Radio Tadio

siasa

18 June 2024, 7:41 pm

NELICO yatoa vitimwendo 50 kwa watoto wenye ulemavu Geita

Katika kupunguza changamoto kwa watoto wenye ulemavu mashirika mbalimbali mkoani Geita yameombwa kuendelea kujitokeza kulisaidia kundi hilo. Na Mrisho Sadick – Geita Shirika la NELICO Mkoani Geita limeadhimisha siku ya mtoto wa afrika kwa kutoa viti mwendo 50 na bima…

June 4, 2024, 6:36 pm

Wazazi watakiwa kusimamia ndoto za watoto wao

Katika kipindi hiki cha likizo kumekuwa na tabia ya wazazi kuwapa watoto kazi nyingi za nyumbani  hali inayopelekea watoto kusahau walichofundishwa shule nakushindwa kutimiza ndoto zao Na Marino Kawishe. Wazazi na walezi wilayani Babati mkoani Manyara wametakiwa kuendelea kuwasisimamia watoto…

29 May 2024, 3:04 pm

TRA watoa siku 14 wafanyabiashara kuwa na mashine za EFD Maswa

Ukikwepa kulipa kodi maana yake umekubali kuliingizia hasara Taifa lako na kupelekea kudumaza shughuli za kimaendeleo tulipeni kodi kwa hiari kwa kutoa EFD mashine kwa waliokidhi vigezo. Na,Daniel Manyanga  Mamlaka ya mapato nchini TRA wilaya ya Maswa mkoani Simiyu imetoa…

27 May 2024, 14:36

DC Kigoma ahimiza waumini kujiandikisha daftari la mpiga kura

Wakati zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la mpiga kura likitarajiwa kuzunduliwa julai mosi mwaka mkoani kigoma, viongozi wa dini na wadau mbalimbali wametakiwa kuhimizi waumini na jamii kwa ujumla kujitokeza kujiandikisha kwenye zoezi hilo la uboreshaji wa daftari…

3 May 2024, 09:43

67% ya watoto wanatumia simu, 4% wamefanyiwa ukatili

Ukuaji wa sayansi na tenkolojia ulimwenguni umeleta changamoto ya malezi duni kwa watoto ambapo baadhi ya wazazi wamekua wakitumia mitandao ya kijamii kutoa malezi kulea watoto wao. Na Rukia Chasanika Katika utafiti uliofanywa juu ya matumizi ya simu kwa watoto…

30 April 2024, 3:39 pm

Familia zinazoishi mazingira magumu zapatiwa msaada

Hali duni ya maisha inayopelekea kukosa mahitaji mbalimbali inatajwa kuwa chanzo cha baadhi ya watoto kushindwa kupata haki ya eleimu kutokana na wazazi kushindwa kumudu gharama na kupelekea ongezeko la watoto wanaoishi katika mazingira magumu. Na: Edga Rwenduru – Geita…

19 April 2024, 11:49 am

Samwel na Godi mikononi mwa Dc Maswa kwa kukwepa kulipa kodi

Lazima tuwe wakali kwa wafanyabiashara ambao wamekuwa wanaihujumu Serikali yetu ya Tanzania kwa kukwepa kulipa kodi pale wanapouza na kununua bidhaa na kushindwa kutoa listi za mashine zenye thamani sawa na bidhaa husika. Na, Daniel Manyanga  Mkuu wa wilaya ya…

17 April 2024, 10:49 am

DC Maswa ataka ushirikishwaji wa sekta binafsi kuleta maendeleo

Sekta binafsi ni mdau muhimu sana wa maendeleo katika kuwaletea maendeleo wananchi wetu, nendeni mkashirikiane nao, sikilizeni changamoto zao na kuzitatua. Na, Daniel Manyanga  Mkuu wa Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu Aswege Kaminyoge amezitaka sekta binafsi na sekta za umma…

28 February 2024, 11:15 am

DC Kaminyoge atoa ufafanuzi  changamoto ya sukari wilayani Maswa

Mkuu  wa  Wilaya  ya  Maswa  Mkoani  Simiyu  Mh,  Aswege  Kaminyoge  ametoa ufafanuzi  kuhusu  Changamoto  ya  Kupanda  kwa  bei  ya  Sukari   na  kutoa  maelekezo  ya  Serikali  kuhusu  upatikanaji  wa  Bidhaa  hiyo. Kaminyoge  amesema  hayo  wakati  akizungumza  na  Wafanyabiashara  wa  Maswa na …