usafiri
12 November 2025, 1:13 pm
Vijana walindwe matumizi ya dawa za kulevya ili kufikia ndoto zao
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kukevya (DCEA) imesema kundi la vijana wasomi wa vyuo vikuu ndio linaloongoza kwa matumizi makubwa ya dawa za kulevya ikiwemo uchepushwaji wa kemilaki bashirifu na dawa tiba zenye asili ya kulevya. Na…
10 November 2025, 1:20 pm
Safari ya binti Fanikiwa kutoka katika matumizi ya Skanka
Awali, nilikutana na Fanikiwa na kukuandalia taarifa hii fupi, ikieleza jinsi mdogo wake alivyomsaidia kuachana na matumizi hayo na kuanza upya maisha yenye matumaini. Na Seleman Kodima.Fanikiwa Subukheri—sio Jina lake halisi —ni kijana mdogo aliyewahi kutumbukia katika matumizi ya dawa…
10 October 2024, 7:01 pm
DCEA yawaandaa wanafunzi kupambana na dawa za kulevya
Na Mindi Joseph. Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) inawaandaa wanafunzi kupambana dhidi ya dawa za kulevya. Akizungumza katika mdahalo uliowakutanisha wanafunzi na wadau wengine Oktoba 10…
7 December 2023, 3:33 pm
Serikali yaruhusu sekta binafsi kuanzisha safari za treni reli ya mwendokasi
Waziri wa Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa akizungumza kwenye mkutano wa wadau wa usafirishaji jijini Arusha. Picha na Anthony Masai “Sheria ya reli namba 17 imefanyiwa marekebisho ambapo kwa sasa inaruhusu uwekezaji wa sekta binafsi katika miundombinu ya reli“. Na Anthony…
7 September 2023, 1:56 pm
Madereva watakiwa kujaza mafuta gari ikiwa haina abiria
Je sheria hii imatambulika na imekuwa ikifuatwa na madereva wa vyombo vya moto hususani Magari ya abiria. Na Thadei Tesha. Madereva wa vyombo vya moto wametakiwa kutambua kuwa ni kosa kisheria kujaza Gari mafuta na abiria wakiwa ndani ya gari.…
1 September 2023, 11:41
TPA Kigoma yadhamiria kuboresha usafirishji mafuta kwenda Burundi
Katika kuboresha huduma za usafirishaji, Mamlaka ya Bandari Tanzania mkoani Kigoma imesema inaendelea kuboresha usafirishaji wa mafuta kwa nchi ya Burundi. Na, Tryphone Odace Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania TPA mkoa wa Kigoma, imeanza kuchukua hatua za kuboresha nyanja…
24 August 2023, 15:37
Vyombo visivyokidhi vigezo kuondolewa ziwa Tanganyika
Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) Mkoa wa Kigoma, Limezindua kampeni ya Operasheni Maboya katika ziwa Tanganyika, ili kubaini Boti zisizo na Vifaa vya Kusafiria Kwa Wavuvi na Abiria ili kuwachukulia hatua za kisheria. Na, Kadislaus Ezekiel Afisa mfawidhi…
31 July 2023, 15:32
Serikali yatakiwa kumsimamia mkandarasi bandari ziwa Tanganyika
Serikali imetakiwa kumsimamia mkandarasi anayejenga mradi wa bandari ya ziwa Tanganyika ili kurahisisha usafirishaji wa bidhaa. Na, Tryphone Odace Wananchi mkoani Kigoma pamoja na wafanyabiashara wanaosafirisha bidhaa katika nchi jirani, wameiomba serikali kumsimamia mkandarasi anayejenga miradi ya bandari katika ziwa…
19 July 2023, 11:17
Waendesha pikipiki walia na mikataba kandamizi Kigoma
Shughuli ya uendeshaji wa pikipiki maarufu bodaboda kwa miaka ya hivi karibuni imekuwa na mchango mkubwa kwa vijana kujipatia kipato kwa kusafirisha abiria huku wengi wao wakipewa pikipiki hizo kwa mikataba hali iayosababisha kutofikia malengo yao. Na,Hagai Ruyagila Vijana waendesha…
12 April 2023, 9:29 am
Maafsa ugani Kilosa sasa kuwafikia wakulima vijijini kwa haraka.
Serikali imewakabidhi pikipiki maafisa ugani wote wilayani Kilosa ili kuondokana na adha walioyokuwa wanaipata ya usafiri na kushindwa kuwafikia wakulima wengi kwenye mashamba yao na kutatua changamoto. “Tunaishukuru serikali kwa kuiona kwa jicho la pekee wizara yetu ya kilimo kwa…