politics
16 Aprili 2026, 11:38
Waziri wa Habari na Mawasiliano Burundi afariki
Mnamo Disemba 2023, aliteuliwa kuwa Kamishna katika Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (CENI), ambapo alisimamia masuala ya ugavi na maandalizi ya uchaguzi. Na Bukuru Daniel Waziri wa Habari na Mawasiliano, Gabby Bugaga, amekutwa ndani ya gari akiwa amefariki dunia…
8 Aprili 2026, 13:17
Radi yaua mmoja, wawili wanusurika Kasulu
Radi ni tukio la kiasili linalotokea wakati wa mvua kubwa na mawingu mazito, likihusisha umeme wenye nguvu unaoshuka kutoka angani kwenda ardhini na tukio hili linaweza kuwa hatari kwa maisha ya binadamu na mali. Na Michael Mpunije Mwanaume mmoja aliyefahamika…
23 Machi 2026, 2:17 um
Sheria zinavyomlinda mtoto wa kufikia
“Sheria inakataza kumnyanyasa ama kumbagua mtoto” Na Anna Mhina Wazazi na walezi wilayani Mpanda mkoani Katavi wametakiwa kutambua jukumu lao katika kuwapa malezi bora watoto bila ubaguzi. Wito huo umekuja kutokana na jamii kuendelea kukumbwa na matukio ya baadhi ya…
11 Machi 2026, 09:27
Forland wazindua utafiti sekta ya misitu Iringa
Utafiti huo wa sekta ya misitu unatarajia kukuza mnyororo wa thamani ya mazao hayo kwa wakulima wadogo. Na Joyce Buganda Serikali mkoani Iringa kwa kushirikiana na Shirika la Forland Tanzania imezindua matokeo ya utafiti kuhusu maendeleo ya sekta ya misitu,…
10 Machi 2026, 11:31 um
Bugaga wanufaika na Miche 120,000 ya kahawa
“Tungependa kahawa hii imee na kusambaa katika Halmashauri yetu ya Wilaya ya Kasulu, hivyo tumieni fursa hii ambayo serikali imeitoa bure mkaitunze na msiende kuifanyia biashara badala yake mkaipande kwenye maeneo yenu”Amesema Ladislaus. Na; Mwandishi wetu Wakazi wa Kijiji cha…
24 Febuari 2026, 9:40 mu
Wachafuzi wa mazingira kuswekwa ndani Arusha
Uzinduzi huo umefanyika wakati wa kampeni ya NG’ARISHA JIJI inayolenga kuhamasisha usafi wa mazingira na kujenga utamaduni wa utunzaji wa Mji. Na Mariam Mallya Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Joseph Mkude, hivi karibuni amezindua rasmi vikundi vya vijana vya ukamataji…
19 Febuari 2026, 2:22 um
Mtoto achomwa kisu cha moto, mama mzazi ahusika
“Amepata majeraha baada ya kuchomwa kisu cha moto na mama yake mzazi kwa madai ya kuwa na tabia ya kuomba pesa kwa majirani“ Na Rhoda Elias-Katavi Mtoto mmoja mwenye umri wa miaka 4 ambaye ni mkazi wa mtaa wa Mpanda…
18 Febuari 2026, 10:41 mu
Watatu wanusurika kufa moto kufuatia nyumba kuungua Bariadi
“Kuna majanga ambayo hanaweza kuzuilika kama tu tukiwa na utamaduni wa kuangalia mara kwa mara mfumo wa umeme wa majumbani ili kutatua changamoto za kuunguliwa kwa nyumba.” Na,Daniel Manyanga Watu watatu wa mtaa wa Kidinda wilayani Bariadi mkoani Simiyu wamenusurika…
5 Febuari 2026, 8:18 um
Paulo Bunga wa Malita auliwa na mamba mto Simiyu
“Maendeleo bila watu hayo siyo maendeleo katika kujenga nchi yetu lazima kwanza tuhakikishe usalama wa wananchi maana hawa ndiyo walipa kodi za maendeleo ya taifa ukiona nchi inauchumi imara nyuma yake kuna watu na siyo wanyama”. Na,Daniel Manyanga Mtoto mmoja…
26 Januari 2026, 15:50
Mvua yaharibu nyumba, mali Itebula Uvinza
Wananchi wa maeneo mbalimbali ya Kata ya Itebula Wilayani Uvinza Mkoani Kigoma wameomba serikali na wadau kuwasaidia baada ya nyumba zao kuezuliwa na mvua iliyoambatana na upepo na kusababisha nyumba na mali zao kuharibika. Na Timotheo Leonard Mvua kubwa iliyonyesha…