michezo
December 5, 2025, 9:04 am
Baraza la Madiwani Jiji la Arusha lazinduliwa, Medeye achaguliwa Naibu Meya
Katika uchaguzi wa nafasi ya Naibu Meya, jumla ya madiwani 34 walipiga kura halali. Mgombea kutoka chama cha NLD, Collins Nathani Stanley, alipata kura 3, huku mgombea wa CCM, Julius Medeye, akipata kura 31 na kuibuka mshindi. Matokeo hayo yalitangazwa…
26 November 2025, 12:24 pm
MVIWATA-jitokezeni changamoto za ukatili wa kijinsia Manyara
Kuelekea siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia, wakulima wadogo Mkoa wa Manyara wametakiwa kujitokeza katika Madawati ya kisheria ili kupeleka changamoto za ukatili wanazo kutananazo. Na Emmy Peter Hayo yamesemwa leo na Mhandisi Agrey Mahole ambae amemuwakilisha mkuu wa…
14 November 2025, 10:13 AM
Mtoto achomwa mikono kisa korosho
“Mtuhumiwa huyu ambaye ni Katibu wa UVCCM kata ya Namalenga licha ya kumchoma moto mtoto wake wa kambo, lakini pia amemuadhibu vibaya mtoto mwingine ambaye alishirikiana nae wakati wa kuuza korosho” Na Neema Nandonde Salumu Hussein Maona mkazi wa kitongoji…
27 October 2025, 12:42
Wananchi watakiwa kudumisha usafi wa mazingira Kasulu
Serikali imeendelea kuhamasisha wananchi kuzingatia suala usafi wa mazingira kama ambavyo sheria ya mazingira ya 2016 inavyoelekeza kila mwananchi kuhakikisha mazingira yanayomzunguka yanakuwa safi salama Na Hagai Ruyagila Wananchi katika Wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kuhakikisha wanadumisha usafi wa…
October 27, 2025, 12:15 pm
Maandalizi ya uchaguzi Wilaya ya Arusha yamekamilika – DC Mkude atoa tamko
Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Mheshimiwa Joseph Modest Mkude, amesema maandalizi ya uchaguzi yamekamilika katika maeneo matatu ya kampeni ambayo yanaelekea ukingoni. Aidha, ametangaza kuwa siku ya Jumatano itakuwa mapumziko kwa idara zote ili wananchi waweze kushiriki kikamilifu katika zoezi…
October 19, 2025, 11:10 pm
NIDA, Leseni au Pasi ya Kusafiria kutumika kupigia kura
Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Arusha Mjini, Shabani Ferdinand Manyamba, ametangaza rasmi kuwa Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani utafanyika siku ya Jumatano, tarehe 29 Oktoba 2025, kwa mujibu wa Kifungu cha 69(1) cha Sheria ya Uchaguzi wa Rais,…
15 October 2025, 3:53 pm
Polisi Unguja waunasa mtandao wa wizi wa pikipiki
Na Mary Julius. Jeshi la Polisi Kanda ya Zanzibar limeendesha operesheni maalum katika mikoa mitatu ya Unguja kufuatia kuongezeka kwa matukio ya wizi wa pikipiki, ambapo jumla ya watu 17 wamekamatwa kwa tuhuma za kuhusika na mtandao wa wizi na…
October 13, 2025, 10:27 pm
Mgombea udiwani CCM Mahamoud Saidi Omary aendelea kunadi sera zake
Zikiwa zimesalia siku chache kabla ya kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani, mamia ya wananchi wa Kata ya Ungalimitedi wamejitokeza kwa wingi katika Mtaa wa Darajani kumsikiliza mgombea udiwani wa Kata ya Ungalimited kupitia Chama cha Mapinduzi…
1 October 2025, 10:27 pm
Mgogoro wa kimapenzi wapelekea moto kuteketeza villa Kusini Unguja
Na Mary Julius. Jeshi la Polisi Mkoa wa Kusini Unguja linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kuchoma moto nyumba ya wageni (villa) na kusababisha hasara kubwa ya mali. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kusini Unguja, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi…
21 September 2025, 3:32 pm
Wazazi watakiwa kuwalinda watoto dhidi ya ukatili
Wazazi mkoani Manyara wametakiwa kuwalinda watoto wao ambao wamehitimu darasa la saba katika kipindi hiki ambacho wanajiandaa kuingia kidato cha kwanza ili wasifanyiwe vitendo vya ukatili. Na Mzidalfa Zaid Wito huo huo umetolewa na mkuu wa shule ya Greenland Primary…