Radio Tadio

misitu

18/02/2026, 13:28

Lwamgasa Farmers Amcos waendesha harambee ununuzi wa trekta

Chama cha ushirika kimekuwa na fursa mbalimbali ya kuwaunganisha wakulima katika kujadili na kufanya mambo ya kuleta tija kwenye kilimo. Na: Kale Chongela Chama cha ushirika cha Lwamgasa Farmers Amocos Limited kilichopo wilaya ya Geita mkoani Geita kimefanya harambe kwa  ajili…