Radio Tadio

Zimamoto

23 Januari 2026, 2:26 um

Zaidi ya watoto 22 wenye mahitaji maalum wabainishwa Kizota

Hatua hiyo inajiri ikiwa ni siku ya pili tangu Halmashauri ya Jiji la Dodoma kuzindua rasmi zoezi la ubainishaji wa watoto wenye mahitaji maalum, zoezi inalotekelezwa ikiwa ni sehemu ya sera ya serikali kuhakikisha watoto wote wanajumuishwa katika mfumo wa…

22 Januari 2026, 5:25 um

Dodoma yabainisha watoto wenye mahitaji maalum

Ubainishaji wa mapema utasaidia serikali na wadau kupanga mikakati madhubuti ya utoaji wa huduma kwa watoto wenye mahitaji maalum. Na Lilian Leopold. Wazazi na walimu wametakiwa kushirikiana katika kuwaibua watoto wenye mahitaji maalum, kwa lengo la kuwatambua watoto hao wenye…

20 Disemba 2023, 5:15 um

Askari wa zimamoto Katavi washauriwa kufanya kazi kwa weledi

Askari wa Jeshi la zimamoto na Uokoaji Katavi washauriwa kufanya kazi kwa weredi na kuendelea kuwa wavumilivu. Na Gladness Richard – Katavi Askari wa Jeshi la zimamoto na Uokoaji mkoani Katavi wameshauriwa kufanya kazi kwa weredi na kuendelea kuwa wavumilivu…

5 Oktoba 2023, 22:06

Zimamoto Mbeya yatoa elimu shule za msingi

Elimu ni msingi wa maendeleo, kila mtu anapaswa kupata elimu ili kuweza kufanikiwa juu ya jambo ambalo anatamani kulijua haijalishi umri, hapa jeshi la zimamoto linaonesha wazi namna ambavyo limeendelea kutoa elimu ili kuwezesha wananchi kukabiliana na majanga mbalimbali ikiwemo…