na ukamataji holela Kasulu

Jeshi la Polisi limewasihi wafanyabiashara kuwa waaminifu na kuepuka  udanganyifu katika kupima mazao ikiwa ni pamoja na kutumia serikali ya kata na mtaa kutatua kero zinazojitokeza katika eneo lao Na Emmanuel Kamangu Wafanyabiashara wa mazao katika soko la Mnadani Kata…

14 Januari 2026, 10:55

COPRA yakabidhi mbegu za mbaazi kwa wakulima Uvinza

Mkuu wa Wilaya ya Uvinza Mh. Dinah Mathamani amesema kuwa kilimo bado ni uti wa mgongo wa uchumi wa wananchi wa Uvinza na kuwa mbegu bora zinasaidia kuongeza mavuno Na Mwandishi wetu Mamlaka ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko…

14 Januari 2026, 10:41 mu

Kijana ashambuliwa kwa kipigo akihisiwa ni mwizi

“Jamani mtu kama unaona kakosea ni bora kumpeleka kwenye mamlaka husika na sio kumpiga na kumtelekeza kama hivi” – Mwananchi Na: Ester Mabula Kijana mmoja anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 28 ambaye ameshindwa kuzungumza vizuri huku akishindwa kutaja jina…

Januari 9, 2026, 10:26 mu

Serikali yaahidi kuiboresha DIT

Kwa malengo ya kuongeza ubora wa taaluma Na Devi Moses SERIKALI imeahidi kuendelea kuboresha na kuendeleza Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam(DIT) Kampasi ya Songwe ili kuongeza ubora wa mafunzo ya ufundi nchini. Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu,…

8 Januari 2026, 14:23

TANTRADE kusaidia wazalishaji wa zao la mhogo Kakonko

Serikali wilayani Kakonko mkoani Kigoma kupitia TANTRADE imesema itawasaidia wakulima wa zao la mhogo kutafuta masoko ili waweze kuuza zao ndani na nje ya nchi na kuwa na soko la uhakika. Na Josephine Kiravu Wafanyabiashara wa zao la mhogo wilayani…

18 Disemba 2025, 12:16 um

Vijana Iringa wahimizwa kilimo cha parachichi

Kilimo cha parachichi kimetajwa kuwa mkombozi kwa kuimarisha kipato cha vijana. Na Adelphina Kutika Serikali ya Mkoa wa Iringa imewahimiza vijana kuchangamkia fursa za kilimo cha parachichi kama njia ya kujipatia ajira, kipato na kuboresha maisha yao. Akizungumza wakati wa…

27 Novemba 2025, 3:02 um

Wasiojulikana waua mmoja kwa kumkata mapanga Sengerema

Matukio ya watu kuuawa kwa kukatwa mapanga wilayani Sengerema yalidhibitiwa kwa muda mrefu, jambo lililowafanya wananchi kushituka baada ya tukio la hivi karibuni kutokea katika kata ya Sima Na,Emmanuel Twimanye Mwanaume mmoja aliyefahamika kwa jina la  Kajanja Mtebi (50) mkazi…

19 Novemba 2025, 12:33

DC Kasulu ataka watumishi wa umma kuanzisha mashamba darasa

Mashamba darasa ni maeneo maalumu yanayotumika kufundishia na kuonesha mbinu mbalimbali za kilimo kwa vitendo na ni darasa wazi linalomuwezesha mkulima kujifunza kwa kuona na kushiriki moja kwa moja katika shughuli za kilimo. Na Michael Mpunije Mkuu wa wilaya ya…

18 Novemba 2025, 17:16

Miche 200,000 ya kahawa yagawiwa kwa wakulima Kasulu

Wakulima katika Halmashauri ya Wilaya Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kujikita katika kilimo cha kahawa ili waweze kujikwamua kiuchumi Na Emmanuel Kamangu Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma leo Jumanne Novemba 18, 2025, imetoa jumla ya miche 200,000 ya Kahawa…