Radio Tadio

michezo

13 Machi 2026, 08:29

Kibondo wahimizwa kutumia majiko sanifu

Majiko sanifu ni majiko yaliyoboreshwa ili kutumia nishati kama kuni au mkaa kwa ufanisi zaidi na katika jamii nyingi, hasa maeneo ya vijijini na mijini, majiko haya yamekuwa na umuhimu mkubwa kwa maisha ya wananchi kwani majiko sanifu huchangia katika…

03/02/2026, 22:03

Operesheni ya polisi Zanzibar 13 wadakwa

Na Mary Julius. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja limefanikiwa kuwakamata watuhumiwa 13 wanaohusishwa na wizi wa vifaa vya ujenzi kwa njia ya udanganyifu, unyang’anyi wa kutumia silaha pamoja na utapeli wa fedha, kufuatia operesheni iliyoanza tarehe 31…

27 Januari 2026, 15:42

Watumishi Kasulu wapanda miti siku ya kuzaliwa Rais Dkt. Samia

Jamii katika Halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma imetakiwa kuwa na desturi ya kupanda miti katika maeneo yanayowazunguka Na Hagai Ruyagila Watumishi wa Halmashauri ya Mji Kasulu mkoani Kigoma wameadhimisha siku ya kuzaliwa ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa…

14/01/2026, 15:18

Vifo vya mama na mtoto vyapungua Kilosa

Uboreshaji wa huduma katika vituo vya afya pamoja na kuongezeka kwa uelewa wa jamii kuhusu umuhimu wa kujifungua salama umeelezwa kuwa miongoni mwa mafanikio ya jitihada za serikali katika kuboresha afya ya mama na mtoto wilayani Kilosa. Na Asha Madohola…

13 Januari 2026, 11:04

RC Kigoma atembelea machimbo ya dhahabu Mwironge Kakonko

Serikali ya Mkoa wa Kigoma imeeleza kuridhishwa na hatua zilizochukuliwa katika kulinda maji ya mto Nyamironge na kuelekeza kutumia eneo kwa umbali wa mita sito kutoka usawa wa mto Na Mwandishi wetu Mkuu wa Wilaya Kakonko Mkoani Kigoma Kanasli Evance…

26/11/2025, 12:24

MVIWATA-jitokezeni changamoto za ukatili wa kijinsia Manyara

Kuelekea  siku 16 za kupinga  ukatili wa kijinsia, wakulima wadogo Mkoa wa Manyara wametakiwa  kujitokeza katika Madawati ya kisheria  ili  kupeleka changamoto za ukatili wanazo kutananazo. Na Emmy Peter Hayo yamesemwa leo  na  Mhandisi Agrey Mahole ambae amemuwakilisha mkuu wa…

14/11/2025, 10:13

Mtoto achomwa mikono kisa korosho

“Mtuhumiwa huyu ambaye ni Katibu wa UVCCM kata ya Namalenga licha ya kumchoma moto mtoto wake wa kambo, lakini pia amemuadhibu vibaya mtoto mwingine ambaye alishirikiana nae wakati wa kuuza korosho” Na Neema Nandonde Salumu Hussein Maona  mkazi  wa kitongoji…

27 Oktoba 2025, 12:42

Wananchi watakiwa kudumisha usafi wa mazingira Kasulu

Serikali imeendelea kuhamasisha wananchi kuzingatia suala usafi wa mazingira kama ambavyo sheria ya mazingira ya 2016 inavyoelekeza kila mwananchi kuhakikisha mazingira yanayomzunguka yanakuwa safi salama Na Hagai Ruyagila Wananchi katika Wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kuhakikisha wanadumisha usafi wa…