Radio Tadio

Afya

3 Machi 2026, 17:24

Wakulima watakiwa kuwekeza kilimo cha tangawizi

Kilimo cha tangawizi ni fursa nzuri kwa wakulima kutokana na soko lake kubwa na faida zake kiafya kwa kufuata kanuni bora za kilimo, mkulima anaweza kupata mavuno mengi na kuongeza kipato chake. Na Michael Mpunije Wakulima Wilayani Buhigwe Mkoani Kigoma…

2 Machi 2026, 09:39

Uvinza yadhamiria kuwa kinara uzalishaji zao la korosho

Zao la korosho ni miongoni mwa mazao muhimu ya biashara na korosho imekuwa nguzo muhimu katika kuinua uchumi wa taifa na kuboresha maisha ya wananchi, hasa wakulima wa vijijini. Na Mwandishi wetu Wilaya ya Uvinza imedhamiria kuwakilisha vema Mkoa wa…

11/02/2026, 13:28

Madiwani Masasi wakoshwa na msimamizi wa miradi

Madiwani wa Halmashauri ya Mji Masasi wamempongeza Mkurugenzi wa Mji Ndg Reuben Jichabu na menejimenti kwa usimamizi mzuri wa miradi ya maendeleo yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 2.1 ambayo inatekelezwa na Halmashauri kupitia mapato ya ndani na fedha…

11/02/2026, 13:13

Masasi yampongeza Rais Samia kwa kuboresha miundombinu

Kutembea umbali mrefu kufuata shule ilipo hii ni changamoto ambayo wakati mwingine huzima ndoto za watoto kutokana na adha wanazo kutananazo wakiwa njiani lakini inapotokea kuwepo na shule mahali panapofikika kwa urahisi hii uleta furaha si kwa watoto tu hadi…