Radio Tadio

TASAF

3 October 2025, 11:22 am

Wakazi Chanhumba wahoji zoezi la urasimishaji ardhi

Licha ya elimu iliyotolewa mwanzoni mwa mpango huo lakini bado haikueleweka kwa wananchi wengi. Na Victor Chigwada. Wakazi wa Kijiji cha Chanhumba Kata ya Handali Wilaya ya Chamwino wamesema imekuwa ni vigumu kupokea zoezi la urasimishaji wa ardhi kwa kuhofia…

5 June 2025, 4:02 pm

Wananchi Makang’wa waendelea kupatiwa elimu ya urasimishaji

Zoezi la urasimishaji imekuwa ni mikakati ya Serikali kuhakikisha Kila mwananchi anamiliki ardhi yake kihalali Kwa kupewa hati ya umiliki wa ardhi za mashamba Yao. Na Victor Chigwada.                                              Imeelezwa kuwa elimu ya urasimishaji wa ardhi imeendelea kutolewa Kwa wananchi wa…

28 May 2024, 5:45 pm

Nayu watakiwa kuwa tayari zoezi la urasimishaji ardhi

Kila mwananchi ambaye anamiliki ardhi atafikiwa na zoezi hilo hivyo ni muhimu kila mmoja kushiriki. Na Victor Chigwada.Wakazi wa kijiji cha Nayu wilayani Chamwino mkoani Dodoma wametakiwa kuwa tayari kwa ajili ya zoezi la urasimishaji ardhi na makazi ambalo linatarajia…

6 March 2024, 6:54 pm

Malipo yakwamisha urasimishaji wa ardhi Ihumwa

Zoezi hilo la urasimishaji linahusisha zaidi ya viwanja 2500 kwa upande wa mtaa wa ihumwa A ambapo inaelezwa kwa ni viwanja visivyozidi 100 ndivyo vimelipiwa. Na Victor Chigwada.Kusuasua kwa Malipo ya zoezi la Urasimishaji wa ardhi katika kata ya Ihumwa…

7 December 2023, 9:47 pm

Miradi ya TASAF yakosa ushirikishwaji baina ya mfuko, viongozi na jamii

Aidha mabadiliko hayo ya malipo katika mfuko wa jamii wa kusaidia kaya maskini yalikuja yakiwa na lengo la kurahisisha utekelezi wa zoezi la utoaji fedha kwa walengwa. Na Victor Chigwada.                                      Imeelezwa kuwa kukosekana kwa nguvu ya ushirikishwaji katika miradi ya…

21 April 2023, 3:02 pm

Wanufaika Tasaf walalamika malipo kuchelewa

Mpaka sasa miradi hiyo ipo katika hatua nzuri za utekelezaji kwani hadi kufikia julai mwaka huu wataanza kutekeleza awamu ya pili ya miradi hiyo. Na Bernadetha Mwakilabi Wanufaika wa mfuko wa kusaidia kaya masikini TASAF wilayani Kongwa wamelalamikia Kuchelewa kwa…

21 February 2023, 3:32 pm

Wanufaika wa mpango wa TASAF Bahi wameishukuru serikali

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeweka mpango maalumu wa kusaidia kaya masikini ambao utaleta ahueni. Na Bernad Magawa. Wanufaika wa mpango wa TASAF katika kijiji cha Bahi Sokoni wilaya ya Bahi Mkoani Dodoma wameishukuru serikali ya Jamhuri ya…