Radio Tadio

politics

31 January 2025, 11:25

TAKUKURU Kigoma yabaini mapungufu miradi 31 ya maendeleo

Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Kigoma imebaini mapungufu madogo madogo katika miradi 31 ya maendeleo kati ya miradi 32. Na Orida Sayon Akitoa taarifa ya ufuatiliaji wa miradi ya maendeleo katika kipindi cha kuanzia mwezi…

17 January 2025, 17:04

RC Kigoma apiga marufuku ukamataji holela pikipiki

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Thobias Andengenye amelazimika kukutana na madereva bodaboda na kusikiliza Kero zao ikiwa ni wiki moja imepita tangu waandamane na kufunga barabara wakishnikiza Jeshi la Polisi kuacha kuwakata. Na Josephine Kiravu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma…

13 January 2025, 14:27

Wavuvi ziwa Tanganyika walia na upepo mkali mitumbwi ikipotea

Wavuvi Mkoani Kigoma wametakiwa wametakiwa kufuatailia utabiri wa hali ya hewa ili kuweza kufahamu muda gani wa kuingia ziwani kuvua na kuepuka dhoruba za upepo wawapo ziwani. Baadhi ya wavuvi katika Ziwa Tanganyika wamelalamikia changamoto ya upepo mkali na mvua…

9 January 2025, 16:38

Bodaboda walia na kamatakamata ya polisi Kigoma

Baadhi ya madereva Bodaboda katika Manispaa ya Kigoma Ujiji Mkoani Kigoma wamefanya maandamano kupinga kamatakamata ya vyombo  vya  moto inayoendelea Mjini Kigoma na kuomba Jeshi la Polisi kikosi cha usalama barabarani kulitafutia ufumbuzi suala hilo. Wakizungumza na Radio Joy Fm,…

8 January 2025, 1:54 pm

Wakulima wanawake Pemba na kilimo msitu

Wakulima wanawake Wete kisiwani Pemba wamejikita katika Kilimo Msitu ili kuboresha kipato cha mtu mmoja na maendeleo ya taifa kwa ujumla. Fuatilia makala hii upate mengi kuhusu kilimo hiki na matarajio ya wakulima kisiwani Pemba.

2 January 2025, 12:11

Ajali ya moto yaua wawili na mmoja kujeruhiwa

Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoani Kigoma limewataka wananchi kuacha kuhifadhi vilipuzi ndani za makazi ili kuepuka ajali za moto zinazoweza kujitokeza. Na Orida Sayon – Kigoma Watoto wawili wa familia moja wamefariki na baba kujeruhiwa katika ajali ya moto…

29 November 2024, 17:23

Anusurika kifo baada ya kuchomewa ndani na mme wake

Wakati tukiwa kwenye siku 16 za kupinga ukatilii wa kijinsia na elimu kuendelea kutolewa kwa jamii bado ukatilii wa aina mbalimbali umeendelea kufanyika. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Mwanamke mmoja mkazi wa mtaa wa Mkapa kata ya Kumnyika halmashauri ya…

19 November 2024, 10:42 am

Moto watekeketeza hekta 400 za miti shamba la Sao Hill Mufindi

Na Ayoub Sanga Hekta zinazokadiriwa kufikia zaidi ya mia nne zimeteketea kwa moto katika mashamba ya Miti ya Sao hill yanayomilikiwa na Serikali pamoja na wananchi yaliyopo Wilaya ya Mufindi , Mkoani Iringa huku chanzo kikiwa bado hakijafahamika. Akizingumza akiwa…

23 October 2024, 4:48 pm

Watumishi wa umma watakiwa kuzingatia uadilifu

Mfumo mpya wa manunuzi NEST umetajwa kuondoa urasimu na kuongeza uwajibikaji. Na Nyamizi Mdaki Mkuu wa Mkoa wa Tabora Paul Chacha amezitaka taasisi zinazojihusisha na manunuzi mbalimbali kuzingatia maadili wakati wa kusimamia na kugawa zabuni zinazotangazwa. Mkuu wa Mkoa ameeleza…