Baraka FM

Mafunzo

13 October 2024, 5:08 pm

Masharti magumu kikwazo wenye ulemavu kupata mikopo Zanzibar

Na Mary Julius. Mkurugenzi Mtendaji wa Umoja wa Watu Wenye Ulemavu Zanzibar Asia Abdulsalam Hussein, amesema fedha zinazotengwa kwa ajili ya kuwafikia watu wenye ulemavu bado hazijawafikia walengwa. Akizungumza katika kikao cha kuwasilisha ripoti ya ufuatiliaji wa asilimia 2 ya fedha inayotolewa na serikali kwa ajili…

5 October 2024, 08:34 am

Waziri wa Ulinzi kukagua miradi ya maendeleo Mtwara DC

Waziri wa ulinzi ataanza ziara Oktoba 6, 2024 katika halmashauri ya wilaya ya Mtwara ambapo ataanza na ukaguzi wa vyumbo vya madarasa vilivyopo katika shule ya sekondari Mustafa Sabodo na kumalizia uwekaji wa jiwe la msingi nyumba ya Watumishi wa…

2 October 2024, 23:45 pm

Bashe azindua kiwanda cha kubangua korosho Mtwara

Takribani Bilioni 3.4 inaelezwa kuwa zimetumika kujenga kiwanda hicho huku ikikadiriwa kuwa na uwezo wa kubangua korosho tani 3,500 kwa mwaka Waziri wa Kilimo, Mh. Hussein Bashe, amezindua rasmi kiwanda cha kubangua korosho cha Chama Kikuu cha Ushirika cha Tandahimba,…

2 October 2024, 20:59 pm

Waziri wa Kilimo azindua ujenzi wa maabara ya TARI Naliendele

Maabara hayo yatasaidia katika kufanya tafiti mbalimbali katika kituo cha TARI Naliendele ikiwa katika magonjwa na mbegu bora inayoweza kuhimili katika mazingira yote. Na Mwanahamisi Chikambu Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe, amezindua rasmi ujenzi wa maabara ya Taasisi ya…