![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/themes/radiotadio/assets/img/banner/1500x300.jpg)
siasa
![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/18/2024/06/formatfactorygoo.jpg)
18 June 2024, 7:41 pm
NELICO yatoa vitimwendo 50 kwa watoto wenye ulemavu Geita
Katika kupunguza changamoto kwa watoto wenye ulemavu mashirika mbalimbali mkoani Geita yameombwa kuendelea kujitokeza kulisaidia kundi hilo. Na Mrisho Sadick – Geita Shirika la NELICO Mkoani Geita limeadhimisha siku ya mtoto wa afrika kwa kutoa viti mwendo 50 na bima…
![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/46/2024/06/5cb72c2e-c041-4efc-a291-a9cc15212fe8-scaled.jpeg)
June 4, 2024, 6:36 pm
Wazazi watakiwa kusimamia ndoto za watoto wao
Katika kipindi hiki cha likizo kumekuwa na tabia ya wazazi kuwapa watoto kazi nyingi za nyumbani hali inayopelekea watoto kusahau walichofundishwa shule nakushindwa kutimiza ndoto zao Na Marino Kawishe. Wazazi na walezi wilayani Babati mkoani Manyara wametakiwa kuendelea kuwasisimamia watoto…
![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/15/2024/05/1000495642.jpg)
29 May 2024, 3:04 pm
TRA watoa siku 14 wafanyabiashara kuwa na mashine za EFD Maswa
Ukikwepa kulipa kodi maana yake umekubali kuliingizia hasara Taifa lako na kupelekea kudumaza shughuli za kimaendeleo tulipeni kodi kwa hiari kwa kutoa EFD mashine kwa waliokidhi vigezo. Na,Daniel Manyanga Mamlaka ya mapato nchini TRA wilaya ya Maswa mkoani Simiyu imetoa…
![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/39/2024/05/dc-na-wagen-2.jpg)
27 May 2024, 14:36
DC Kigoma ahimiza waumini kujiandikisha daftari la mpiga kura
Wakati zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la mpiga kura likitarajiwa kuzunduliwa julai mosi mwaka mkoani kigoma, viongozi wa dini na wadau mbalimbali wametakiwa kuhimizi waumini na jamii kwa ujumla kujitokeza kujiandikisha kwenye zoezi hilo la uboreshaji wa daftari…
![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/41/2024/05/img-20240502-wa0056.jpg)
3 May 2024, 09:43
67% ya watoto wanatumia simu, 4% wamefanyiwa ukatili
Ukuaji wa sayansi na tenkolojia ulimwenguni umeleta changamoto ya malezi duni kwa watoto ambapo baadhi ya wazazi wamekua wakitumia mitandao ya kijamii kutoa malezi kulea watoto wao. Na Rukia Chasanika Katika utafiti uliofanywa juu ya matumizi ya simu kwa watoto…
![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/18/2024/04/picha-compassion-1.jpg)
30 April 2024, 3:39 pm
Familia zinazoishi mazingira magumu zapatiwa msaada
Hali duni ya maisha inayopelekea kukosa mahitaji mbalimbali inatajwa kuwa chanzo cha baadhi ya watoto kushindwa kupata haki ya eleimu kutokana na wazazi kushindwa kumudu gharama na kupelekea ongezeko la watoto wanaoishi katika mazingira magumu. Na: Edga Rwenduru – Geita…
![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/15/2024/04/img-20240419-wa0010.jpg)
19 April 2024, 11:49 am
Samwel na Godi mikononi mwa Dc Maswa kwa kukwepa kulipa kodi
Lazima tuwe wakali kwa wafanyabiashara ambao wamekuwa wanaihujumu Serikali yetu ya Tanzania kwa kukwepa kulipa kodi pale wanapouza na kununua bidhaa na kushindwa kutoa listi za mashine zenye thamani sawa na bidhaa husika. Na, Daniel Manyanga Mkuu wa wilaya ya…
![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/15/2024/04/1000428023.jpg)
17 April 2024, 10:49 am
DC Maswa ataka ushirikishwaji wa sekta binafsi kuleta maendeleo
Sekta binafsi ni mdau muhimu sana wa maendeleo katika kuwaletea maendeleo wananchi wetu, nendeni mkashirikiane nao, sikilizeni changamoto zao na kuzitatua. Na, Daniel Manyanga Mkuu wa Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu Aswege Kaminyoge amezitaka sekta binafsi na sekta za umma…
![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/16/2024/03/image-1.png)
March 4, 2024, 4:25 pm
Wamiliki wa nyumba za dada poa Kahama kukamatwa na wateja wao
Msiwakamate wanawake tu kamata wote anaejiuza na anaemnunua wote kamata weka ndani Na Paschal Malulu Mkuu wa mkoa wa Shinyanga, Christina Mndeme ameagiza kukamatwa kwa watu wanaofanya biashara haramu ya ngono wilayani Kahama baada ya kushamiri kwa biashara hiyo na…
![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/15/2024/02/pc-dc-kaminyoge-scaled.jpg)
28 February 2024, 11:15 am
DC Kaminyoge atoa ufafanuzi changamoto ya sukari wilayani Maswa
Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Mh, Aswege Kaminyoge ametoa ufafanuzi kuhusu Changamoto ya Kupanda kwa bei ya Sukari na kutoa maelekezo ya Serikali kuhusu upatikanaji wa Bidhaa hiyo. Kaminyoge amesema hayo wakati akizungumza na Wafanyabiashara wa Maswa na …