Radio Tadio

polio

15 May 2026, 1:19 pm

Bunda DDH yaadhimisha Siku ya Wauguzi kwa harambee

Mkama alieleza kuwa anatambua kazi ya ukunga na uuguzi ni wito wa kujitolea unaoendelea kuwa msaada mkubwa kwa jamii, huku akipongeza ufanisi mkubwa wa kazi hiyo kutokana na mabadiliko ya sayansi na teknolojia duniani. Na Adelinus Banenwa Hospitali ya Wilaya…

17 April 2026, 8:24 pm

Serikali Manyara yasitisha mnada wa uuzaji mali za umma

Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Manyara kupitia katibu Tawala msaidizi rasilimali Dominic Mbwete,  amesitisha mnada wa mali za umma zilizokuwa zimetangazwa kuuzwa katika  mnada kutokana na kuibuka sintofahamu kutoka kwa wafanyabiashara waliohudhuria kwa ajili ya  kununua mali hizo. Na…

26 September 2025, 10:11 pm

Stanbic benki mkombozi kwa wachimbaji Geita

Mikopo hiyo inawahusu pia watoa huduma kwenye migodi ya dhahabu, wauzaji wa vito vya thamani pamoja na wafanyabiashara wa kada mbalimbali. Na Mrisho Sadick: Stanbic Bank imeendelea kuunga mkono maendeleo ya sekta ya madini nchini kwa kutoa mikopo maalum kwa…

8 September 2023, 13:34

Zaidi ya watoto 884,500 kupatiwa chanjo ya polio Kigoma

Na, Josephine Kiravu Zaidi ya watoto 884,500 walio chini ya miaka 8  wanatarijiwa kufikiwa na kupatiwa chanjo ya Polio ambayo itaanza kutolewa nyumba kwa nyumba kuanzia septemba 21hadi 24 Mkoani Kigoma. Akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo kwa kamati ya…

1 September 2022, 14:19

Wananchi watakiwa kushiriki awamu ya tatu ya chanjo

Na; Benard Filbert. Licha ya awamu ya pili ya utoaji wa chanjo ya Polio kufanikiwa kwa asilimia 100 ,Jamii imeombwa kutoa ushirikiano katika zoezi hilo ambalo limeanza leo kwa awamu ya tatu. Rai hiyo imetolewa na mkuu wa Mkoa wa…

29 April 2022, 06:48

Zoezi la chanjo ya polio la ahirishwa hadi may 12 na 15

Na;Yussuph Hassan. Zoezi la chanjo ya ugonjwa polio lililotarajiwa kuanza jana Nchini, limehairishwa ambapo zoezi hilo litafanyika kuanzia mwezi may 12-15 nchini huku wananchi wakikisitizwa kujiandaa na zoezi hilo. Akizungumza na kituo hiki Mratibu wa Chanjo Mkoani Dodoma Victor Kweka…