Radio Tadio

michezo

July 3, 2024, 4:25 pm

Mzee wa miaka 78 ambaka binti mlemavu wa miaka 10

Baada ya mzee wa miaka 78 kumbaka binti wa miaka kumi mwenye ulemavu wilayani Babati mkoani Manyara jeshi la polisi limesema linaendelea na uchunguzi wa tukio hilo kutokana na matukio mengi kama hayo kutokea katika mkoa wa Manyara.   Na…

3 July 2024, 9:58 am

Ashangaza majirani kwa kuhifadhi taka ndani Msalala Road

Suala la usafi wa mazingira ni jambo ambalo linahimizwa na viongozi kwa jamii kuzingatia ili kuweza kujiepusha na maradhi mbalimbali. Na: Amon Mwakalobo – Geita Mwanaume mmoja kwa jina Elia Mayoyo (51) mkazi wa mtaa wa Msalala Road halmashauri ya…

2 July 2024, 16:28

Volkano la tope lalipuka, hofu yatanda kwa wananchi Kigoma

Serikali katika halmashauri ya wilaya Kigoma imewataka wananchi kutulia wakati ikiendelea kufuatilia hali ilivyo baada ya volkano la tope kulipuka. Na Josephine Kiravu – Kigoma Wananchi wa kijiji cha Pamila kata ya Matendo wametakiwa kuondoa hofu kufuatia kuwepo kwa tope…

June 28, 2024, 4:51 pm

Jamii Manyara yatakiwa kupinga vitendo vya kikatili

Ili kupunguza vitendo vya kikatili vinavyoendelea nchini, wazazi mkoani Manyara wametakiwa kuwalea watoto wao na kuwapa malezi bora yatayowakinga na ukatili unaofanyika katika familia na mitandao. Na Angel Munuo Wazazi na walezi wilayani Babati mkoani Manyara wametakiwa kuwalea watoto wao…

21 June 2024, 12:33

Maafisa ardhi Kigoma watakiwa kupima maeneo, kutoa hatimiliki

Katika kukabiliana na migogoro ya ardhi ambayo imekuwa ikijitokeza maeneo mbalimbali nchini, Halmashauri ya wilaya Kasulu kupitia kwa maafisa ardhi kupima maeneo yote na kutoa hatimiliki. Na Michael Mpunije – Kasulu Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Kasulu ametakiwa kuwaagiza…

June 18, 2024, 7:25 pm

Ubakaji, ulawiti vyashamiri Manyara

Katika kukomesha vitendo vya ukatili kwa watoto mkoani Manyara jamii yatakiwa kuwapa elimu watoto wao kwakua  kufanya hivyo kutawasaidia watoto hao kupambanana na kila aina ya ukatili. Na Marino Kawishe Idara ya Maendeleo ya Jamii Halmashauri ya Mji Babati  imetoa…

June 15, 2024, 5:09 pm

Binti wa kazi za ndani anusurika kifo Manyara

Wakati dunia ikielekea kuadhimisha siku ya mtoto wa Afrika Juni 16, 2024, binti wa miaka 15 mkoani Manyara amepigwa na mwajiri wake wakishirikiana na baba mwenye nyumba maeneo mbalimbali ya mwili  ikiwemo kichwani na miguuni kwa kutumia kisu, nondo na…

14 June 2024, 12:27

Wananchi Kigoma waonywa kufanya shughuli hifadhi ya barabara

Serikali wilayani Kasulu mkoani Kigoma imewataka wananchi kuacha kuharibu barabara kupitia shughuli za binadamu ikiwemo kilimo na ukataji miti na kutupa taka barabarani. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Wananchi wa wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kuacha tabia ya kutumia…

13 June 2024, 09:07

TARURA yaendelea na ujenzi wa mitaro mikubwa ya maji Tabora

Serikali imeitaka wakala wa barabara za vijijini na Mjini (TARURA) Mkoani Tabora kuhakikisha mitaro yoyte inayopitisha maji inafanyiwa usafi na kuzibuliwa mara kwa mara. Na Tryphone Odace – Tabora Wakala ya Barbara za Vijijini na Mijini (TARURA ) mkoani TABORA…

7 June 2024, 11:48

Wakimbizi waishio kambi za Kigoma watakiwa kurudi kwa hiari

Serikali ya Tanzania na Burundi zimeendelea kuhamasisha wakimbizi waishio kambi za nduta na nyarugusu mkoani kigoma kurejea kwao kwa hiari kwani tayari taifa la burundi kuna amani ya kutosha kwa sasa. Na, Josephine Kiravu Kufuatia kusuasua kurejea makwao wakimbizi wa…