politics
22 July 2026, 10:35 am
Bei elekezi mbolea ya ruzuku yatangazwa, wananchi waomba iongezwe
Mbunge wa jimbo la Mafinga Mjini Mhe. Dickson Lutevele Villa akizungumza na wananchi wa kijiji cha Ugute kilichopo katika kaya ya Isalavanu ikiwa ni mwendelezo wa ziara yake ya kata kwa kata, kijiji kwa kijiji ndani ya jimbo hilo. Picha…
11 July 2026, 12:13
Moto wateketeza vibanda tisa soko la Muganza Kasulu
Wananchi na wafanyabiashara katika masoko mbalimbali yaliyopo katika Halmashauri ya Mji wa Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kuchukua tahadhali ya moto wawapo katika shughuli zao za kila siku ili kuepuka kuwa chanzo cha majanga ya moto. Na Hagai Ruyagila Zaidi ya…
24 June 2026, 09:49
TFS Mufindi yawanoa vijana kukabiliana na moto
Mafunzo hayo yatasaidia kupata vikosi maalumu vya kuzuia, kudhibiti na kuzima moto katika maeneo ya shamba na maeneo yanayolizunguka. Na Hafidh Ally Zaidi ya vijana 200 kutoka vijiji 61 vinavyozunguka Shamba la Miti la Taifa la Sao Hill, Wilaya ya…
23 June 2026, 11:38
Zaidi ya vibanda 50 vyateketea kwa moto Kasulu
Moto ni janga linaloweza kusababisha hasara kubwa kwa muda mfupi sana na kuathiri maisha ya watu na uchumi wa jamii kwa ujumla. Na Mwandishi wetu Zaidi ya vibanda 50 vya wafanyabiashara katika soko la kijiji cha Mvinza kata ya Kagerankanda…
14 June 2026, 8:54 am
Myinga ataka vikundi kutumia mikopo kwa tija na kurejesha kwa wakati
Pichani ni wajisirimali mbalimbali waliohudhuria katika mafunzo ya mikopo ya asilimia 10 yaliyofanyika shule ya msingi Kibaoni (picha na Juma Robert) Vikundi mbalimbali vya Wilaya ya Hai vilivyoshiriki mafunzo ya ujasiriamali vimeeleza kuwa elimu waliyoipata itawasaidia kusimamia vyema fedha za…
May 12, 2026, 4:31 pm
Polisi, wananchi waungana kudhibiti uhalifu Muleba
Lengo la kushirikisha jamii ni kupata taarifa sahihi za uharifu na kubaini matishio mapema ya kiusalama badala ya kufanya kazi peke yao. Na Shafiru Yusuph- Muleba, KAGERA Jeshi la Polisi nchini limesema uwepo wa Polisi Jamii imesaidia kupunguza vitendo vya…
May 12, 2026, 7:20 am
Sekta ya Kahawa Muleba yaimarika, makusanyo yapaa
Awali walikisia kukusanya tani 5,816 na kukusanya ushuru shilingi milioni 500 hivyo ongezeko hilo limetokana na bei ya kahawa sokoni pamoja na usimamizi mzuri wa makusanyo. Na Shafiru Yusufu- Muleba, KAGERA ‎Halmashauri ya wilaya ya Muleba mkoani Kagera imeweza kukusanya…
4 May 2026, 8:07 pm
PM Nchemba akemea unyang’anyi kero ya barabara ikitawala
“Kwenye vyanzo vyangu nimeambiwa upo utaratibu na wengine ni wa serikali, wengine ni wa sekta binafsi, vijana wetu wanafanya kazi na malipo yao hawapewi, ila magari wanabadilisha kila siku, lakini hela za kuwalipa wanyonge hawana “Dkt. Mwigulu Na Marko Msafiri…
April 28, 2026, 1:06 pm
Mitazamo hasi kuhusu malaria yakemewa Muleba
Wananchi wamehimizwa kuzingatia ushauri wa wataalam wa afya, kutumia vyandarua vyenye viuatilifu pamoja na kudumisha usafi wa mazingira ili kupunguza mazalia ya mbu. Na Shafiru Yusuph- Muleba, KAGERA Wakazi wa Wilaya ya Muleba Mkoani Kagera wametakiwa kuondoa mitazamo hasi pindi…
16 April 2026, 11:38
Waziri wa Habari na Mawasiliano Burundi afariki
Mnamo Disemba 2023, aliteuliwa kuwa Kamishna katika Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (CENI), ambapo alisimamia masuala ya ugavi na maandalizi ya uchaguzi. Na Bukuru Daniel Waziri wa Habari na Mawasiliano, Gabby Bugaga, amekutwa ndani ya gari akiwa amefariki dunia…