Radio Tadio

Unyonyeshaji

27 September 2023, 4:57 pm

Akinamama watakiwa kuzingatia muda wa kunyonyesha watoto

Wataalamu wa Afya hushauri mtoto kunyonyeshwa maziwa ya mama kwa muda stahiki hasa kwa miezi sita ili kuijenga afya ya mtoto pamoja na kumpatia baadhi ya vyakula kwa ajili ya afya bora kwa mtoto. Na Naima Chokela.           Ni muhimu…

26 September 2023, 4:07 pm

Wanawake washauriwa kuzingatia kanuni za unyonyeshaji

Wanawake wazingatie kanuni za unyonyeshaji ili kuwalinda Watoto na magojwa yasio ya kuambukizwa. Na Gladness Richard – Mpanda Wanawake wanaonyonyesha watoto manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameshauriwa kuzingatia kanuni za unyonyeshaji ili kuwalinda watoto na magojwa yasiyo ya kuambukizwa. Maziwa…

7 August 2023, 1:28 pm

Utandawazi, mitindo ya maisha vyatajwa kuathiri unyonyeshaji

Maadhimisho ya wiki ya unyonyeshaji yamezinduliwa Agosti Mosi mwaka huu na kilele chake ni Agosti 08. Na Mariam Msagati. Baadhi ya wananchi jijini Dodoma wameelezea kuwepo kwa sababu mbalimbali zinazochangia baadhi yao kushindwa kunyonyesha watoto ipasavyo. Wakizungumza na Dodoma TV…