Radio Tadio

Pikipiki

2 May 2024, 5:47 pm

Kero ya barabara Hombolo kutatuliwa baada ya miezi 3

Changamoto ya barabara ya Hombolo imedumu kwa muda mrefu huku wakazi wa eneo hilo wakipaza sauti zao mara kwa mara kuiomba serikali itatue kero hiyo. Na Mariam Kasawa.Hatimaye changamoto ya barabara ya kutoka Hombolo kwenda Dodoma mjini yapata ufumbuzi wa…

12 January 2024, 08:28

Serikali yatoa pikipiki 4 kwa maafisa ugani Kigoma

Serikali imetoa pikipiki 4 zenye thamani ya shilingi Milioni 12 kwa maafisa ugani wa idara ya mifugo na uvuvi katika Manispaa ya Kigoma ili kurahisisha kufanya kazi ya kutoa Elimu kwa wafugaji, wakulima na wavuvi ili wazalishe kwa tija. Na…

1 March 2023, 4:00 pm

Watendaji wa kata Bahi waishukuru Serikali

Hapo awali watendaji hao walikuwa na changamoto kubwa ya usafiri hasa katika kuzungukia kata zao lakini kwa sasa wanaweza kufuatilia mianya yote ya upotevu wa mapato kwa kutumia pikipiki walizopewa kuhakikisha wanakuza pato la halmashauri na serikali kwa ujumla. Na.…