Habari za kigoma
29/09/2021, 6:34 pm
Majambazi watatu wauawa
Na,Glory Paschal Jeshi la Polisi Mkoa wa Kigoma limefanikiwa kuwaua watu watatu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi katika barabara inayotokea kijiji cha Kagerankanda kata ya Nyakitonto Tarafa ya Buhoro wilayani Kasulu mkoani Kigoma. Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa Jeshi…
27/09/2021, 6:48 pm
Serikali kuja na mpango harakishi wa kila mwananchi kupata chanjo
Na, Mwanaid Suleiman Serikali imesema imekuja na mpango harakishi wa kuhamasisha chanjo ya corona ikiwa lengo ni kuhamasisha kila mwananchi anapatiwa chanjo ya corona Hayo yamesemwa na DR CRESENCIA JOHN kutoka ofisi ya mganga mkuu mkoani kigoma wakati akizungumza na…
16/09/2021, 9:10 pm
Waziri mkuu amewahakikishia wakulima wa mazao ya kimkakati masoko
Na,Glory Paschal Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Mjaliwa Kassim amewahakikishia wakulima wanaolima mazao ya kimakakati nchini kuwawezesha katika mchakato wa kuandaa kulima na kuwatafutia masoko ya ndani na nje ya nchi. Ametoa kauli hiyo alipotembelea Shamba la michikichi katika kambi…
09/09/2021, 5:54 pm
Kuwahi mapema kliniki kwa mama mjamzito husaidia kiafya
Na,Editha Edward Imeelezwa kuwa kuwahi mapema kliniki kwa mama mjamzito humsaidia kujua hali ya mama kiafya Pamoja na hali ya mtoto wake aliyeko tumboni Akizungumza na redio Uvinza fm mganga mkuu wilaya ya Uvinza dkt ZAITUNI HAMZA amesema kuna baadhi…
08/09/2021, 5:43 pm
Wafungwa na watumishi wa gereza wapokea chanjo ya uviko 19
Na,Glory Paschal Wafungwa na watumishi katika gereza la bangwe mjini kigoma, wamepokea chanjo ya uviko 19 kwa kuchwanjwa ili kuendelea kujilinda na maambukizi ya ugonjwa huo na kuendelea kujilinda na kuwalinda ndugu jamaa na marafiki wanaowatembelea gerezani Wamesema hatua hiyo…
06/09/2021, 4:31 pm
Ugumu wa maisha huwapelekea waendesha bajaji kubeba zaidi ya abiria watatu
Na,Mwanaid Suleiman Baadhi ya waendesha bajaji wilayani uvinza mkoani kigoma wamesema kuwa ugumu wa maisha hupelekea kubeba abiria zaidi ya watatu kwenye bajaji licha ya kwenda kinyume na sheria za barabaarani Hayo yamebainishwa na bw ALLY MOHAMED pamoja na ATHUMANI…
03/09/2021, 5:57 pm
Dawa ya kupunguza makali ya Vvu yaanza kutolewa
Na,Glory Paschal Dawa ya kupunguza Makali ya virusi vya UKIMWI imeanza kutolewa kwa miezi sita kwa wagonjwa wenye maambukizi ili kusaidia kupunguza makali ya virusi hivyo. Hayo yamezungumzwa na Mganga Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Dkt. Saimon Chacha, nakusema wagonjwa…
02/09/2021, 5:51 pm
Apoteza maisha kwa kukatwa na kitu kikali shingoni
Na,Jacob Kapaya Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la JACKIAS KIPARA mkazi wa kijiji cha Ruchugi wilayani Uvinza mkoani Kigoma mwenye umri wa miaka 31 amefariki dunia baada ya kukatwa na kitu chenye ncha kali shingoni. Kamanda wa jeshi la polisi…
25/08/2021, 5:56 pm
Wanafunzi wa kike waiomba serikali kuwaletea walimu wa kike mashuleni ili kutat…
Na,Christina Daud Baadhi ya Wanafunzi wa kike katika shule ya sekondari nguruka wilayani uvinza mkoani kigoma wanapata changamoto ya kuwa na walimu wa kike wa kutosha mashuleni kwa ajili ya kueleza shida zao hususani suala la hedhi wanapokua shuleni Wakizungumza…
19/08/2021, 4:23 pm
Wazazi na walezi washauriwa kutowaruhusu watoto kusafirishwa
Na,Glory Paschal Wazazi na Walezi Wilayani Kakonko Mkoani Kigoma wameshauriwa kutoruhusu watoto wao kusafirishwa kwenda kutumikishwa katika shughuli mbalimbali kinyume cha sheria Afisa Ustawi wa Jamii halmashauri ya wilaya Kakonko Bw. Mohamed Shauri amesema baadhi ya wazazi na walezi wamekuwa…