
politics

7 May 2025, 5:38 pm
Bei ya mafuta Kanda ya Kaskazini yashuka ikilinganishwa na mwezi April
Bei mpya ya mafuta imeanza kutumika leo Mei 7, 2025 na mabadiliko hayo yametokana na mabadiliko ya bei katika soko la dunia ambapo bei ya petrol imepungua kwa shilingi 89 na bei ya disel ni shilingi 68. Na Mzidalfa Zaid…

22 April 2025, 11:47 pm
Dawa ya upara yagundulika Ngorongoro
Upara ni hali ya kutokuwa na nywele au ukosefu wa nywele mahali ambapo mara nyingi hukua, hasa kichwani aina ya upara ya kawaida zaidi ni upungufu wa nywele unaowatokea hatua kwa hatua binadamu wanaume. Na mwandishi wetu. Taasisi ya utafiti wa wnyamapori Tanzania (TAWIRI) imetangaza…

11 April 2025, 3:32 pm
Ziara ya Dkt. Mwinyi Uingereza neema kwa wakulima wa mwani Zanzibar
Na Mary Julius. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt, Hussein Ali Mwinyi amesema Wawekezaji wengi wa Uingereza wameonesha nia ya kuwekeza katika Kuliongezea thamani zao la Mwani kwa kuongeza Mnyororo wa Thamani pamoja na Uzalishaji wa…

7 April 2025, 17:01
Bilioni 2 zatumika ujenzi kituo cha afya Makere Kasulu
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu Kazi Maalum, Kapteni Mstaafu George Mkuchika akiwa katika ujenzi wa mradi wa kituo cha afya Makere ameeleza kuwa dhima ya serikali ni kuhakikisha wanaimarisha huduma za afya. Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa…

27 March 2025, 10:42
Viongozi wa kata na mitaa wapata elimu ya maafa Kigoma
Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu idara ya management ya maafa imetoa elimu kwa watendaji wa kata na mitaa katika Manispaa ya Kigoma Ujiji ya namna ya kupunguza madhara ya maafa kufuatia maafa ya mafuriko, magonjwa ya mlipuko…

20 March 2025, 19:59
Madereva wapigwa msasa wilayani Kasulu
Madereva wa vyombo vya moto katika halmashauri ya Mji Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kuwa madereva bora kwa kuchukua tahadhari wawapo barabarani ili kupunguza ajali zinazoweza kuepukika. Na, Hagai Ruyagila Akitoa mafunzo ya usalama barabarani kwa madereva wa pikipiki maarufu bodaboda…

17 March 2025, 5:22 pm
Watakiwa kumuenzi JPM kwa kuchapa kazi
Tanzania imeazimisha miaka minne tangu rais wa awamu ya Tano Dr. John Pombe Magufuli afariki Dunia,ambapo baadhi ya wananchi na viongozi wamesema wataendelea kumuenzi kiongozi huyo kwa uchapa kazi wake uliokuwa umetukuka kwani alifanikiwa pakubwa kurejesha nidhamu kazini. Na,Emmanuel Twimanye…

17 February 2025, 11:01
TIRA Kigoma yawataka wamiliki vyombo vya moto kuwa na bima
Mamlaka ya usimamizi wa Bima Tanzania, TIRA imeendelea kuhamasisha wamiliki wa vyombo vya moto na wananchi Mkoani Kigoma kukata bima za vyombo vya moto na bima za afya. Na Lucas Hoha – Kigoma Wamiliki wa vyombo vya moto wameomba, Mamlaka…

31 January 2025, 11:25
TAKUKURU Kigoma yabaini mapungufu miradi 31 ya maendeleo
Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Kigoma imebaini mapungufu madogo madogo katika miradi 31 ya maendeleo kati ya miradi 32. Na Orida Sayon Akitoa taarifa ya ufuatiliaji wa miradi ya maendeleo katika kipindi cha kuanzia mwezi…

17 January 2025, 17:04
RC Kigoma apiga marufuku ukamataji holela pikipiki
Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Thobias Andengenye amelazimika kukutana na madereva bodaboda na kusikiliza Kero zao ikiwa ni wiki moja imepita tangu waandamane na kufunga barabara wakishnikiza Jeshi la Polisi kuacha kuwakata. Na Josephine Kiravu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma…