tuzo
8 Januari 2026, 3:01 um
Wataalam Jiji la Dodoma wakagua ujenzi wa vyoo Chiwondo
Picha ni ujenzi wa matundu ya vyoo unaoendelea katika Shule ya Msingi Chiwondo iliyopo Kata ya Nala jijini Dodoma. Picha na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya. Shule hiyo ilitengewa kiasi cha shilingi 17,200,000 kwa ajili ya ujenzi wa matundu 18…
12 Agosti 2023, 7:44 um
Storm FM yampongeza mwandishi wake kushinda tuzo za EJAT
Mkurugenzi wa Kituo cha Redio cha Storm FM ameahidi kuendelea kutoa motisha kwa wafanyakazi wake wanaofanya vizuri katika nyanja mbalimbali ikiwemo tuzo. Na Mrisho Sadick: Storm FM imempongeza Mtangazaji na mwandishi wake Said Sindo kwa kushinda tuzo za umahiri za…
24 Julai 2023, 9:12 mu
Mwandishi wa Storm FM ashinda tuzo EJAT
Tuzo za EJAT hutolewa kila mwaka, huku mwaka 2022 matukio ya mauaji ya walinzi mkoani Geita, yalimuinua Said Sindo kuandaa kipindi na kushindania tuzo hiyo. Na Zubeda Handris- Geita Mwandishi wa habari na mtangazaji wa kipindi cha Storm Asubuhi, Said Ally…
23 Julai 2023, 9:35 um
Mazingira Fm yatoa mshindi tuzo za EJAT 2022
Radio Mazingira Fm imefanikiwa kumtoa mshindi wa tuzo za EJAT zinazotolewa na baraza la habari Tanzania MCT ambaye ni Catherine Msafiri Madabuke. Na Adelinus Banenwa Catherine Msafiri Madabuke mtangazaji kutoka radio Mazingira fm ameibuka mshindi wa umahiri wa uandishi wa…