Baraka FM
Mafunzo
3 May 2024, 09:37
Dkt.Tulia atoa ajira kwa vijana 20 wanagenzi chuo cha ufundi Magereza
Kama ambavyo imekuwa desturi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kushiriki na kuwezesha jamii katika utatuzi wa changamoto hali hiyo ameendelea kuonesha kwa kujali makundi yote yakiwemo ya vijana. Na Ezekiel Kamanga Rais wa Mabunge Duniani…
25 April 2024, 20:41
TADIO yawaasa wanahabari kutumia kalamu zao kwa weledi
Kufuatia ukuaji wa sayansi na teknolojia duniani, tasnia ya habari ni moja ya tasnia inayotakiwa kwenda sambamba na mabadiliko hayo katika kuzingatia taaluma yao kuwa karibu na jamii wanayoitumikia kwa kuwalisha habari zenye ukweli na uhakika. Na Hobokela Lwinga Waandishi…