Elimu
2 May 2024, 11:58
Viongozi idara za Moravian zapewa elimu kupinga ukatili
Utaratibu wa kanisa Moravian Ni kuhakikisha idara zake zinakuwa sehemu ya kuungana na jamii kupinga masuala ya ukatili yanayofanywa kwenye jamii. Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini kupitia Idara yake ya Ustawi wa jamii Inaendesha mafunzo ya kuwajengea uwezo…
18 April 2024, 18:59
Moravian Mbeya yaimarisha taasisi zake za elimu,wanachuo 44 wahitimu fani ya ual…
Katika kuthamini na kuunga jitihada za Serikali katika Sekta ya elimu nchini,kanisa la Moravian Jimbo la kusini magharibi limeendelea kuimarisha uendeshaji wa taasisi zake za elimu ikiwemo Shule,vyuo vya ufundi na ualimu kuhahakisha vinazalisha wasomi wengi ambao watakuwa msaada kwenye…
18 March 2024, 12:24
Mradi wa Dream kuwanufaisha wasichana Mbeya, Songwe
Katika dunia ya sasa kundi la wasichana wanapaswa kulindwa na kupewa mazingira mazuri ambayo yatawafanya kuondokana na changamoto zinazowakabili. Na mwandishi wetu Shirika la kimataifa la HJFMRI limesema linatarajia kutoa Sh 500 milioni kuwezesha mabinti balehe na wasichana vijana kupitia…
18 March 2024, 12:08
PM Majaliwa kufungua kongamano la idhaa ya kiswahili jijini Mbeya
Kiswahili ni moja ya lugha ya mawasiliano ambayo inaendelea kukua kwa kasi ambapo kwa sasa mataifa mbalimbali duniani yamekuwa yakiitumia kuwasiliana. Na Hobokela Lwinga Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Kasim Majaliwa Majaliwa amewasili katika uwanja wa…
12 March 2024, 22:24
Paradise Mission kuadhimisha miaka mitatu na Rais Samia
Kila binadamu anayefanikiwa nyuma ya mafanikio yake lazima awepo mtu anayesukuma mafanikio hayo. Kutokana na hilo taasisi ya shule yenye mchepuo wa lugha ya kiingereza ya Paradise Mission imeona kwa miaka mitatu imefanikiwa kutoa elimu hasa kwa wakazi wa mkoa…
7 March 2024, 13:15
Vyombo vya habari mbalimbali Nchini vyapatiwa mafunzo namna ya kutumia mtandao y…
Mtandao wa rediotadio umekuwa na utaratibu wa kutoa mafunzo miongoni mwa radio ambazo wamekuwa wakifanya nao kazi. Na Hobokela Lwinga Radio tadio imeendesha mafunzo mafunzo kwa wataalamu wa It kutoka vyombo mbalimbali vya habari Nchini lengo likiwa ni kuongeza ufanisi…
29 February 2024, 18:51
Zaidi ya miche 100 yapandwa shule ya Mpakani Kyela
Na Ezekiel Kamanga Taasisi ya Living Together Youth Foundation(LTYF) yenye makao makuu wilaya ya Kyela inayojihusisha na utunzaji wa mazingira ikiongozwa na mkurugenzi wake Leonatha Likalango imeendelea na kampeni ya kufungua klabu za mazingira shuleni sanjari na upandaji miti ya…
27 February 2024, 19:56
Rc Songwe awapongeza walimu
Na mwandishi wetu, Songwe Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Dkt. Francis K. Michael, ametembelea na kukagua hali ya ufundishaji na ujifunzaji katika Shule ya Msingi Katete iliyopo Kata ya Mpemba na Shule ya Msingi Mpemba iliyopo Kata ya Katete…
27 February 2024, 19:45
Dc Batenga; Wanafunzi Chunya mna deni la kulipa kwa Rais
Na mwandishi wetu Mkuu wa Wilaya ya Chunya Mrakibu Mwandamizi wa UhamiajI Mhe. Mubaraka Alhaji Batenga amesema kuwa wanafunzi wilaya ya Chunya wana deni kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kwa matokeo ya…
27 February 2024, 19:34
Dc Batenga amtaka mkurugenzi kuhakikisha klabu zote mashuleni zinakuwa na walimu…
Na Mwandishi wetu Mkuu wa Wilaya ya Chunya Mrakibu Mwandamizi wa Uhamiaji Mhe. Mubarak Alhaji Batenga amemwagiza Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Chunya ndugu Tamim Kambona kuhakikisha Klabu zote zilizopo Mashuleni zinakuwa na walimu walezi pamoja na kuhakikisha wanajengewa…