Baraka FM

Elimu

11 October 2024, 2:16 pm

Kilosa yajipanga kuadhimisha siku ya lishe Kitaifa

Suala la udumavu na utapiamulo nchini bado ni changamoto kubwa katika baadhi ya maeneo hapa nchini ambapo katika kukabiliana na kadhia hiyo serikali imeendelea kutoa elimu ya lishe bora kwa wazazi na walezi ambao ndio wanajukumu la kuhakikisha wanawahudumia watoto…

20 September 2024, 9:29 pm

Siku ya usafi duniani Kilosa yafanya usafi sokoni

Siku ya usafishaji Duniani huadhimishwa kila ifikapo 20 Septemba ya kila mwaka huku maadhimisho ya mwaka huu yamebebwa na kaulimbiu isemayo, “Uhai hauna mbadala, tuzingatie usafi wa mazingira”. Na Asha Madohola Wananchi wametakiwa kujenga utamaduni wa kusafisha mazingira yao mara…

13 September 2024, 11:23 pm

Waganga wafawidhi Kilosa watakiwa kusimamia ukusanyaji mapato

Serikali imedhamiria kupambana na changamoto zinazoikabili sekta ya afya kwa kuwatumia waganga Wafawidhi kuimarisha maadili kwa watumishi vituoni na usimamizi wa mapato ili wateja ambao ni wananchi waweze kufurahia huduma bora. Na Asha Madohola Waganga Wafawidhi Wilayani Kilosa wametakiwa kutekeleza…

10 September 2024, 12:34 am

Wakunga wa jadi waacheni akinamama wajawazito

Wanawake wametakiwa kuwa na utaratibu wa kujifungulia katika vituo vya afya na hospitalini na kuachana na mila na desturi ya kujifungulia nyumbani kwa wakunga wa jadi .Hayo yameelezwa na Maria Chalalika wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na mila…

28 August 2024, 2:23 pm

Dhana ya 50/50 si yakushindana na wanaume

Imeelezwa kuwa kupitia dhana ya hamsini kwa hamsini ambayo inamjenga mwanamke kushiriki katika kila idara sawa kwa sawa na mwanaume dhana hii imepokelewa tofauti na baadhi ya jamii. Na Mariam Kasawa. Wakati serikali ikiwa katika mchakato wa maandalizi ya Dira…