Radio Tadio

michezo

27 Januari 2026, 15:42

Watumishi Kasulu wapanda miti siku ya kuzaliwa Rais Dkt. Samia

Jamii katika Halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma imetakiwa kuwa na desturi ya kupanda miti katika maeneo yanayowazunguka Na Hagai Ruyagila Watumishi wa Halmashauri ya Mji Kasulu mkoani Kigoma wameadhimisha siku ya kuzaliwa ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa…

14 Januari 2026, 3:18 um

Vifo vya mama na mtoto vyapungua Kilosa

Uboreshaji wa huduma katika vituo vya afya pamoja na kuongezeka kwa uelewa wa jamii kuhusu umuhimu wa kujifungua salama umeelezwa kuwa miongoni mwa mafanikio ya jitihada za serikali katika kuboresha afya ya mama na mtoto wilayani Kilosa. Na Asha Madohola…

13 Januari 2026, 11:04

RC Kigoma atembelea machimbo ya dhahabu Mwironge Kakonko

Serikali ya Mkoa wa Kigoma imeeleza kuridhishwa na hatua zilizochukuliwa katika kulinda maji ya mto Nyamironge na kuelekeza kutumia eneo kwa umbali wa mita sito kutoka usawa wa mto Na Mwandishi wetu Mkuu wa Wilaya Kakonko Mkoani Kigoma Kanasli Evance…

26 Novemba 2025, 12:24 um

MVIWATA-jitokezeni changamoto za ukatili wa kijinsia Manyara

Kuelekea  siku 16 za kupinga  ukatili wa kijinsia, wakulima wadogo Mkoa wa Manyara wametakiwa  kujitokeza katika Madawati ya kisheria  ili  kupeleka changamoto za ukatili wanazo kutananazo. Na Emmy Peter Hayo yamesemwa leo  na  Mhandisi Agrey Mahole ambae amemuwakilisha mkuu wa…

14 Novemba 2025, 10:13 MU

Mtoto achomwa mikono kisa korosho

“Mtuhumiwa huyu ambaye ni Katibu wa UVCCM kata ya Namalenga licha ya kumchoma moto mtoto wake wa kambo, lakini pia amemuadhibu vibaya mtoto mwingine ambaye alishirikiana nae wakati wa kuuza korosho” Na Neema Nandonde Salumu Hussein Maona  mkazi  wa kitongoji…

27 Oktoba 2025, 12:42

Wananchi watakiwa kudumisha usafi wa mazingira Kasulu

Serikali imeendelea kuhamasisha wananchi kuzingatia suala usafi wa mazingira kama ambavyo sheria ya mazingira ya 2016 inavyoelekeza kila mwananchi kuhakikisha mazingira yanayomzunguka yanakuwa safi salama Na Hagai Ruyagila Wananchi katika Wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kuhakikisha wanadumisha usafi wa…

Oktoba 19, 2025, 11:10 um

NIDA, Leseni au Pasi ya Kusafiria kutumika kupigia kura

Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Arusha Mjini, Shabani Ferdinand Manyamba, ametangaza rasmi kuwa Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani utafanyika siku ya Jumatano, tarehe 29 Oktoba 2025, kwa mujibu wa Kifungu cha 69(1) cha Sheria ya Uchaguzi wa Rais,…

15 Oktoba 2025, 3:53 um

Polisi Unguja waunasa mtandao wa wizi wa pikipiki

Na Mary Julius. Jeshi la Polisi Kanda ya Zanzibar limeendesha operesheni maalum katika mikoa mitatu ya Unguja kufuatia kuongezeka kwa matukio ya wizi wa pikipiki, ambapo jumla ya watu 17 wamekamatwa kwa tuhuma za kuhusika na mtandao wa wizi na…