politics
May 12, 2026, 4:31 pm
Polisi, wananchi waungana kudhibiti uhalifu Muleba
Lengo la kushirikisha jamii ni kupata taarifa sahihi za uharifu na kubaini matishio mapema ya kiusalama badala ya kufanya kazi peke yao. Na Shafiru Yusuph- Muleba, KAGERA Jeshi la Polisi nchini limesema uwepo wa Polisi Jamii imesaidia kupunguza vitendo vya…
May 12, 2026, 7:20 am
Sekta ya Kahawa Muleba yaimarika, makusanyo yapaa
Awali walikisia kukusanya tani 5,816 na kukusanya ushuru shilingi milioni 500 hivyo ongezeko hilo limetokana na bei ya kahawa sokoni pamoja na usimamizi mzuri wa makusanyo. Na Shafiru Yusufu- Muleba, KAGERA Halmashauri ya wilaya ya Muleba mkoani Kagera imeweza kukusanya…
4 May 2026, 8:07 pm
PM Nchemba akemea unyang’anyi kero ya barabara ikitawala
“Kwenye vyanzo vyangu nimeambiwa upo utaratibu na wengine ni wa serikali, wengine ni wa sekta binafsi, vijana wetu wanafanya kazi na malipo yao hawapewi, ila magari wanabadilisha kila siku, lakini hela za kuwalipa wanyonge hawana “Dkt. Mwigulu Na Marko Msafiri…
April 28, 2026, 1:06 pm
Mitazamo hasi kuhusu malaria yakemewa Muleba
Wananchi wamehimizwa kuzingatia ushauri wa wataalam wa afya, kutumia vyandarua vyenye viuatilifu pamoja na kudumisha usafi wa mazingira ili kupunguza mazalia ya mbu. Na Shafiru Yusuph- Muleba, KAGERA Wakazi wa Wilaya ya Muleba Mkoani Kagera wametakiwa kuondoa mitazamo hasi pindi…
16 April 2026, 11:38
Waziri wa Habari na Mawasiliano Burundi afariki
Mnamo Disemba 2023, aliteuliwa kuwa Kamishna katika Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (CENI), ambapo alisimamia masuala ya ugavi na maandalizi ya uchaguzi. Na Bukuru Daniel Waziri wa Habari na Mawasiliano, Gabby Bugaga, amekutwa ndani ya gari akiwa amefariki dunia…
8 April 2026, 13:17
Radi yaua mmoja, wawili wanusurika Kasulu
Radi ni tukio la kiasili linalotokea wakati wa mvua kubwa na mawingu mazito, likihusisha umeme wenye nguvu unaoshuka kutoka angani kwenda ardhini na tukio hili linaweza kuwa hatari kwa maisha ya binadamu na mali. Na Michael Mpunije Mwanaume mmoja aliyefahamika…
23 March 2026, 2:17 pm
Sheria zinavyomlinda mtoto wa kufikia
“Sheria inakataza kumnyanyasa ama kumbagua mtoto” Na Anna Mhina Wazazi na walezi wilayani Mpanda mkoani Katavi wametakiwa kutambua jukumu lao katika kuwapa malezi bora watoto bila ubaguzi. Wito huo umekuja kutokana na jamii kuendelea kukumbwa na matukio ya baadhi ya…
11 March 2026, 09:27
Forland wazindua utafiti sekta ya misitu Iringa
Utafiti huo wa sekta ya misitu unatarajia kukuza mnyororo wa thamani ya mazao hayo kwa wakulima wadogo. Na Joyce Buganda Serikali mkoani Iringa kwa kushirikiana na Shirika la Forland Tanzania imezindua matokeo ya utafiti kuhusu maendeleo ya sekta ya misitu,…
10 March 2026, 11:31 pm
Bugaga wanufaika na Miche 120,000 ya kahawa
“Tungependa kahawa hii imee na kusambaa katika Halmashauri yetu ya Wilaya ya Kasulu, hivyo tumieni fursa hii ambayo serikali imeitoa bure mkaitunze na msiende kuifanyia biashara badala yake mkaipande kwenye maeneo yenu”Amesema Ladislaus. Na; Mwandishi wetu Wakazi wa Kijiji cha…
24 February 2026, 9:40 am
Wachafuzi wa mazingira kuswekwa ndani Arusha
Uzinduzi huo umefanyika wakati wa kampeni ya NG’ARISHA JIJI inayolenga kuhamasisha usafi wa mazingira na kujenga utamaduni wa utunzaji wa Mji. Na Mariam Mallya Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Joseph Mkude, hivi karibuni amezindua rasmi vikundi vya vijana vya ukamataji…