Mafunzo
21 October 2024, 11:23 am
Polisi Katavi wabaini wizi kwa abiria wasiopatiwa tiketi mtandao
SSP Deus Sokoni, Mwanasheria wa kikosi Cha usalama barabarani.picha na Anna Milanzi “Kuna baadhi ya makondakta na mawakala ambao hawatoi tiketi mtandao kwa abiria na kuwapatia tiketi za mkono hali ambayo hupelekea abiria hao kuibiwa kwa kuongezewa nauli jambo ambalo…
17 October 2024, 5:01 pm
Dc Mtulyakwaku: Nendeni mkajiorodheshe mpate viongozi bora
Na Nyamizi Mdaki Mkuu wa Wilaya ya Uyui Mkoani Tabora Mohamed Mtulyakwaku amesema nyumba nzuri inaendana na msingi imara hivyo wananchi wanapaswa kujiorodesha kwenye daftari la orodha ya wapiga kura ili wapate viongozi bora. Mtulyakwaku ametoa rai kwenye uzinduzi wa…
13 October 2024, 5:08 pm
Masharti magumu kikwazo wenye ulemavu kupata mikopo Zanzibar
Na Mary Julius. Mkurugenzi Mtendaji wa Umoja wa Watu Wenye Ulemavu Zanzibar Asia Abdulsalam Hussein, amesema fedha zinazotengwa kwa ajili ya kuwafikia watu wenye ulemavu bado hazijawafikia walengwa. Akizungumza katika kikao cha kuwasilisha ripoti ya ufuatiliaji wa asilimia 2 ya fedha inayotolewa na serikali kwa ajili…
9 October 2024, 8:52 pm
Tanesco Iringa yahamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia
Na Adelphina Kutika Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linaadhimisha wiki ya Huduma kwa Wateja kwa kuhamasisha wananchi kutumia nishati safi ya kupikia ili kuunga mkono kampeni ya kitaifa ya kupunguza utegemezi wa kuni na mkaa kama vyanzo vya nishati. Hayo…
8 October 2024, 13:05 pm
Waziri Dkt. Stergomena Tax Azindua Shule ya Msingi Chawi Mkoani Mtwara
Mradi huo unaojumuisha Vyumba 9 vya Madarasa, Jengo la Utawala pamoja Matundu 6 ya Vyoo, umetekelezwa kwa fedha zilizotoka Serikali kuu. Na Musa Mtepa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Stergomena Tax, amefanya ukaguzi na kufungua mradi…
6 October 2024, 5:38 am
Mchengerwa: Marufuku wananchi kuhamishwa kwenye maeneo ya malisho
Kumekuwepo na viongozi wa mikoa au wilaya kutoa maelekezo ya kuwahamisha wafugaji katika maeneo yao ambayo ni malisho ya mifugo yao kwa kisingizio cha kufuata maelekezo ya mh rais. Na mwandishi wetu . Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala…
5 October 2024, 08:34 am
Waziri wa Ulinzi kukagua miradi ya maendeleo Mtwara DC
Waziri wa ulinzi ataanza ziara Oktoba 6, 2024 katika halmashauri ya wilaya ya Mtwara ambapo ataanza na ukaguzi wa vyumbo vya madarasa vilivyopo katika shule ya sekondari Mustafa Sabodo na kumalizia uwekaji wa jiwe la msingi nyumba ya Watumishi wa…
2 October 2024, 23:45 pm
Bashe azindua kiwanda cha kubangua korosho Mtwara
Takribani Bilioni 3.4 inaelezwa kuwa zimetumika kujenga kiwanda hicho huku ikikadiriwa kuwa na uwezo wa kubangua korosho tani 3,500 kwa mwaka Waziri wa Kilimo, Mh. Hussein Bashe, amezindua rasmi kiwanda cha kubangua korosho cha Chama Kikuu cha Ushirika cha Tandahimba,…
2 October 2024, 20:59 pm
Waziri wa Kilimo azindua ujenzi wa maabara ya TARI Naliendele
Maabara hayo yatasaidia katika kufanya tafiti mbalimbali katika kituo cha TARI Naliendele ikiwa katika magonjwa na mbegu bora inayoweza kuhimili katika mazingira yote. Na Mwanahamisi Chikambu Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe, amezindua rasmi ujenzi wa maabara ya Taasisi ya…
30 September 2024, 11:27 am
TANECU yawaita Wananchi Katika Uzinduzi wa Kiwanda cha kubangua Korosho
Matarajio kwa miaka mitano ijayo katika uwekezaji wa viwanda vya korosho ni kuona wawekezaji kutoka nchini Uholanzi na china ambao wameonesha mahitaji ya korosho karanga. Na Musa Mtepa Wananchi wa Mtwara wametakiwa kujitokeza kwa wingi katika uzinduzi wa kiwanda cha…