Elimu
17 October 2024, 21:11
Watahiniwa kidato cha nne 2024 watakiwa kujiandaa kwa bidii kufanya mtihani wa t…
Wakati wahenga wanasema elimu haina mwisho hii inamaana kwamba unapotoka hatua moja inakupeleka hatua nyingine ya elimu ya juu. Na Deus Mellah Wanafunzi wa kidato cha nne wanaotarajia kufanya mtihani wao wa taifa Novemba 11, 2024 wametakiwa kujianda na kupitia…
11 October 2024, 2:16 pm
Kilosa yajipanga kuadhimisha siku ya lishe Kitaifa
Suala la udumavu na utapiamulo nchini bado ni changamoto kubwa katika baadhi ya maeneo hapa nchini ambapo katika kukabiliana na kadhia hiyo serikali imeendelea kutoa elimu ya lishe bora kwa wazazi na walezi ambao ndio wanajukumu la kuhakikisha wanawahudumia watoto…
9 October 2024, 12:23 pm
STEP yawahimiza vijana katika shughuli za uhifadhi wa tembo Kilombero
Na Henry Bernad Mwakifuna Shirika linalojihusisha na Uhifadhi wa Tembo Kusini mwa Tanzania STEP limeendelea kuwahimiza Vijana kuona umuhimu wa uhifadhi na kuitumia Fursa ya uwepo wa Vivutio mbalimbali vilivyomo ndani ya Wilaya ya Kilombero ili waweze kunufaika Zaidi kupitia…
20 September 2024, 9:29 pm
Siku ya usafi duniani Kilosa yafanya usafi sokoni
Siku ya usafishaji Duniani huadhimishwa kila ifikapo 20 Septemba ya kila mwaka huku maadhimisho ya mwaka huu yamebebwa na kaulimbiu isemayo, “Uhai hauna mbadala, tuzingatie usafi wa mazingira”. Na Asha Madohola Wananchi wametakiwa kujenga utamaduni wa kusafisha mazingira yao mara…
13 September 2024, 11:23 pm
Waganga wafawidhi Kilosa watakiwa kusimamia ukusanyaji mapato
Serikali imedhamiria kupambana na changamoto zinazoikabili sekta ya afya kwa kuwatumia waganga Wafawidhi kuimarisha maadili kwa watumishi vituoni na usimamizi wa mapato ili wateja ambao ni wananchi waweze kufurahia huduma bora. Na Asha Madohola Waganga Wafawidhi Wilayani Kilosa wametakiwa kutekeleza…
10 September 2024, 1:00 am
Kilosa bila mimba za utotoni inawezekana, tuwalinde
Na Aloycia Mhina Mimba za utotoni ni suala linalohitaji umakini mkubwa kutokana na athari zake kwa afya ya mama na mtoto, ambapo Mariamu Kamala mtoa huduma ngazi za jamii na mabinti katika kituo cha afya Kimamba amesema athari zake ni…
10 September 2024, 12:34 am
Wakunga wa jadi waacheni akinamama wajawazito
Wanawake wametakiwa kuwa na utaratibu wa kujifungulia katika vituo vya afya na hospitalini na kuachana na mila na desturi ya kujifungulia nyumbani kwa wakunga wa jadi .Hayo yameelezwa na Maria Chalalika wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na mila…
9 September 2024, 4:39 pm
Watoa taarifa za uongo zoezi la uboreshaji wapiga kura waonywa
Udanganyifu wa umri kwenye zoezi la uandikisha na uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura ni kosa kisheria. Na Adelinus Banenwa Zikiwa zimesalia siku mbili kutamatika kwa zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura kwa Mkoa…
28 August 2024, 8:36 pm
Dira ya maendeleo ya 2050 izingatie usawa katika kila sekta
Dira ya maendeleo mwaka 2050 inapaswa kuboreshwa katika mabo mbalimbali ikiwemo elimu na Afya. Na Mariam Kasawa. Wadau wameeleza maoni yao katika Dira ya mwaka 2050 kuwa inapaswa kuzingatia usawa kwa watu wote bila upendeleo kwa watu walio chini na…
28 August 2024, 2:23 pm
Dhana ya 50/50 si yakushindana na wanaume
Imeelezwa kuwa kupitia dhana ya hamsini kwa hamsini ambayo inamjenga mwanamke kushiriki katika kila idara sawa kwa sawa na mwanaume dhana hii imepokelewa tofauti na baadhi ya jamii. Na Mariam Kasawa. Wakati serikali ikiwa katika mchakato wa maandalizi ya Dira…