siasa
24 October 2025, 7:52 pm
Wafanyabiashara Kilosa walia na ukosefu wa choo
Soko hilo la Kilabu cha Mtendeni linahudumia watu wengi kila siku, na bila choo, mazingira yameanza kuwa hatarishi kwa kusababisha uchafuzi unaoweza kusababisha magonjwa ya mlipuko kama kipindupindu. Na Beatrice Majaliwa Wafanyabiashara wa soko la kilabu cha Mtendeni lililopo katika…
October 22, 2025, 11:15 pm
Atakaye kamatwa na trampa faini milioni moja
Mafundi Gereji zaidi ya 200 Krokoni Waeleza Kero Zao kwa Mkuu wa Wilaya Arusha, DC Mkude Aahidi Utekelezaji na Onyo kwa Wanaotumia Trampa Na Jenipha Lazaro Umoja wa Mafundi gereji Krokoni mtaa wa Kitangare, kata ya Kimandolu mkoani Arusha wamemuomba…
18 October 2025, 5:49 pm
Samia aahidi kuimarisha miundombinu Katavi
“kama watampa ridhaa ya kuendelea kuiongoza nchi atahakikisha mkoa wa Katavi unapata kipaumbele katika ujenzi wa barabara na madaraja ili kuunganisha mkoa huo na maeneo jirani ya ndani na nje ya nchi.” Na Restuta Nyondo Mgombea urais wa Jamhuri ya…
4 September 2025, 7:12 pm
Vyama vya siasa vyapewa mafunzo maadili, makatazo
Katika sheria ya gharama za uchaguzi kuna maadili na makatazo ambayo Chama,Mgombea au mtu yeyote anayeshiriki uchaguzi hapaswi kuyafanya kipindi cha uchaguzi Na Katalina Liombechi Ofisi ya Msajili wa vyama vya Siasa nchini Tanzania imetoa mafunzo kwa viongozi wa vyama…
20 August 2025, 9:00 pm
TAG yawakumbuka wajane na wahitaji Geita
Jamii imetakiwa kuendelea kuwakumbuka wajane kwakuwa wengi wao wanapitia changamoto nyingi hususani za kiuchumi Na Kale Chongela: Kanisa la TAG Heri Wenye Moyo Safi Mtaa wa Nyantorotoro B Kata ya Nyankumbu Manispaa ya Geita limetoa msaada wa vyakula kwa watu…
August 19, 2025, 3:20 pm
Jamii Kagera yaaswa kuacha uchomaji mbuga hovyo
Baadhi ya wananchi mkoani Kagera wameaswa kuachana na vitendo ya uchomaji hovyo mbuga na mistu ili kutunza mazingira na kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa. Na Anold Deogratias Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Kagera limetoa onyo kali…
August 13, 2025, 3:18 pm
Serikali yatoa msamaha ushuru wa forodha kwa malighafi
Serikali kupitia Mamlaka ya Mapato Tanzania, TRA, imeamua kutoa msamaha wa ushuru kwa malighafi zinazoagizwa kutoka nje ya nchi, ikiwa ni hatua ya kuimarisha uzalishaji wa bidhaa ndani ya nchi na kuweka usawa wa bei sokoni. Na Jenipha Lazaro Meneja…
1 August 2025, 6:25 pm
Wananchi Kware wapewa onyo matumizi dawa za kulevya
Wananchi wa Kijiji cha Kware kilichopo kata ya Masama Kusini wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro wameaswa kuachana na matendo kinyume na maadili na uvunjifu wa amani unaosababisha watu kukosa usalama wao na mali zao,pamoja na kuacha matumizi ya madawa ya…
23 July 2025, 12:35 pm
Mwili wakutwa ukining’inia kwenye mkorosho Lindi
Omari Bakari Hidobelele (35), mkazi wa Madangwa, Lindi, amekutwa amejinyonga kwa kutumia mkanda wa suruali. Polisi wamesema marehemu alikuwa na msongo wa mawazo. Familia imeshangazwa na tukio hilo, ikieleza kuwa hakuwa na matatizo yoyote. Polisi wamehimiza jamii kusaidia wenye changamoto…
9 July 2025, 5:49 pm
ZEC yazindua kamati ya maadili kitaifa kuelekea uchaguzi mkuu 2025
Mary Julius. Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili ya Tume ya Uchaguzi Zanzibar ambaye pia ni Makamo Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar Jaji Aziza Iddi Suwed ametoa wito kwa wajumbe wa kamati hiyo kushiriki kikamilifu kwa kutoa maoni yao…