Radio Tadio

michezo

26 November 2025, 12:24 pm

MVIWATA-jitokezeni changamoto za ukatili wa kijinsia Manyara

Kuelekea  siku 16 za kupinga  ukatili wa kijinsia, wakulima wadogo Mkoa wa Manyara wametakiwa  kujitokeza katika Madawati ya kisheria  ili  kupeleka changamoto za ukatili wanazo kutananazo. Na Emmy Peter Hayo yamesemwa leo  na  Mhandisi Agrey Mahole ambae amemuwakilisha mkuu wa…

14 November 2025, 10:13 AM

Mtoto achomwa mikono kisa korosho

“Mtuhumiwa huyu ambaye ni Katibu wa UVCCM kata ya Namalenga licha ya kumchoma moto mtoto wake wa kambo, lakini pia amemuadhibu vibaya mtoto mwingine ambaye alishirikiana nae wakati wa kuuza korosho” Na Neema Nandonde Salumu Hussein Maona  mkazi  wa kitongoji…

27 October 2025, 12:42

Wananchi watakiwa kudumisha usafi wa mazingira Kasulu

Serikali imeendelea kuhamasisha wananchi kuzingatia suala usafi wa mazingira kama ambavyo sheria ya mazingira ya 2016 inavyoelekeza kila mwananchi kuhakikisha mazingira yanayomzunguka yanakuwa safi salama Na Hagai Ruyagila Wananchi katika Wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kuhakikisha wanadumisha usafi wa…

October 19, 2025, 11:10 pm

NIDA, Leseni au Pasi ya Kusafiria kutumika kupigia kura

Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Arusha Mjini, Shabani Ferdinand Manyamba, ametangaza rasmi kuwa Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani utafanyika siku ya Jumatano, tarehe 29 Oktoba 2025, kwa mujibu wa Kifungu cha 69(1) cha Sheria ya Uchaguzi wa Rais,…

15 October 2025, 3:53 pm

Polisi Unguja waunasa mtandao wa wizi wa pikipiki

Na Mary Julius. Jeshi la Polisi Kanda ya Zanzibar limeendesha operesheni maalum katika mikoa mitatu ya Unguja kufuatia kuongezeka kwa matukio ya wizi wa pikipiki, ambapo jumla ya watu 17 wamekamatwa kwa tuhuma za kuhusika na mtandao wa wizi na…

21 September 2025, 3:32 pm

Wazazi watakiwa kuwalinda watoto dhidi ya ukatili

Wazazi mkoani Manyara wametakiwa kuwalinda watoto wao ambao wamehitimu darasa la saba katika kipindi hiki ambacho wanajiandaa kuingia kidato cha kwanza  ili wasifanyiwe vitendo vya ukatili. Na Mzidalfa Zaid Wito huo huo umetolewa na mkuu wa shule ya Greenland Primary…