Baraka FM
Baraka FM
30 November 2025, 12:11 pm
Wananchi wa Kijiji cha Rundugai wilayani Hai mkoani Kilimanjaro, wamefurahia na kuishukuru Serikali baada ya kupokea shilingi milioni 85 kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madrasa na kituo kidogo cha polisi, miradi inayotarajiwa kuboresha elimu na usalama katika eneo…
28 October 2025, 11:56 am
Tarehe 29,2025 ni siku muhimu kwa wananchi wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania kutumia haki yao ya kikatiba kupiga kura kumchagua rais,mbunge pamoja na madiwani watakao waongoza kwa miaka mitano huku wilaya ya Ngorongoro ikiwa imekamilisha maandalizi yote kuelekea siku…
8 October 2025, 7:39 am
Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini (TASAF) Wilaya ya Kilosa umekamilika Septemba 30, 2025 kwa awamu ya tatu, ukiwanufaisha wanufaika 35,756 kutoka kaya 8,834. Na Aloycia Mhina Mpango wa kunusuru Kaya Maskini {TASAF} Wilayani Kilosa imekamilisha utekelezaji wa Mpango huo kwa…
October 3, 2025, 3:33 pm
Mkuu wa Wilaya ya Arusha Joseph Modest Mkude amezindua rasmi taasisi isiyo ya kiserikali ya Nasimama na Mama Tanzania yenye lengo la kumuunga mkono Rais dk Samia Suluhu Hassan Katika kila analolifanya pamoja pia na kuwakwamua vijana na kina mama…
2 October 2025, 3:52 pm
TAKUKURU imeendelea na mikakati mbalimbali ya kutoa elimu kwa UMMA ikiwa ni sehemu ya maandalizi kuelekea uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025 kwa lengo la kuhakikisha mazingira huru, haki na yenye uwazi. Na: Ester Mabula Taasisi ya Kuzuia na Kupambana…
26 September 2025, 4:50 pm
Programu ya Kizazi chenye Usawa ni programu inayotekelezwa na Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa kupitia Idara ya Maendeleo ya Jamii, yenye lengo la kuhimiza usawa wa kijinsia katika nyanja zote za kijamii na kiuchumi na Programu hii inalenga kuwezesha wanawake…
September 23, 2025, 7:03 pm
Taasisi ya utafiti wa wanyamapori Tanzania (TAWIRI) kwa kushirikiana na Mamlaka ya usimamizi wa wanyamapori Tanzania (TAWA) na Mamlaka ya hifadhi za Taifa (TANAPA), imeanza zoezi maalum la kuvalisha tembo mikanda ya mawasiliano katika Hifadhi ya Taifa ya Mkomazi, mkoani…
18 September 2025, 9:31 am
Viongozi mbalimbali katika picha ya pamoja, wapili kutoka kulia ni mkuu wa wilaya ya Mpanda Jamila Yusuph. Picha na Benny Gadau “Ushirikiano kati ya TRA na wafanyabiashara ni jambo la msingi sana” Na Benny Gadau Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA…
12 September 2025, 4:34 am
Tanzania inajiandaa na Uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025 ambapo rai imetolewa kwa wasimamizi wa uchaguzi kuepuka vitendo vya Rushwa. Na: Edga Rwenduru Taasisi ya kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Geita imewaonya wananchi na wasimamizi wa uchaguzi watakaobainika…
11 September 2025, 2:20 pm
NGO’s hufanya kazi kwa kushirikiana na jamii na mara nyingi hupata ufadhili kutoka kwa wafadhili wa ndani au nje ya nchi kwa lengo la kusaidia maendeleo ya jamii katika nyanja mbalimbali kama vile afya, elimu, mazingira, haki za binadamu n.k.,…