Habari za kigoma
13/08/2021, 7:31 pm
Wafanyabiashara wa vyombo vya moto waiomba serikali kushusha bei ya mafuta
Na,Rosemary Bundala Wafanyabiashara wa vyombo vya moto vya usafiri kutika kijiji cha Ruchugi wilayani uvinza mkoani kigoma wameiomba serikali kuwa tatulia suala la kupanda kwa bei ya mafuta kutokana na hali ya kiuchumi ilivyo kwasasa. Wakizungumza na redio uvinza fm…
11/08/2021, 7:29 pm
Waliopokea chanjo ya uviko 19 afya zao ni salama
Na,Timotheo Leornadi Baadhi ya wananchi wa kijiji cha Ruchugi kata ya Uvinza wilayani Uvinza Mkoani Kigoma ambao tayari wamepokea chanjo ya UVIKO -19 wamesema ni salama kwa afya, nakwamba wale ambao bado wanamitazamo hasi wakachajwe kulinda maisha yao Hayo wameyasema…
07/07/2021, 4:49 pm
Waziri wa TAMISEMI aziagiza halmashauri kuongeza kasi ya ukusanyaji wa mapato
Na,Glory Paschal Waziri wa nchi ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na serikali za Mitaa Tamisemi Ummy Mwalimu ameziagiza halmashauri za Mkoa wa Kigoma kuongeza ukusanyaji wa Mapato pamoja na kuhakikisha mapato yanayokusanywa yanatumika kutatua changamoto za wananchi Akizungumza na…
05/07/2021, 5:55 pm
Corona yaathiri Wafanyabiashara wa samaki na dagaa
Na,Glory Paschal Baadhi ya Wavuvi na Wafanyabiashara wa Samaki na Dagaa Mkoani Kigoma Wamesema Kufungwa kwa Mipaka ya Nchi Jirani Kutokana na Maambukizi ya Ugonjwa wa Corona Kumeathiri Biashara zao Wavuvi Pamoja na Wafanyabiashara ambao Wamesema hali ya biashara imekuwa…
05/07/2021, 5:43 pm
Wananchi Waomba Muongozo Chanjo ya Corona
Na,Glory Paschal Wananchi wilayani kasulu mkoani kigoma wameiomba serikali kuharakisha kutoa muongozo wa chanjo ya virusi vya corona ili waweze kupata elimu zaidi kuhusu chanjo hiyo ya virusi vya corona ambayo wamekuwa wakiisikia kutoka nchi jirani Wamesema hayo Wakati Wakizungumza…
24/06/2021, 7:31 pm
Jeshi la polisi latakiwa kufanya kazi zao kwa weledi
Na,Glory Paschal Watendaji wa Jeshi la polisi pamoja na mahakama Mkoani Kigoma wametakiwa kufanya kazi zao kwa weledi ili kutokomeza mimba za utotoni Hayo yameelezwa na Katibu Tawala Mkoani hapa Rashid Kassim Mchatta katika mkutano wa utetezi kuhusu haki za…
04/06/2021, 7:51 pm
Wakazi wa Matendo watembea umbali mrefu kufuata maji
Na,Glory Paschal Wananchi wa Kijiji cha Pamila Kata ya Matendo Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma, Wameiomba Serikali kuwasaidia kupeleka huduma ya maji kwani wanalazimika kutembea umbali mrefu kutafuta maji na kushindwa kufanya shughuli za maendeleo Wakizungumza na Radio Uvinza Fm, Wananchi…
27/05/2021, 4:55 pm
Wananchi waiomba Serikali kudhibiti maeneo hatarishi
Na,Glory Paschal Wananchi Mkoani Kigoma wameitaka Serikali kudhibiti maeneo hatarishi ya mito na mabwawa machafu yanayochochea ongezeko la magonjwa ya kichocho na minyoo hasa kwa watoto Wamesema maeneo mengi yamejaa maji Machafu hivyo ni muhimu elimu ikatolewa kwa kuwashirikisha wananchi…
20/05/2021, 7:27 pm
Ukosefu wa maji wawaliza wananchi
Na,Editha Edward Wananchi wa kijiji cha Ruchugi wilayani uvinza mkoani kigoma wameiomba serikali iwatengenezee magati ya maji waliyoyaweka ili maji yaweze kutoka na kuondokana na adha wanayopata ya kutembea umbali mrefu kufuata maji Wakizungumza na redio uvinza fm wananchi wa…
18/05/2021, 8:12 pm
Magoti yatumika kama Madawati Shuleni
Na,Timotheo Leonardi Wanafunzi katika shule ya Msingi shikizi kutoka shule mama ya Muungano iliyopo kijiji cha Ruchugi Wilayani Uvinza Mkoani Kigoma hawana madawati haliinayopelekea kukaa kwenye benchi nahatimaye kupata ugumu wakati wakiandika masomo yao Hayo wameyasema wakati Radio Uvinza fm…