Radio Tadio

siasa

28/02/2026, 16:42

Kijana mwenye ulemavu apatiwa baiskeli Geita

“Naimani baiskeli hii itamsaidia kuweza kutimiza majukumu yake ya kila siku, nina imani pia ataitunza vizuri” – MNEC Evarist Gervas Na: Ester Mabula Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa kutoka mkoa wa Geita, Evarist Gervas, ametimiza…

25/02/2026, 19:01

Yaliyojificha malezi ya watoto katika jamii

“Watoto wamefikia sehemu wanajichukulia maamuzi yao jambo linalosababisha kuzalisha majambazi, vibaka, watoto wa mtaani jambo ambalo sio zuri na sisi kama ustawi wa jamii tunaendelea kutoa elimu katika jamii na kuwasisitiza kushirikiana katika malezi” Virginia Fredinand. Na; Emily Adam Baadhi…

05/01/2026, 15:42

Sagayika agusa wahitaji kata ya Kalangalala

“Ibada njema ni yenye kukumbuka watu wenye uhitaji na kuweza kuwasaidia ili waweze kujisikia vizuri kama watu wengine” – Diwani Sagayika Na: Ester Mabula Diwani wa kata ya Kalangalala Mhe. Ruben Emmanuel Sagayika ameuanza vyema mwaka 2026 kwa kuwakumbuka wagonjwa,…

26/12/2025, 02:07

Mbunge Chato Kusini awakumbuka wagonjwa sikukuu ya krismasi

“Ofisi ya mbunge jimbo la Chato Kusini itaendelea kushirikiana na wananchi katika mambo mbalimbali kwaajili ya maendeleo ya jimbo letu” – Joseph James, Katibu wa Mbunge Na: Ester Mabula Mbunge wa Jimbo la Chato kusini Paschal Lutandula amewakumbuka wagonjwa wanaopatiwa…

24/10/2025, 19:52

Wafanyabiashara Kilosa walia na ukosefu wa choo

Soko hilo la Kilabu cha Mtendeni linahudumia watu wengi kila siku, na bila choo, mazingira yameanza kuwa hatarishi kwa kusababisha uchafuzi unaoweza kusababisha magonjwa ya mlipuko kama kipindupindu. Na Beatrice Majaliwa Wafanyabiashara wa soko la kilabu cha Mtendeni lililopo katika…

22/10/2025, 23:15

Atakaye kamatwa na trampa faini milioni moja

Mafundi Gereji zaidi ya 200 Krokoni Waeleza Kero Zao kwa Mkuu wa Wilaya Arusha, DC Mkude Aahidi Utekelezaji na Onyo kwa Wanaotumia Trampa Na Jenipha Lazaro Umoja wa Mafundi gereji Krokoni mtaa wa Kitangare, kata ya Kimandolu mkoani Arusha wamemuomba…

18 Oktoba 2025, 5:49 um

Samia aahidi kuimarisha miundombinu Katavi

“kama watampa ridhaa ya kuendelea kuiongoza nchi atahakikisha mkoa wa Katavi unapata kipaumbele katika ujenzi wa barabara na madaraja ili kuunganisha mkoa huo na maeneo jirani ya ndani na nje ya nchi.” Na Restuta Nyondo Mgombea urais wa Jamhuri ya…

4 Septemba 2025, 7:12 um

Vyama vya siasa vyapewa mafunzo maadili, makatazo

Katika sheria ya gharama za uchaguzi kuna maadili na makatazo ambayo Chama,Mgombea au mtu yeyote anayeshiriki uchaguzi hapaswi kuyafanya kipindi cha uchaguzi Na Katalina Liombechi Ofisi ya Msajili wa vyama vya Siasa nchini Tanzania imetoa mafunzo kwa viongozi wa vyama…

20/08/2025, 21:00

TAG yawakumbuka wajane na wahitaji Geita

Jamii imetakiwa kuendelea kuwakumbuka wajane kwakuwa wengi wao wanapitia changamoto nyingi hususani za kiuchumi Na Kale Chongela: Kanisa la TAG Heri Wenye Moyo Safi Mtaa wa Nyantorotoro B Kata ya Nyankumbu Manispaa ya Geita limetoa msaada wa vyakula kwa watu…