Radio Tadio

Matunda

16 April 2024, 9:45 am

Ushirikishwaji wa wenza katika kumiliki mali

Tumemtembelea katika sehemu yake ya biashara katika mtaa wa mkonze Jijini Dodoma na hapa anatueleza namna kipindi cha Sanuka kilivyo changia kubadirisha mfumo wake wa maisha yake. Na Mwandishi wetu. Leo tunaangazia ushirikishwaji wa wenza katika kumiliki mali ambapo leo…

11 April 2024, 4:41 pm

Umiliki wa mali kwa usawa

Usikose kesho kwenye sehemu ya pili ambapo utafahamu ni jitihada gani zinafanyika kuwasaidia wanawake wanaoshindwa kumiliki mali kwa Usawa. Na Seleman Kodima.Leo tunaangazia Umiliki wa mali kwa Usawa ambapo Imeelezwa kuwa mwanamke anahaki ya msingi ya kumiliki mali kama ilivyo…

13 September 2023, 10:45 am

Kilimo cha strawberry chachu kwa wakullima wilayani Rungwe

Kutokana na wilaya ya Rungwe kuwa na kilimo cha mazao mbalimbali ya chakula, biashara, matunda na mbogamboga rai imetolewa kulima pia zao la Strawberry kutokana na zao hilo kustawi wilayani Rungwe mkoani Mbeya. Na Evodier Ngeng’ena – RungweWakulima wilayani Rungwe…

27 February 2023, 1:17 pm

Baadhi ya wafanyabiashara waeleza jinsi wanavyonufaika

Baadhi ya wafanyabiashara wa matunda katika soko la sabasaba jijini dodoma wameelezea namna wanavyonufaika na biashara ya kuuza matunda. Na Thadei Tesha. Baadhi ya wafanyabiashara wa matunda katika soko la sabasaba jijini dodoma wameelezea namna wanavyonufaika na biashara ya kuuza…

22 February 2023, 4:40 pm

Wafanyabiashara wa mbogamboga na matunda waomba eneo la soko

Wafanyabiashara wa matunda na mbogamboga wilayani Bahi mkoani Dodoma wameiomba serikali wilayani humo kuwatengea eneo rasmi la kufanyia biashara. Na Bernad Magawa. Wafanyabiashara wa matunda na mbogamboga wilayani Bahi mkoani Dodoma wameiomba serikali wilayani humo kuwatengea eneo rasmi la kufanyia…